Vijana wasiende jeshini....


1.,jeshi ni jeshi..ni kazi kama nyingine thibitisha hili si kweli….

2.Utasemaje intelijensia imebadilika na mbinu hazijabadilika?kwa mtazamo wangu hivi vinaenda pamoja,huwezi sasa ukatumia nguvu nyingi kumpiga adui..sababu sasa kuna vyombo vizuri zaidi vinavyoweza kufanya kazi hio...

3.Sijapinga wanajeshi kupata mafunzo,nimepinga sisi wananchi kugeuzwa wanajeshi

4.Sijajua uko tulikotohoa hii system,ingependeza kama ungetuambia ni nchi gani zinazofanya haya na wamefaidika vipi...
 

Kipimo cha uzalendo baada ya mafunzo ni kipi?
 
Wewe mbishi sana na unabisha vitu usivyo vijua.
Hujui ata Israel inanufaika vipi na hii system ungekuwa unalijua hata hili angalau ningekuelewesha mpaka hapa kwaheri bishana na wasiojua wenzio
 
Ukipewa mafunzo kwa vitendo kujiajiri au kuajiriwa ni utashi wa muhusika lakini ni ajabu sana kama umefundishwa stadi za maisha ukashindwa kutoka kimaisha

eti utashi wa mtu..nakuuliza tena wangapi wamejiajiri au kuajiriwa baada ya kupitia jeshi?
 
Nilitaka kushangaa,, Rebecca huyu huyu tunayemsasambua na kumtandaza miguu ndiye awe na hoja ya maana? Wewe endelea kupiga kelele lakini jeshini wataenda tu!

mnhhhhhhh 🙁🙁🙁🙁🙁😡😡😡😡..jiheshimu,hunijui sikujui..
 
Ahsante JKT,
Ahsante 832 KJ,
Mliniweka sawa, sasa nina uwezo wa kuishi sehemu yoyote, kuishi na mtu yeyote na pia kujihami.
JKT raha sana, kwanza kule hakuna mitihani zaidi ya msuli wako
 
Wewe mbishi sana na unabisha vitu usivyo vijua.
Hujui ata Israel inanufaika vipi na hii system ungekuwa unalijua hata hili angalau ningekuelewesha mpaka hapa kwaheri bishana na wasiojua wenzio

Kama sijui kuna chance wengine wengi hawajui..

Wewe elezea watu wapate ufahamu..

kwani kuna ugumu gani yakhee?
 
eti utashi wa mtu..nakuuliza tena wangapi wamejiajiri au kuajiriwa baada ya kupitia jeshi?
Narudia tena JKT ni kwa hiari ukiachana na wale wa mujibu wa sheria unalipwa ukiwa JKT unafundishwa ufundi kilimo ufugaji n.k posho unayo pata ndani ya miaka miwili unashindwaje kununu mashine ya grilili ukachomelea mageiti unashindwaje kununua mwiko ukaanza ujenzi?JKT ni zaidi ya chuo
 
hoja yako haina mashiko...
mbona tunajua na kuongea Kiswahili na bado tuna somo la Kiswahili?
exposure gani watakayopata huko?kama sio kupoteza muda?
Unakumbuka hoja yako ya msingi kwanini vijana wasiende jkt? Au dish limeshayumba.
Kwamba hiyo miezi mitatu tu ya kwenda jkt mtu akijifunza english na computer ndio ataweza kuwa competent kushindana na wakenya.
Exposure umeshatajiwa nyingi tu huko juu, rudi kazisome
 
Kipimo cha uzalendo baada ya mafunzo ni kipi?
Kipimo ni hiki..."..ni vizuri kutoa jasho jingi wakati wa amani ili utoa jasho kidogo wakati wa vita....." ninacokiongea huwezi kuelewa kwa sababu umevimbiwa amani ambayo hujui inatengenezwaje.
 


JIBU ni NDIO, mtu anaweza kuwa competent kwenye Computer na English ndani ya miezi mitatu..tukipata walimu SAHIHI na enough FACILITIES!...
 

wewe usizunguke..nakuuliza tena wangapi wameajiriwa au kujiajiri baada ya kupitia mafunzo jeshini?
 
Taifa linahitaji vijana hodari na wenye ujasiri wa kulinda na kutetea Taifa lao.
Taifa linahitaji nguvu kazi madhubuti
Taifa linahitaji vijana wenye nidhamu,wakakamavu, wanaojituma na watiifu.
Alisikika mtu(mheshimiwa) mmoja serikalini akisema!!!
 
Taifa linahitaji vijana hodari na wenye ujasiri wa kulinda na kutetea Taifa lao.
Taifa linahitaji nguvu kazi madhubuti
Taifa linahitaji vijana wenye nidhamu,wakakamavu, wanaojituma na watiifu.
Alisikika mtu(mheshimiwa) mmoja serikalini akisema!!!
Uzalendo haupimwi kwa kupigwa matofali kichwani, bali kuona serikali inajali wananchi wake...

Ukakamavu, nenda GYM lol
 
Umenena DD wangewapeleka hata ktk ufundi.
 
A
Nilitaka kushangaa,, Rebecca huyu huyu tunayemsasambua na kumtandaza miguu ndiye awe na hoja ya maana? Wewe endelea kupiga kelele lakini jeshini wataenda tu!
Akili za ugali hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…