Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,664
Wakuu naomba mchangie mada hii.
Ni kwamba mara nyingi imetokea vijana wengi wa kiislamu wanapokuwa katika umri wa miaka kabla ya 25 huwa wanashika sana dini kwa maana ya ibada na kufuata nguzo zote za dini ya kiislamu.
Lakini wanapoingia vyuoni na kuhitimu degree zao (elimu dunia) kisha kuanza maisha mambo hubadilika sana. Ile dini waliokuwa wanaifuata kwa kuzingatia masharti yote huanza kuiacha.
Kikubwa wanachokipenda sana ni pombe. Wanabadilika na kuwa walevi sana kushinda walevi wengine.
Hii imekuwa inanisumbua sana chanzo cha haya yote.
JE ni mfumo wa maisha unawazidi kiasi kwamba dini inaonekana ni mzigo ama ni nini?
Nimekuwa najiuliza sana.
Ni kwamba mara nyingi imetokea vijana wengi wa kiislamu wanapokuwa katika umri wa miaka kabla ya 25 huwa wanashika sana dini kwa maana ya ibada na kufuata nguzo zote za dini ya kiislamu.
Lakini wanapoingia vyuoni na kuhitimu degree zao (elimu dunia) kisha kuanza maisha mambo hubadilika sana. Ile dini waliokuwa wanaifuata kwa kuzingatia masharti yote huanza kuiacha.
Kikubwa wanachokipenda sana ni pombe. Wanabadilika na kuwa walevi sana kushinda walevi wengine.
Hii imekuwa inanisumbua sana chanzo cha haya yote.
JE ni mfumo wa maisha unawazidi kiasi kwamba dini inaonekana ni mzigo ama ni nini?
Nimekuwa najiuliza sana.