Vijana wasiende jeshini....

Vijana wasiende jeshini....

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Hello JF,

in this ever changing world..

is essential people (youth) are equiped with right skills/knowledge...

Nimeona ,wanajeshi wakipasuliwa tofali kichwani 😳 😳 😳

Embu tu discuss wana JF,

How is this supposed to help these young persons?

May be it was adaptive back then...

ila sio sasa…

Jeshi libakie jeshi anayependa aende..

lakini isiwe kigezo cha kupata kazi...

kwanza nchi yetu ina Amani sana,hatuhitaji makomandoo kama 'shoziniga',wale tuliokua tunawaona kwenye TV,😉,

Anyway,

Mie nimewaza,

nikaona hizo hela za kuwalisha,kuwapa malazi vijana wooote hao jeshini..

ingetumika kuwapa right skills/knowledge hao vijana

jeshini vijana wanapoteza umri na mambo ambayo hayawasaidii mbeleni...


ukumbuke ni vijana..MUDA na NGUVU zao zingeweza kuelekezwa kwingine kwenye tija Zaidi...

Mie ningependa badala ya kwenda jeshini, ni vizuri hawa vijana wakapita through smooth transition from Secondary School to University life.

Vitu vitakavyowasaidia shuleni na baadae wanapopata ajira...

Namaanisha,

vijana baada ya kumaliza kidato cha sita,wapate kusoma kompyuta,English(both verbal and written),...strategies such as presentation skills...

( Mengine muongezee),

Am sure hivi vitu vikitiliwa mkazo..vitamsaidia mtu akienda CHUO na hata baadae kwenye AJIRA...

Naelewa sasa hivi vitu especially shule za private zunafundisha hivi vitu with their curriculum

ila bado kuna gap kubwa sana…

hii ingekua official..

Wahitimu wakimaliza University wanakuwa wameiva na relevant skills/knowledge.

Tungekuwa Competent kwenye soko la ajira..

Sio kama sasa hata waKenya wanatunyanyasa..lol

.
 
yaani baada ya kumaliza six wasome english yanini tena,,?
presentation skill si zinafundishwa kwenye life skill kuanzia form 1 huko....
hapo watilie mkazo masomo ya Tehama Kuanzia shule za msingi
 
Huoni faida yake seriously?
Huu ni mfumo ulioko hata Israeli na ndiko tulikokopi.
.
Faida zake sasa nakupa
1. Wao ni jeshi la akiba
Kikinuka lazima waitwe wakapambanie Taifa lao, wakati wa vita ya Kagera vijana walikuwa hawana ABC kabisa ilibidi kuanza kufundishwa.
.
Nakuibia siri walidanja wengi sana wakati wa vita na waliobahatika kubaki ndio wengi wao wanastaafu miaka hii waliingizwa Magereza, Polisi na hata JWTZ
.
2. Wao ni jeshi la wokovu.
Usiombe ukapigwa na jeshi la wokovu ni mara mia uwe detained kwenye kambi za BOKO HARAM kuliko kupigwa na jeshi la wokovu.

3. Tumepunguza gharama na muda wa kuwafunza kikinuka.

Hawa vijana tunawaita service man (SM) tumeshawatoa kwenye ukuruta sasa kikinuka ni mafunzo kidogo tu ambayo hawakupatiwa watayapata ya medani za vita over
.
Sasa hivi wanazo mbinu ndogondogo tu
4. Na mwisho Nidhamu.
Hii kitu ndio ya msingi sana vijana wanaondoka nayo huko waendako wawe na nidhamu ya kila kitu hata kula vilivyo katikati ya miguu.
 
Hello JF,

in this ever changing world..

is essential people (youth) are equiped with right skills/knowledge...

Nimeona ,wanajeshi wakipasuliwa tofali kichwani 😳 😳 😳

Embu tu discuss wana JF,

How is this supposed to help these young persons?

May be it was adaptive back then...

ila sio sasa…

Jeshi libakie jeshi anayependa aende..

lakini isiwe kigezo cha kupata kazi...

kwanza nchi yetu ina Amani sana,hatuhitaji makomandoo kama 'shoziniga',wale tuliokua tunawaona kwenye TV,😉,

Anyway,

Mie nimewaza,

nikaona hizo hela za kuwalisha,kuwapa malazi vijana wooote hao jeshini..

ingetumika kuwapa right skills/knowledge hao vijana

jeshini vijana wanapoteza umri na mambo ambayo hayawasaidii mbeleni...


ukumbuke ni vijana..MUDA na NGUVU zao zingeweza kuelekezwa kwingine kwenye tija Zaidi...

Mie ningependa badala ya kwenda jeshini, ni vizuri hawa vijana wakapita through smooth transition from Secondary School to University life.

Vitu vitakavyowasaidia shuleni na baadae wanapopata ajira...

Namaanisha,

vijana baada ya kumaliza kidato cha sita,wapate kusoma kompyuta,English(both verbal and written),...strategies such as presentation skills...

( Mengine muongezee),

Am sure hivi vitu vikitiliwa mkazo..vitamsaidia mtu akienda CHUO na hata baadae kwenye AJIRA...

Naelewa sasa hivi vitu especially shule za private zunafundisha hivi vitu with their curriculum

ila bado kuna gap kubwa sana…

hii ingekua official..

Wahitimu wakimaliza University wanakuwa wameiva na relevant skills/knowledge.

Tungekuwa Competent kwenye soko la ajira..

Sio kama sasa hata waKenya wanatunyanyasa..lol

.
Mbona wenyewe kiswahili wanachapia kwa hiyo english si lugha yetu mama wengi wanajifunzia juu juu mtu anafika hadi anamaliza chuo hawezi kupresent kabisa nakuonhgea english hata kidogo

Kingine niseme kama unataka watu wafahamu English basi waanzie utotoni kabisa shule msingi ndio watatoboa vizuri


Kuhisu JKT nikupoteza muda tu
Sioni wakenya wakifanga huuujinga


JKT is just a wastage of time
 
Mbona wenyewe kiswahili wanachapia kwa hiyo english si lugha yetu mama wengi wanajifunzia juu juu mtu anafika hadi anamaliza chuo hawezi kupresent kabisa nakuonhgea english hata kidogo

Kingine niseme kama unataka watu wafahamu English basi waanzie utotoni kabisa shule msingi ndio watatoboa vizuri


Kuhisu JKT nikupoteza muda tu
Sioni wakenya wakifanga huuujinga


JKT is just a wastage of time

Mkuu nimekuelewa sana swala la kusoma English kuanzia utotoni..nilishawahi kuleta jambo hili zamani,ukiangalia report nyingi zinasema Lugha ni tatizo katika Elimu yetu,either tuamue Kiingereza kitumike kuanzia vidudu mpaka vyuoni au tutumie Kiswahili kuanzia vidudu mpaka vyuoni………..


# Tokomeza JKT.... 😅 😅 😅
 
Mbona wenyewe kiswahili wanachapia kwa hiyo english si lugha yetu mama wengi wanajifunzia juu juu mtu anafika hadi anamaliza chuo hawezi kupresent kabisa nakuonhgea english hata kidogo

Kingine niseme kama unataka watu wafahamu English basi waanzie utotoni kabisa shule msingi ndio watatoboa vizuri


Kuhisu JKT nikupoteza muda tu
Sioni wakenya wakifanga huuujinga


JKT is just a wastage of time
Kweli kabisa mnapinga jkt. Kumbe inatakiwa serikali yetu kupitia msemaji wa jeshi atoe maelezo ya kina juu ya faida ya kujiunga na JKT, kwani nimepitia comments za watu hapa karibia wote wanapinga national service.
 
Kweli kabisa mnapinga jkt. Kumbe inatakiwa serikali yetu kupitia msemaji wa jeshi atoe maelezo ya kina juu ya faida ya kujiunga na JKT, kwani nimepitia comments za watu hapa karibia wote wanapinga national service.

Hao wanaoenda kwa kutaka kufanya kazi waende..

Ila hao vijana wanaoenda baada ya form six wangejikita kwenye mambo mengine yenye manufaa zaidi kwao..
 
Huoni faida yake seriously?
Huu ni mfumo ulioko hata Israeli na ndiko tulikokopi.
.
Faida zake sasa nakupa
1. Wao ni jeshi la akiba
Kikinuka lazima waitwe wakapambanie Taifa lao, wakati wa vita ya Kagera vijana walikuwa hawana ABC kabisa ilibidi kuanza kufundishwa.
.
Nakuibia siri walidanja wengi sana wakati wa vita na waliobahatika kubaki ndio wengi wao wanastaafu miaka hii waliingizwa Magereza, Polisi na hata JWTZ
.
2. Wao ni jeshi la wokovu.
Usiombe ukapigwa na jeshi la wokovu ni mara mia uwe detained kwenye kambi za BOKO HARAM kuliko kupigwa na jeshi la wokovu.

3. Tumepunguza gharama na muda wa kuwafunza kikinuka.

Hawa vijana tunawaita service man (SM) tumeshawatoa kwenye ukuruta sasa kikinuka ni mafunzo kidogo tu ambayo hawakupatiwa watayapata ya medani za vita over
.
Sasa hivi wanazo mbinu ndogondogo tu
4. Na mwisho Nidhamu.
Hii kitu ndio ya msingi sana vijana wanaondoka nayo huko waendako wawe na nidhamu ya kila kitu hata kula vilivyo katikati ya miguu.

Mkuu ujeshi ni kazi kama nyingine,waende wanaotaka kuwa wanajeshi……

Kusema watu watahitaji mafunzo kidogo kukitokea vita si kweli,mbinu za vita zinabadilika kila leo,na ndio maana ukiupata ujeshi unafundishwa na kupractise kila baada ya muda....kukuweka fit ...vita ikitokea ni kazi ya wanajeshi walioapa kutulinda na wanalipwa kwa kodi zetu

Honestly speaking, sijaona Nchi ambayo kujikinga na vita inawatrain wananchi wake kupitia Jeshi..hata zile nchi zinazopigana mara kwa mara...

Nidhamu ni swala la malezi tu nyumbani utokako
 
Hello JF,

in this ever changing world..

is essential people (youth) are equiped with right skills/knowledge...

Nimeona ,wanajeshi wakipasuliwa tofali kichwani 😳 😳 😳

Embu tu discuss wana JF,

How is this supposed to help these young persons?

May be it was adaptive back then...

ila sio sasa…

Jeshi libakie jeshi anayependa aende..

lakini isiwe kigezo cha kupata kazi...

kwanza nchi yetu ina Amani sana,hatuhitaji makomandoo kama 'shoziniga',wale tuliokua tunawaona kwenye TV,😉,

Anyway,

Mie nimewaza,

nikaona hizo hela za kuwalisha,kuwapa malazi vijana wooote hao jeshini..

ingetumika kuwapa right skills/knowledge hao vijana

jeshini vijana wanapoteza umri na mambo ambayo hayawasaidii mbeleni...


ukumbuke ni vijana..MUDA na NGUVU zao zingeweza kuelekezwa kwingine kwenye tija Zaidi...

Mie ningependa badala ya kwenda jeshini, ni vizuri hawa vijana wakapita through smooth transition from Secondary School to University life.

Vitu vitakavyowasaidia shuleni na baadae wanapopata ajira...

Namaanisha,

vijana baada ya kumaliza kidato cha sita,wapate kusoma kompyuta,English(both verbal and written),...strategies such as presentation skills...

( Mengine muongezee),

Am sure hivi vitu vikitiliwa mkazo..vitamsaidia mtu akienda CHUO na hata baadae kwenye AJIRA...

Naelewa sasa hivi vitu especially shule za private zunafundisha hivi vitu with their curriculum

ila bado kuna gap kubwa sana…

hii ingekua official..

Wahitimu wakimaliza University wanakuwa wameiva na relevant skills/knowledge.

Tungekuwa Competent kwenye soko la ajira..

Sio kama sasa hata waKenya wanatunyanyasa..lol

.
Sasa inakuwaje mtu amalize elimu ya kidato cha sita kisha uanze kumfundisha tena yale yale, kama ni suala la computer course wengi wamesoma tangu elimu ya msingi mpaka sekondari, pia hizo communication skills wataenda kufundishwa chuoni huko.
 
JKT kuna manufaa mengi unajifunza skills nyingi kilimo ufugaji ujenzi n.k kijana akitoka hapo ana enda kijitegemea ni kama chuo tofauti jkt unapata mafunzo ya kijeshi na nidhamu nadhani umekurupuka kuandika bila kujua JKT ni nini
 
Tatizo linakuja pale ambapo serikali inasema hakuna mtu kuajiriwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama bila kupitia JKT. Ktk maisha kila mtu na ndoto yake yakuja awe nani badae.

Hivo inambidi mtu aende JKT ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuja kuwa askari kati ya vyombo vya ulinzi na usalama kama serikali ilivyo ahidi na hapa ndipo tatizo lipo. Utaanza kusikia mara JKT haiajiri mara sijui nini wakati umesha weka limit ili uajiriwe katika vyombo vya ulinzi na usalama lazima upitie JKT.

Ushauri wangu kwa serikali ni bora irudishe ule mfumo wa zamani wa kuajiriwa mtu kutoka mtaani moja kwa moja kujiunga kwenye vyombo vya ulinzi na usalama bila kupitia JKT kama ilivyo hivi sasa maana uku ni kupotezeana muda tu.

Ni bora mtu asubiri hizo ajira akiwa mtaani uku akiendelea na mishe nyingine za kimaisha , Na pia kwenda jkt iwe ni hiari ya mtu kwa sababu Tz tupo milioni 55 huwezi kosa watu 5000 wanao jitolea kwa hiari kila mwaka.

Naomba serikali ibadilishe huu mfumo haraka maana haujengi ila unachochea umaskini miongoni mwa vijana wanao acha shughuli zao mtaani na kwenda JKT Kwa lengo la kutimiza lengo lao la kuja kuwa miongoni mwa member wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Mkuu wewe unawaza ajira peke yake, suala la kujiajiri kwako halipo kichwani na hauna muda wa kulisemea wala kulijadili.

Hivi kwako miezi mi3 wanayoenda kufundishwa ukakamavu na mbinu za medani kwako ni upuuzi?

Miezi mi3 mbona ni muda mfupi sana usioathiri future yoyote ya mtu?

Kusanyiko la kitaifa wanalolipata hao vijana, kuna kitu wana gain, kuliko wewe uliyebweteka nyuma ya keyboard unakula tu shushi.
 
Mkuu ujeshi ni kazi kama nyingine,waende wanaotaka kuwa wanajeshi……
Haiwezekani

Kusema watu watahitaji mafunzo kidogo kukitokea vita si kweli,mbinu za vita zinabadilika kila leo,na ndio maana ukiupata ujeshi unafundishwa na kupractise kila baada ya muda....kukuweka fit ...vita ikitokea ni kazi ya wanajeshi walioapa kutulinda na wanalipwa kwa kodi zetu
Wanajeshi ni wachache sana, mbinu za kivita hazijawahi kubadilika kinachobadilika ni intelligence.
Zamani za kale hizooo kulikuwa na snipers hadi sasa wapo n.k n.k

Honestly speaking, sijaona Nchi ambayo kujikinga na vita inawatrain wananchi wake kupitia Jeshi..hata zile nchi zinazopigana mara kwa mara...

Nidhamu ni swala la malezi tu nyumbani utokako
Hapa ungeuliza kabla ya kuandika nilikutajia hadi nchi ambayo tumetohoa mfumo wao.
.
Israel kila mwananchi lazima apitie jeshini ni lazima na atakuwa mwanajeshi wa akiba kama asipotaka kuendelea na jeshi kwa robo tatu ya maisha yake yani hili sio ombi.
 
Back
Top Bottom