Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 3,550
- 3,803
Kweli mkuu eti mtu unahonga haf unashinda njaa kudadek si bora nibetie hyo hela sasaWanaume ndo maana tunakufa mapema.
Kweli mkuu eti mtu unahonga haf unashinda njaa kudadek si bora nibetie hyo hela sasaWanaume ndo maana tunakufa mapema.
Hana kazi, ye ukikutana naye anachoweza kukupa ni mashine.ila kuamzia gest, n.k ..unalipia wewe.Nitamjuaje mwanaume Marioo mkuu?
NakaziaMuwajali mama zenu jamani
Nimependa walivyoimba. Kikundi chao kinaitwaje? Nisaidie tafadhali.Jana nimeamka asubuhi nikatafakari kwa kina sana juu ya maisha haya. Kubwa zaidi ni namna aliyewahi kuwa mpnz wangu aliponishambulia sana kuwa nimempa pesa kidogo,(aliniomba 150,000/= lakini mimi nilimpatia 100,000/=) kwa sababu nilikuwa najua kabisa kuwa ana pesa yake nyingine nyingi tu,kwa hiyo nikafanya jaribio la makusudi kuona reaction yake ingekuwaje baada ya kumpa kiasi pungufu na alichokiomba!
Lahaulaaa,lawama nilizopokea sasa....,"haujali shida zangu, najua unanikomoa, sawa,ila kumbuka mimi ni mke wako mtarajiwa,kama leo hii unashindwa kunisaidia 150k,sijui huko baadaye itakuwaje"
Nilipomaliza kusoma meseji nilivuta pumzi nikazifuta zote,nikajisemea moyoni,kuwa huyu hanifai kabisa....(na ndiyo ukawa mwisho wa mimi na yeye,japo mpaka sasa sijamwambia chochote)
Kilichofanya nije hapa ni baada ya kuamua kumtumia mama yangu mzazi kiasi cha sh.ELFU HAMSINI TU YA MATUMIZI,maombi niliyopokea hakika niliumia sana moyoni,sanaaa,kwamba mpenzi wangu nilimtumia sh.LAKI MOJA akaishia kunilaumu na kunisema sana,lakini mama yangu nimemtumia sh.50k shukrani alizotoa ni nzito sana! Hii imeniongezea hasira juu ya wanawake wasioridhika na kingi tunachowapatia,ilhali wazazi wetu wanapata kidogo na bado wanashukuru kweli kweli!
Haya ni maombi ya mama baada ya kutumiwa kiasi kidoogo sana cha pesa
Vijana wenzagu,tuwakumbukeni wazazi wetu wana baraka nyingi sana kwetu
View attachment 1206408
Hii habari ilitakiwa iwe ya kwanza kabisa katika huu uzi ili mawatu yajifunze hekima.Mkuu umenikumbusha nilikuwa na mwanamke mmoja mama yangu alikomaa na mm nimuoe,alikuwa jobless kwa hiyo tukikubaliana nimsapoti laki kila mwezi.
Nikatuma mwezi wa Kwanza hakusema asante Wala nimepata.Sikumuuliza kabisa
Mwezi unaofata nikashusha dau kufika 50,000 akaniambia mbona Umetuma nusu?
Nikamwambia Kumbe na ile nyingine ulipata Kwanini hukusema japo Asante ya kinafiki?akanijibu"yani Unaona hiyo hela ni nyingi kwamba ntajengea nyumba Ndio maana nikushukuru?"nikapiga tigo wakanirudishia na tukaishia pale pale.
Wanaume tunafanya makosa sana kutaka wake zetu wawe sawa na mama zetu. Hicho ni kitu kisichowzekana in a practical world.
Kwa mfano mimi na Marianah tunaishi kwa kubebeana mapungufu yetu. Kamwe siwezi mlinganisha na mama yangu naye hawezi nilinganisha na baba mkwe wangu.
