Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,080
- 8,335
Magufuli ndiye haswa chaguo stahiki.
Chaguo lako na ndugu zako
Magufuli ndiye haswa chaguo stahiki.
Magufuli ndiye haswa chaguo stahiki.
Tatizo lenu bavicha mnabuluzwa sana
tumechoka kuongozwa na ccm,tumechoka kutegemea watu/mtu,tutachagua ukawa ili watuletee katiba yetu ambayo ndiyo itaweka mifumo bora ya utawala wa nchi yetuTANZANIA TUITAKAYO VIJANA ipo mikononi mwetu vijana.
Ni jukumu letu mimi na wewe MTANZANIA mwenzangu kuhakikisha tunaipata Tanzania Tuitakayo kwa kupiga kura za ndio kwa kiongozi muadilifu na mchapa kazi pasipo ushabiki na kubuluzwa na wale wote wenye uchu wa madaraka na makandokando mengi.
Tusikilize sera za pande zote kwa makini na tutafakari kwa kina ni vipi zinatekelezeka!
Tusidanganyike vijana wenzangu tukaiuza nchi yetu tukufu kwa vielfu kumi kumi na nwisho tukaiweka rehani nchi yetu tukufu!
Itakua ni dhambi kubwa sana isiyosameheka tukipiga kura za ndio kwa kiongozi asiye na sifa na nidhamu ya UONGOZI!
Ee Mtanzania mwenzangu, tafakari, chukua HATUA
MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naomba kuwasilisha!
Wagombea wenye makandokando mengi hawastahili kabisa tuwapige vita popote wanapopita.
2005 tulichagua chaguo la Mungu mr.Jk unakumbuka issue ya escrow alifanyaje?aliyeumwa na nyoka hata akiona Jani anaruka,hatudanganyiki na blabla zetu Tena.tuna kwenda na huyo mtu mwenye makandokandoLowasa alitemwa CCM kutokana na kuwa na makandokando mengi.
TANZANIA TUITAKAYO VIJANA ipo mikononi mwetu vijana.
Ni jukumu letu mimi na wewe MTANZANIA mwenzangu kuhakikisha tunaipata Tanzania Tuitakayo kwa kupiga kura za ndio kwa kiongozi muadilifu na mchapa kazi pasipo ushabiki na kubuluzwa na wale wote wenye uchu wa madaraka na makandokando mengi.
Tusikilize sera za pande zote kwa makini na tutafakari kwa kina ni vipi zinatekelezeka!
Tusidanganyike vijana wenzangu tukaiuza nchi yetu tukufu kwa vielfu kumi kumi na nwisho tukaiweka rehani nchi yetu tukufu!
Itakua ni dhambi kubwa sana isiyosameheka tukipiga kura za ndio kwa kiongozi asiye na sifa na nidhamu ya UONGOZI!
Ee Mtanzania mwenzangu, tafakari, chukua HATUA
MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naomba kuwasilisha!
Tatizo lenu bavicha mnabuluzwa sana
TANZANIA TUITAKAYO VIJANA ipo mikononi mwetu vijana.
Ni jukumu letu mimi na wewe MTANZANIA mwenzangu kuhakikisha tunaipata Tanzania Tuitakayo kwa kupiga kura za ndio kwa kiongozi muadilifu na mchapa kazi pasipo ushabiki na kubuluzwa na wale wote wenye uchu wa madaraka na makandokando mengi.
Tusikilize sera za pande zote kwa makini na tutafakari kwa kina ni vipi zinatekelezeka!
Tusidanganyike vijana wenzangu tukaiuza nchi yetu tukufu kwa vielfu kumi kumi na nwisho tukaiweka rehani nchi yetu tukufu!
Itakua ni dhambi kubwa sana isiyosameheka tukipiga kura za ndio kwa kiongozi asiye na sifa na nidhamu ya UONGOZI!
Ee Mtanzania mwenzangu, tafakari, chukua HATUA
MUNGU IBARIKI AFRICA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Naomba kuwasilisha!