Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Jamani tiini Sheria pasipo shuruti maandamano yamekatazwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimuulaum naona hajawahi fika dodomaWee ndo kenge kweli toka Dom hadi dar kuna mikumi?
Unawatakia safari njema so huungani nao au watangulie ww utawakuta goldie ink:Nawatakia safari njema wakuu......
Naona hawana kazi ya kufanyaa hawaaa maana daah kutoka dar mpaka dodoma c mchezooMi Nashangaa Sijui Muda Mnaupata Wapi... Kutoka Dar mpaka Dodoma hamna Kazi Zw Kufanya au
Safari na musiki. Hii tz ya awamu hii ina vibweka cjapata ona!Habari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Hao ndo hawavunji sheria ya kutungwa majukwaani au ndo muda wake!Habari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Wakitembea hivyo ndo inaongeza nini au wanataka nini na watatumia njia zipi maana hatutaki kuchafuriwa na rangi za nguo zao ambazo hata kwa wingi wake nyuki hawawezi dhani ni maua kwani hawapendagi ujinga!Kwa hayo mambo uliyoyataja nakubaliana na wewe ila siwezi kushiriki kwa sababu anakandamiza demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari
Unawatakia safari njema so huungani nao au watangulie ww utawakuta goldie ink:
Watembee uchi ili tuwaone ni wazalendo wa ukweli.DU! TANZANIA HII HAITABADILIKA NG'OO IWAPO WATU WENYE MAWAZO KAMA HAYA BADO MPO!