Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,800
- 3,707
😂😂😂😂😂😂😂Umenikumbusha zamani kuna mdada alikaa vibaya nikamfata kumwambia kama amekaa vibaya.(chupi inaonekana) kumkaribia namwita dada alifoka huyo nenda kanyonye huko unataka nitongoza nini?
Duh nikamwambia chupi nyekundu ulovaa watu wanaiona aliruka huyo. machali walibaki kumwambia papuchi yako inaonesha tamu. Baadhi ya wanawake wakiitwa akili zao wanaona wanataka kupewa mtongozo tu.
Lunatic