swadakta. Ulipo 2po.
Yaani kama mimi nimmchoka fastjet,kila siku naomba kwa mungu hata kesho amalize mda wake
Hahaaa Umenichekesha sana
Lowasa kawashika sana safari hii!!!Yaani kila nikimsikia naona maisha yanafika mwisho
Yaani aende tu.....
Itakuwa hujasoma ukamuelewa Losambo.Tunamchagua Rais kwasababu ya Maono ya viongozi wa dini???
Kweli watanzania tuna mambo
Kabisa kamanda, CCM OUT.
Kuna baadhi ya watu wanatamani uchaguzi uwe kesho wamalize kesi!!
Hapa kazi tu. Ni mwendo wa kulala mbele na mafisadi leo magufuli kaanza na chenge baada ya uchaguzi ni lowassa lazima akamatwe afilisiwe mwizi mkubwa huyu wa Mali ya umma.mafisadi waliokimbilia chadema labda wahame nchi. Magufuli my president hoyeeeeeeeeeeeesssss
Tunamchagua Rais kwasababu ya Maono ya viongozi wa dini???
Kweli watanzania tuna mambo