Vikosi na makambi JKT

Mkuu, embakasi unapakumbuka?
 
Mkuu, embakasi unapakumbuka?
Aisee ogopa ile "run way ya ndege!" Ile ni noma, ingawa sijajila sana kule maana mimi nilikuwa tengo la ufundi. Lakini kipindi cha "six week" nmejilajila kule

Naikumbuka sana Embakasi, na kipindi cha OP yetu tuliitanua maradufu, na tukafungua kitu kingine cha Masangu
 
825 KJ Mtabila--Kigoma I won't forget u... Chini ya makamanda James,Soudy,Mkude na Mkuu wa kambi Major GB kazaula
 
Kurutaaa! Afande!
Kamata mustini wako
Kwa mwendo wa kunyakua, usawa wa gudulia mbeleee kimbia. KUNYAKUA BALAA.
 
834 Kikosi Cha Jeshi
Bios Gas
Kwa Mbuzi
Bustani
Zabibu
Acha Kabisa Kitu Matupora Dodoma
Kwenye Mitunduru Ya Kila Kona Ya Kikosi
Mzakwe weweee! Mtunduruni. Bustanini. Kwa CO.
Nilipewa nickname CI Chief Instructor.
 
mlale jkt kuna jamaa lilikua linatoroka kila siku kwenda lusonga hadi tukamtungia wimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…