Vikwazo na Maajabu ya Lowassa! Jiulize kwanini?

Vikwazo na Maajabu ya Lowassa! Jiulize kwanini?

Lowasa akija mwenyewe nyumbani kwangu usiku wa tar 24 akanikaba na kuniibia kila kitu bado tuu asbuh ya tar 25 mapema sana ntampigia kura. Haya ndo mahaba yaliponifika.

Lowasa anatisha kwa kweli. Na ndiyo habri ya mjini
 
KUN FAYA KUN .... Ilikuwa lazima akatwe ndani ya CCM ili Unabii utimie .... Haya ni mambo ya nyakati tu! Ilikuwa lazima CCM ife Mwaka huu kupitia Lowassa ...
Khaa!!! Kumbe humu ndani tunamahitaji tofauti sana. Wengine tunataka tuwe na mazingira mazuri ya kuchapakazi kwa kutumia fursa zitakazopatikana lakini wengine shida yao kubwa ni CCM ife tu. Akili zetu bado sana :glasses-nerdy:
 
Khaa!!! Kumbe humu ndani tunamahitaji tofauti sana. Wengine tunataka tuwe na mazingira mazuri ya kuchapakazi kwa kutumia fursa zitakazopatikana lakini wengine shida yao kubwa ni CCM ife tu. Akili zetu bado sana :glasses-nerdy:

Ikifa hayo mazingira mazuri ndiyo yatapatikanika zaidi, yaani madawa, walimu watalipwa stahiki zao matokeo yake elimu itapanda, zahanati zitajengwa, reli ya kati ambayo ndiyo uchumi itajengwa n.k Jiulize, chukua hatua.
 
Jibu ni japesi,heri kumchagua lowassa hata kama ni mgonjwa kuliko hao wanaojiona wazima ,na watanzania tumeamua kumpeleka ikulu maana hakuna namna sasa

Kama Magufuli mzima Loliondo kwa Babu kaenda kufanya nini?
12004939_919291714775261_4079318148376029961_n.jpg
 
Back
Top Bottom