Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

mambo ya hisia bhana! na watu wanashabikia, deh deh deh!
 
Duh, mbona kanda ya magharibi siioni? Zitto atahusika wapi?
 
Tena huu ni ubaguzi usio na aibu. makamanda wanakesha jf wakikipigia chepuo chama, matokeo yake ndiyo haya.

"Uzuri wa makamanda hawakatishwi tamaa na watu kama nyie.....hakuna kamanda asiyejulikana na Chama watafika hapo mnapotaka kuwaona, tunawatambua na tunaendelea kuwaimarisha katika Chama"

mary mary
Msemaji wao JF.
 
"Uzuri wa makamanda hawakatishwi tamaa na watu kama nyie.....hakuna kamanda asiyejulikana na Chama watafika hapo mnapotaka kuwaona, tunawatambua na tunaendelea kuwaimarisha katika Chama"

mary mary
Msemaji wao JF.

Sioni ajabu kuwepo kwa mnyukano ndani ya chama kwa sababu kila mmoja kwa sasa ni kiongozi wa chama.

Wewe tayari umeisha jipachia kama ni kiongozi wa chadema.

Hongera kwa kuwa msemaji wao JF.
 
nyakarungu!!!!! huyu naye ni mwana PM saba aisee msimpe tena nafasi coment zake hata kwenye wall yake ya FB sio za kujenga chama hata kidogo
Huyu ni masalia pia nimewahi mshtukia kabla ya deal yao haijabuma post zake fb zinatia kichefuchefu kwa kweli amewahi nieleza mambo mengi ya ulalamishi haswa kuhusu uchaguzi wa bavicha kabla ya dhambi zao kuanikwa,ni kirusi huyu Nyakarungu!!!
 
Sioni ajabu kuwepo kwa mnyukano ndani ya chama kwa sababu kila mmoja kwa sasa ni kiongozi wa chama.

Wewe tayari umeisha jipachia kama ni kiongozi wa chadema.

Hongera kwa kuwa msemaji wao JF.

Ahaaa wajua maana ya Kamanda? tafakari jipe majibu!!! Sisi wote ni viongozi, hatubaki nyuma kama askari nyie, magamba.

Shukrani kwa kunipa uongozi, na wewe asante kuwa mlinzi wa Chadema unafuatilia wanaokesha JF unaumia hujawaona kwa list ya kutengeneza. lol
 
Ahaaa wajua maana ya Kamanda? tafakari jipe majibu!!! hatubaki nyuma kama askari nyie, magamba.

Shukrani kwa kunipa hongera, na wewe asante kuwa mlinzi wa Chadema unafuatilia wanaokesha JF unaumia hujawaona kwa list ya kutengeneza. lol

Ninashukuru kwa kunipa hongera.

Hata hivyo inaonekana jeshi lenu limeanza kukosa nidhamu katika mapambano. Historia inaonyesha huwa ni dalili ya kushindwa vita.
 
Good! pia kazi mojawapo iwe kuwaandaa vijana na kina mama kuja kupiga kura 2015.
 
Kikosi kabambe hata chama na Ritz wame kubali!
 
Last edited by a moderator:
Wow, Hata 'masalia' wako kwenye hiki kikosi cha M4C

Masalia hawana tofauti na magamba. Nyote hamtupi shida, makamanda wanajitambua kamwe hawarudishwi nyuma na hayo mabaki (masalia+magamba) Kwa nia ya dhati kabisa ninakushukuru kwa kuendelea kukesha na kuongea kuhusu CHADEMA. Hii inatupa nguvu ya kuendelea mbele. Tungekuwa hatuna umuhimu wa kuongoza Nchi hii, watu wasingekua wanakesha hapa na kukosa usingizi.

Asante sana.
 
Back
Top Bottom