Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

Vikosi M4C vikipangwa hivi CCM watajuta!!!

Sawa hayo ni mawazo yako, Kanda ya magharibi vipi vikosi sijaviona au utakuja wewe?
 
Kwa hiyo list Magamba yako "ICU" Tutayaimbia niagieni kabla ya 2015.
 
Jamani nawaomba usiisahau upande wa Zanzibar pia... Wekeni makamanda kw akukijengwa Chama maana huko bado kabisa...
 
Chadema wangeweza fanikiwa tatizo wameanza kuingia tamaa ya madaraka, wangezunguka nchi nzima wakiwa pamoja,nakwambia wangechukua dolar 2015,sasahivi wamekalia kutoa matamko na kukaa ofisini,m4c haijawa jumuisha kwa mtazamo mpana wa taifa letu!
 
Chadema wangeweza fanikiwa tatizo wameanza kuingia tamaa ya madaraka, wangezunguka nchi nzima wakiwa pamoja,nakwambia wangechukua dolar 2015,sasahivi wamekalia kutoa matamko na ukaa ofisini,m4c haijawa jumuisha kwa mtazamo mpana wa taifa letu!
Ungonella,
usisahau kuna gharama zitakazotumika zitakuwa kubwa sana bila sabbu, we umadhani kwanini ccm wameishia arusha? Chadema wanajitahidi sana mikutano sio kusema tu, ni gharama pia
 
Mwisho wa ubishi ni 2015 asiye na mwana aeleke jiwe cha uvunguni kitapatikana kwa kunyanyua kitanda!!
 
Ungonella,
usisahau kuna gharama zitakazotumika zitakuwa kubwa sana bila sabbu, we umadhani kwanini ccm wameishia arusha? Chadema wanajitahidi sana mikutano sio kusema tu, ni gharama pia
mkuu cdm wamelewa sifa,kwa jinsi walivyojaaliwa uwezo wa kushawishi wananchi pesa kwao lisingekuwa tatizo,mbona kwenye hiyo mikutano michache wanayofanya wanakusanya pesa? Chukulia kwa mfano wangejipanga vizuri bila kuangalia maslahi binafsi washambulia dodoma yote,katavi, singida na kwingine wangeshindwa? Sasa hivi kilichopo kila mmoja anaangalia kugombea ubunge na urais 2015. Sidhani kama kina mnyika wangeanza hivo zamani wangeshinda ubunge. Chukulia mfano sasa hivi kila kijana ana malengo ya kugombea ubunge 2015 tena wengine hata hayo majimbo hawajawahi peleka itikadi ya chama. Vijana waanze saa hizi kueneza chama vijijini.
 
Good arrangement, Kanda ya Magharibi na Kusini vipi? Watu kama akina Lema, na Mabere Marando, wanaweza kwenda kanda hizo kwa sababu wao wanakubalika zaidi na sehemu yoyote. My views.
 
Back
Top Bottom