Vikapu vinahitajika

Iliasa

Member
Aug 4, 2015
63
35
Wakuu,

Kuna mama yangu anaitajii kufanya biashara ya vikapu vile vinavyosukwa kwa kutumia mianzi na milala lakini shida iliyopo mahala gani vinapatikana kwa wingi na bei zake ni zipi huko vinakopatikana?

Hivyo kwa mwenye kujua naomba anifahamishe hapa.

Karibuni
 
Wakuu,

Kuna mama yangu anaitajii kufanya biashara ya vikapu vile vinavyosukwa kwa kutumia mianzi na milala lakini shida iliyopo mahala gani vinapatikana kwa wingi na bei zake ni zipi huko vinakopatikana?

Hivyo kwa mwenye kujua naomba anifahamishe hapa.

Karibuni

Unapatikana mbinguni mkuu...?
 
Mkuu nilifanya hiyo biashara mwaka 2011.... Nilikua nachukua mzigo tandika mitaa ya devis corner.....kikapu kimoja kilikua 4000 na kuna vingine 5000. Kuna jamaa yangu bado anafanya hiyo biashara nitamcheki weekend atakua na info zaid.
 
Mkuu nilifanya hiyo biashara mwaka 2011.... Nilikua nachukua mzigo tandika mitaa ya devis corner.....kikapu kimoja kilikua 4000 na kuna vingine 5000. Kuna jamaa yangu bado anafanya hiyo biashara nitamcheki weekend atakua na info zaid.
sawa mkuu nasubiri info zaidi
 
Mkuu nilifanya hiyo biashara mwaka 2011.... Nilikua nachukua mzigo tandika mitaa ya devis corner.....kikapu kimoja kilikua 4000 na kuna vingine 5000. Kuna jamaa yangu bado anafanya hiyo biashara nitamcheki weekend atakua na info zaid.
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom