Vikosi na makambi JKT

unakumbukumbu gan na kanembwa?
 
Mm nilikuwa 833kj oljoro jkt kipindi icho tunaenda kitundu,mti wa shetani,shamba dunia duka la mbao embakasi hatari tupu uko.Kuna kijiji flan ivi uko kuna wamang'ati awo wana vaa semi nacked hatari uko nilipiga pale jkt na tpdf the same palepale na nikapangiwa kikosi kilekile.........nakumbuka kuna cku nilikuwa ulinzi main gate kuna kamanda mmoja iv officer luten alikuja na gari yake usiku nikamwambia zima taa zako akawa anaweweseka nikamwambia aisee ww kamanda wangu ndio ila niko ulinzi nw zima taa kamanda akawa anazingua ataki eti kisa yy anacheo kikubwa mm private yy luten nilienda nikamtoa kwnye ndinga nilimlolisha mpaka akakoma mwnyewe kesho yake nikapelekwa mahabusu nilipigwa extra drill iyo hatari bada ya wiki moja nikala uhamisho Chita nikapelekwa Mlimba uko Morogoro mana nilikuwa askari mkorofi sana hahahaha but nw nimekuwa mtumzima ule ulikuwa utoto....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha mbali sana
 
askari wa kileo ni Rais kutoa sir I za jeshi sana nahisi hata tukiwauliza idadi ya wanajeshi,silaha,ramani ya kambi na etc mtataja wote mulio komenti mjitafakari ni wepesi kununuliwa na age zenu ni 22-30
Tulia wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…