TANZANIA TUITAKAYO VIJANA ipo mikononi mwetu vijana.
Ni jukumu letu mimi na wewe MTANZANIA mwenzangu kuhakikisha tunaipata Tanzania Tuitakayo kwa kupiga kura za ndio kwa kiongozi muadilifu na mchapa kazi pasipo ushabiki na kubuluzwa na wale wote wenye uchu wa madaraka na makandokando mengi.
Tusikilize sera za pande zote kwa makini na tutafakari kwa kina ni vipi zinatekelezeka!
Tusidanganyike vijana wenzangu tukaiuza nchi yetu tukufu kwa vielfu kumi kumi na nwisho tukaiweka rehani nchi yetu tukufu!
Itakua ni dhambi kubwa sana isiyosameheka tukipiga kura za ndio kwa kiongozi asiye na sifa na nidhamu ya UONGOZI!
Ee Mtanzania mwenzangu, tafakari, chukua HATUA
MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naomba kuwasilisha!
Ni jukumu letu mimi na wewe MTANZANIA mwenzangu kuhakikisha tunaipata Tanzania Tuitakayo kwa kupiga kura za ndio kwa kiongozi muadilifu na mchapa kazi pasipo ushabiki na kubuluzwa na wale wote wenye uchu wa madaraka na makandokando mengi.
Tusikilize sera za pande zote kwa makini na tutafakari kwa kina ni vipi zinatekelezeka!
Tusidanganyike vijana wenzangu tukaiuza nchi yetu tukufu kwa vielfu kumi kumi na nwisho tukaiweka rehani nchi yetu tukufu!
Itakua ni dhambi kubwa sana isiyosameheka tukipiga kura za ndio kwa kiongozi asiye na sifa na nidhamu ya UONGOZI!
Ee Mtanzania mwenzangu, tafakari, chukua HATUA
MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naomba kuwasilisha!