Hiv hamn kaz yakufanya kunguru nyie achen ukuda.mamb gan mazur kafanya zaid yakutuumiza tu wanyonge. NyambafuuuuuWee ndo kenge kweli toka Dom hadi dar kuna mikumi?
Yaambie hay yanskera sana..nataman yakiwa njian niyashushie radi na gharika kali yote yateketeee.. Mijtu mingne kama michawi.kumpongeza kwa lipi hasa?Hivi hii ni serious au kinyume chake?
Watu kama nyie inabidi mkamatwe mtandikwe viboko,nyie ndio mnaoturudisha nyuma.
Halafu Max anateseka kupigania uhuru wa maoni na villaza kama nyie mkiwepo.
We umelogwa sio bure....kumpongeza kwa lipi hasa?nafs zmejaa hata ujipendekez vp hupat cheo ng'oo. Mijitu mingne kama michawi vileHabari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Njaa na ukata vinawasumbuaHabari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
RUVU mbali sana. Hawa wataishia Ubungo Mataa tu.Hapo ndiyo shuhuli itaharibika, hao-hao wanajiita wazalendo wakisoma umekuja na bango la changamoto watakuvunja miguu na safari yako itaishia Ruvu.
Kazi ya Ubongo inafanywa na Tumbo.Siyo bure mmefubaa akili, umeandika utumbo gani sasa humu JF na Thread yako.
Ni zaidi ya ufalla.Ha ha ha ha ha, hii ndo ya kufungia mwaka.
Waonee huruma wazazi wao."Vijana wazalendo"
Wewe usimtukane huyo,watu wa namna hiyo wanapata ugari wanashiba,sisi huku mtaani wacha tuisome 1235127.maana tunanunua sembe kilo 1 kwa buku jero sasa.na kunawatu wanaendele kushangilia kama huyo bwana hapo.We umelogwa sio bure....kumpongeza kwa lipi hasa?nafs zmejaa hata ujipendekez vp hupat cheo ng'oo. Mijitu mingne kama michawi vile
jHujajibu swali. Kwa miaka mingapi tulikua tunaaminishwa mzee ni fisadi. Au unajifanya kusahau. Ukweli ni mchungu kamanda. Vumilia tukwani kwenye kampeni mwaka jana ulikuwa nje ya nchi au???
Umesahau walichokuwa wanasema akina Humphrey Polepole, mwigulu nchemba ma nape nnauye