Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Katika mapenzi mambo mengi ya kufurahisha na pengine kusikitisha hutokea. Si ajabu wengine hupigana na hata kufikishana polisi then mahakamani. Wana jukwaa, leo hii ningependa tuelezane jambo hili"ingawa inaweza ikawa ni mambo ya chumbani zaidi". Swali lenyewe ni hili! NI NENO GANI ULILOWAHI KUELEZWA NA MPENZI WAKO LIKAKUUMA SANA AMA LIKAKUFURAHISHA SANA NA HUTOWEZA KULISAHAU KAMWE. Karibuni!!!!!!!