Vile mashauzi yalivyoniumbua

Umenikumbusha zamani kuna mdada alikaa vibaya nikamfata kumwambia kama amekaa vibaya.(chupi inaonekana) kumkaribia namwita dada alifoka huyo nenda kanyonye huko unataka nitongoza nini?

Duh nikamwambia chupi nyekundu ulovaa watu wanaiona aliruka huyo. machali walibaki kumwambia papuchi yako inaonesha tamu. Baadhi ya wanawake wakiitwa akili zao wanaona wanataka kupewa mtongozo tu.

Lunatic
😂😂😂😂😂😂😂
 
Tamka neno kwa Mungu,kifua changu kipate nguvu.

.........
Najua kunichapa huwezi😉😂
Dadangu pia anaumwa kifua leo. Hivi vifua kuna namna?

_______________

Kama Bwana aishivyo umeisha kuwa mzima. Nenda sasa nyumbani kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu aliyokutendea Bwana na jinsi alivyokuhurumia 🙏
 
Dadangu pia anaumwa kifua leo. Hivi vifua kuna namna?

_______________

Kama Bwana aishivyo umeisha kuwa mzima. Nenda sasa nyumbani kwa jamaa yako ukawaeleze mambo makuu aliyokutendea Bwana na jinsi alivyokuhurumia
Sijui ndio Corona imekuja kivingine.
Sasa mwili wote unauma.
Nimerudi kulala.

...........

Amen baba mtumishi
 
Sijui ndio Corona imekuja kivingine.
Sasa mwili wote unauma.
Nimerudi kulala.

...........

Amen baba mtumishi
Aisee, pole sana.

Nashauri ukapime kesho (kama ukiamka hivyo)

_________________

Our God is so faithful ati mtumishi mwenzangu.....we'll get through this 4th wave unscathed.

Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
 
Aisee, pole sana.

Nashauri ukapime kesho (kama ukiamka hivyo)

_________________

Our God is so faithful ati mtumishi mwenzangu.....we'll get through this 4th wave unscathed.

Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.
I will be fine baba mtumishi.

Nililala ,sasa nimeamka angalau najihisi nafuu.

Si unajua last born akiumwa anavyodeka.


Amen
Kesho tutaendelea na majukumu ya kuupiga mwingi kama mama.
 
I will be fine baba mtumishi.

Nililala ,sasa nimeamka angalau najihisi nafuu.

Si unajua last born akiumwa anavyodeka.


Amen
Kesho tutaendelea na majukumu ya kuupiga mwingi kama mama.
Safi last born wa mama, wacha nirudi tena magotini.

Ewaaa, tutaupiga mwingi sana mpaka utoke nje 🤣🤣
 
Kuna mshkaji wangu anaishi Kawe. Nishawahi kuishi kwao kwa zaidi ya mieizi miwili kwahiyo nazijua njia za maeneo hayo vizuri tu. Kisha nikaondoka Dar kwa zaidi ya mwaka nilivyorudi tena Dar nikawa naishi kwetu sasa nikapanga kwenda kumtembelea mshkaji.

Siku imefika nikafunga safari nikaelekea Kawe. Kipindi hicho wimbo maarufu ni Prakatatumba wa Cabo Snoop na nilivaa kama mshkaji. Supra, jinzi chupa (enzi hizo haziitwi model), halafu jinzi inaingizwa ndani ya supra na fulana nikachomekea.

Nikafika sehemu ambayo ina kibaraza natakiwa niambae kufuata kibaraza kisha nikutane na kichochoro halafu hiko kichochoro kimekunja kulia halafu hapo ndo kinitoe kwenye njia pana ndiyo nikute uwanja anapokaa mshkaji.

Kwenye kibaraza nikakuta mabinti na wanawake wanasukana, nikawapita mwendo mdundo. Nikaingia kichochoroni nikakunja kulia nakuta kumezibwa kwa michongoma. Nikafikiria mwendo niliowapita pale nikaona kurudi siyo kweli na nilivyovaa itakua aibu.

Nikaparamia ile michongoma.

Kumbe katikati waliweka na miti ili michongoma isimame.

Nikakomaa. No backing down hapa.

Paramia na teke kwa mara ya pili pakalegea. Nikajipenyeza penyeza nikafanikiwa kupita.

Bwana wee nilijichana chana na ile miiba maeneo ya usoni na mgongoni. Fulana imechafuka kwa vumbi.

Did I learn anything? No. Am the same nigga who is shy kusalimia kundi la wamama.
Same nigaa 😂😂😂😂
 
Sijui huwa mnawaza nini?

Kuna kipindi fulani nilimpa dada mmoja shati langu pale Kairuki ajisitiri. Mpaka anagundua kinachoendelea, tayari alikua ameshanijibu hovyo hovyo.

She was bleeding, nikaona nimsaidie kuficha aibu. Kusema nimuongeleshe, nikajikuta najibiwa kwa nyodo wakati I tried to keep it as casual as possible.
Mkuu muda mwingine wakiwa bleed wanakuwa na hasira tu, labda kwasababu ya kujisikia vibaya kuumwa kichwa na tumbo.. moody inaharabika pia
 
🤣🤣🤣 i can imagine, pole sana daah.

Umenikumbusha kitambooo nilienda kijijini kwenye harusi ya bro, siku ya harusi muda wa kufungua champagne wakatangaza watu waende me nikamute kwa kiti maana nilikua sijawah hata kuishika kufungua na sijui.

Kuna aunt tulitoka nae huku town akaniita akaniambia mwanangu njoo ufungue hii uwii nilitamani kukataa ila nakataaje na kila mtu kasikia nilivyoitwa!! Bana wee nikajikaza pale mbele nikamwambia kwa sauti ya chini aunt me sijawah kufungua hii akaniambia ni simpo usihofu we itikise af uwe unaniangalia mimi navyofungua.

Kweli nikapambana ila sasa kwenye kutoa kile kizibo badala ya kutolea kidole gumba me nikakivuta na vidole vyote huku nimeiface aisee ilifunguka ikanirukia usoniiii na kwenye nguo kidogo daah nilijiskia aibu sana nikajikaza nikaenda kumiminia wageni hivyo hivyo nikatafuta maji nikanawa nikatulia.
Basi dada.
Screenshot_20230215-182411.jpg

Simple tu. Kila champagne Ina kiwayapalek. Kwenye mfuniko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom