Vijana wasomi wa Kiislamu na Pombe

Vijana wasomi wa Kiislamu na Pombe

Nikwa sababu wakiristo wanauheshimu mno mfungo huu wa ramadhani.ushahidi ninao marafiki zangu wakiristo wanasema wanaona aibu kunywa pombe mwezi huu hivyo wameamua kuwaunga mkono waislam kwa kutoshiriki pombe na ufuska mwingine.

Tuwe wakweli na ukweli utatuweka huru
 
hapana nakataa kabisa mnawasingizia waislam,takwimu yangu huku kwetu kilimanjaro vijana wa kikristo ndio wanaoongoza zaidi katika matumizi ya pombe na bangi.waislamu wanapendelea sana kuchepuka
 
Wakuu naomba mchangie mada hii.

Ni kwamba mara nyingi imetokea vijana wengi wa kiislamu wanapokuwa katika umri wa miaka kabla ya 25 huwa wanashika sana dini kwa maana ya ibada na kufuata nguzo zote za dini ya kiislamu.

Lakini wanapoingia vyuoni na kuhitimu degree zao (elimu dunia) kisha kuanza maisha mambo hubadilika sana. Ile dini waliokuwa wanaifuata kwa kuzingatia masharti yote huanza kuiacha.

Kikubwa wanachokipenda sana ni pombe. Wanabadilika na kuwa walevi sana kushinda walevi wengine.

Hii imekuwa inanisumbua sana chanzo cha haya yote.

JE ni mfumo wa maisha unawazidi kiasi kwamba dini inaonekana ni mzigo ama ni nini?

Nimekuwa najiuliza sana.

Na ndio walaji wakubwa w nguruwe
 
hiyo hutokea kwa vijana wote siyo waislamu pekee hata wakriso pia.Kitu kinachosababisha ni kuwa marafiki wabaya.Mimi binafsi nlijikuta najaribu kuvuta chaArusha nliambiwa ina boost akili.

Marafiki wabaya nao si ni vijana kama wao, ama?
 
Nguruwe haram, pombe halal, mademu halal, wake za watu halal, kuthulumu, kuibia serikali, kupiga dili, kuiba kura, ufisadi halal.
 
hapana nakataa kabisa mnawasingizia waislam,takwimu yangu huku kwetu kilimanjaro vijana wa kikristo ndio wanaoongoza zaidi katika matumizi ya pombe na bangi.waislamu wanapendelea sana kuchepuka
Kilimanjaro haina sample nzuri ktk ulinganifu wa hili jambo,hata Zanzibar pia!
 
Back
Top Bottom