HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
Nipo hoteli moja hapa dar es salaam maeneo ya sinza!!chumba nilichopo kiko ghorofa ya tatu tu!!! asubuhi hii natoka chumbani nikijiandaa kwenda restaurant ambayo iko ground floor!!!
Kuna jambo lilinishangaza kidogo!!! kwenye mlango wa lift kulikuwa na vijana kama watano hivi wenye umri wangu around 27-35 hivi full vitambi!!! mmoja hadi mgongo unapinda kwa kunenepa bila mpangilio!!!wanasubiri lift iliyokuwa upper floor hadi ishuke!!!hadi mimi niliyetumia ngazi za kawaida ambazo hazikunichukua hata dk mbili hadi kufika ground floor.
Zilipita dakika kama kumi hivi nao ndio wakawa wanafika chini na lift yao!!!
Sasa najiuliza kwa shape walizokuwa nazo kwanini wasitumie ngazi za kawaida kwa floor tatu kama hizo!
Vijana wenzangu tupende mazoezi tusibweteke!
Kuna jambo lilinishangaza kidogo!!! kwenye mlango wa lift kulikuwa na vijana kama watano hivi wenye umri wangu around 27-35 hivi full vitambi!!! mmoja hadi mgongo unapinda kwa kunenepa bila mpangilio!!!wanasubiri lift iliyokuwa upper floor hadi ishuke!!!hadi mimi niliyetumia ngazi za kawaida ambazo hazikunichukua hata dk mbili hadi kufika ground floor.
Zilipita dakika kama kumi hivi nao ndio wakawa wanafika chini na lift yao!!!
Sasa najiuliza kwa shape walizokuwa nazo kwanini wasitumie ngazi za kawaida kwa floor tatu kama hizo!
Vijana wenzangu tupende mazoezi tusibweteke!