Ni lazima tuelewe kwamba kila mmoja ana tabia zake vilevile makuzi ya mama zetu si makuzi ya wake zetu. Ukikosa ufahamu wa haya mambo ndoa yako lazima iwe jehanam ndogo.
Kwahiyo jimbo lipo wazi mkuu ,watu tugombee u mother house to be?, ila huyo Dada kazingua, ilibidi akushukuru sana ukiomba kitu kuna kupata au kukosa yeye kaomba 150 kapata 100 analalamika ,ungemwambia airudishe ili ujipange umtumie 150 afu usimtumie kabisa aarghHongera sana kwa kugawana na mama zaidi!
Mimi huyu nilikuwa ready kumhudumia kwa sababu psychologically nilishaanza kumfanya mke wangu wa siku chache sana zijazo,ila kumbe naye mpuuzi tu
,na ndiyo maana watoto wazuri wote mjini unawaita shemeji, honga mkuu hayaaUsawaha huu unahonga 150k????? Mkuu pesa unazoo Mamaee me hata 10k halambiii
Hana kazi, ye ukikutana naye anachoweza kukupa ni mashine.ila kuamzia gest, n.k ..unalipia wewe.
Hahahaaaa kwa mke mtarajiwa unatoa tu mbona
Nimesahau jina la kikundi,ila ukiandika hivyo hivyo "unahonga pakubwa wewe unakula padogo" utawaona hao madogoUnapata 1000 unahonga 700.
Unahonga pakubwa.
Unakula padogo weeewee
Watoto zako wanakula viazi vitamu
ThaGreatman
Nisaidie hiki kikundi kinaitwaje ili niwatafute You Tube.
Mwaka mzima umeenda bure tu,wakati target yangu yote ilikuwa kumalizana na ubachela kabisaKwahiyo jimbo lipo wazi mkuu ,watu tugombee u mother house to be?, ila huyo Dada kazingua, ilibidi akushukuru sana ukiomba kitu kuna kupata au kukosa yeye kaomba 150 kapata 100 analalamika ,ungemwambia airudishe ili ujipange umtumie 150 afu usimtumie kabisa aargh
Mkuu. Kama mchumba wako mtarajiwa hana tabia ya kushukuru anza kumfundisha kwa matendo.Ni kweli mkuu ila kuna kitu kinaitwa "maadili" mwanamke asiyeweza kushukuru hafai kuwa mama bora. Na hapo ndipo msingi wa wadau wengi ulipo kuwa na 'shukrani'
Ni kweli hatutakiwi linganisha 'care' ya wazazi wetu kwetu na ya wapenzi wetu kwetu. Ni vitu ambavyo kamwe haviwezi lingana
Ila "maadili" tunaweza linganisha ili tuchague yaliyo bora kwetu na kwenye jamii.
PreeeeeaaaaaachSasa utampaje hela wakati haujamuoa!! Hilo ni kosa.Hiyo ni sawa na hongo ili akubali ombi lako la kumuoa na hapo ndipo wanaume tunafeli.
Ni sawa na kurusha jiwe gizani.Tazama sasa pesa zako nyingi amekula na haujamuoa!!! So painful mkuu.
Hata kama ana mipango ya MAENDELEO(kumpa mtaji) usimpe mpaka utakapo muoa.
Zamani mabinti walikataa pesa ya mwanaume kabla ya kuolewa but siku hizi ni tofauti.
Fanya hivyo kwa wanawake unaowataka kimwili tu na isiwe pesa mingi kiasi hicho labda angalau 10k- 17.8k sio mbaya WHY? Coz mwanamke mwenye akili atakuona wewe hauna mpango wa kumuoa na ataanza kukupiga mizinga tu na siku ya mwisho mtaachana.
Hawa watu usiwaamini sanabBoss wangu utaumia.... Huyo alikufanya ATMHongera sana kwa kugawana na mama zaidi!
Mimi huyu nilikuwa ready kumhudumia kwa sababu psychologically nilishaanza kumfanya mke wangu wa siku chache sana zijazo,ila kumbe naye mpuuzi tu