Vijana wangu msiuache mfumo dume

mwanaume ukifikia hatua Kama hii yako ,Basi umeuza cheo chako kwa mkeo!kitakachofuata kubuluzwa na kuaibishwa hadharani. Asili umepotea na inaendelea kupotea,wanaume wamekata tamaa,Sasa wamekubali ku surrender kwa KE, wanaume wamekubali kupinduliwa kicha chini,miguu juu,Allah alisema mwanamke atii kwa mume ,na mwanaume ampende mke,Sasa wanawake wamefuta maagizo ya Allah, na kulazimisha maandiko yao,yaani Sasa hivi iko hivi -mwanaume utii kwa mkeo!! . na Sasa hivi,tuna chui jike kule white house,na chui jike jingine kule mjengoni!! Wanaume tupotupo tu hatujielewi na hatushtuki nn kinaendelea!!!
Siyo vibaya wakiwepo huko juu ila tu tukubali watumike kwenye jamii kama ambavyo wanaume walipewa kazi hiyo ya kujenga jamii na uchumi, ila kwenye mtu binafsi yaani mwanaume tujitahidi kuwa watawala kwenye ngazi zetu za mahusiano Ili unayemtawala akuheshimu na kukutii tu automatic kwa wewe kuwa juu yake, huko kwingine kwenye kazi hata wakiwa juu yako chukulia niwajenga Nchi na wewe upo kwaajili ya kutimiza hitaji lako la muhimu la kula kwa jasho.
 
Elimu ya uumbaji imeruhusu Me kula mizigo mingi kadili awezavyo ila haijaruhusu Ke kuliwa tofauti na mme wake au hovyohovyo...

Ke anaweza kufumania tena ndani ya nyumba yake, akasamehe na maisha yakaendelea, Me akifumania ni ngumu sana kusamehe na maisha yakaendelea hapo talaka lazima ihusike, this is automatic kutoka elimu ya uumbaji..

Mwanamme ameumbwa kuwa mtawala, kitendo ya kusalitiwa na Ke tayari ile ya utawala dhidi ya kiumbe Ke inatoweka maana watawala wanakuwa wengi na lolote laweza kutoke...
Sasa wale wanawake Saba watakaomugombea mwanaume mmoja kama Sasa wanaume wanavyogombea mwanamke mmoja ? Ni mazingira tu ya wanaume walipokuwa na nguvu za kutawala ila tunapoelekea hili la usaliti litageuka kama huko kwa wenzetu wanavyopeana talaka baada ya wanawake kupata ushahidi wa kucheat maana wote wanaruhusiwa hata huku mweza akicheat talaka inahusu kuanzia kwenye Dini mpaka mahakamani, kilichofanya wanaume wapate upendeleo Afrika ni uchumi wao kuwa juu ya wanawake, Sasa huyo k analiwa sana tu imagine watu wapo mikoa tofauti kwa kutafuta vipato Kila mtu na mtu wake wa Siri wakati zamani mke alikuwa hafanyi kazi Ili aambatane na mumewe popote kwa kusimamia mji na kutunza mume ila Sasa huyo mfanyakazi mwenzio ambaye ni mkeo anaishi mkoa tofauti anacheat tu ila kwa vile uchumi ndo unaendesha dunia akikuletea gari utumie la mume mwenzio unachekelea.
 
Shida inakuja sasa, wanaume wenyewe wa kuwa wanaume wako wapi!! Wanaume mmepwaya sana katika huo uanaume wenu. Wala msitumie mabavu, kumbukeni akili tu mlikoziacha(kama mlikuwa nazo lakini).
Na hawakuambiwa waishi na wanawake kwa mabavu Bali kwa akili Sasa wametupa akili wamebakiza mabavu yaliyofanya mwaume ashindwe kwa kiwango kikubwa Sana.
 
Kwa hiyo hapo mwenye nguvu atakuwa mwanamke, wanawake Saba wenye uchumi wao wakila chakula Chao au wakiwa na uchumi wao maana yake wakiwa wamiliki wa mazingira yao wakuite Kila mmoja kwa wakati wake mwanaume uwe mpita njia kwenye nyumba zao kama mwanamke Malaya anavyokuwa mpita njia kwa kutumika kwenda kutimiza haja za mwanaume kweli hapo heshima ya mwanaume itabaki wapi? Kama maumbile ya mwanamke hayakumpa nguvu ya kutawala zaidi ya kutawaliwa ndivyo itakavyokuwa kwa mwaume yeyote atakaye tumia maumbile yake pekee kwenye mahusiano, Nguvu ya uchumi ndo Kila kitu kwa mwanaume na ndo maana akapewa kazi ya kutumia jasho lake hujiulizi kwanini hakuambiwa akale kwa kutumia maungo yake ya uzazi? Kwa vile mtu mwenye uchumi ananguvu kubwa kwenye kutawala na anayetawaliwa huwa uchumi wake au vigezo vingine lazima viwe juu kama elimu na ndo maana zamani wanawake wenye vipato na elimu kubwa walitumika kama watu wa kusaidiana na wanaume kujenga Nchi na siyo kuwa chini ya mwanaume kwa kuolewa.
Hata akiwa na elimu, akiolewa ni lazima awe chini yangu.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mbona Sasa yameshakuwa maji yaliyomwagikia ardhini? Kuna wanawake Wana nguvu za kuua dubu, Simba, nyoka na hata mapambano makubwa kuliko wanaume wasiofanya mazoezi, Kuna wanawake wenye elimu kubwa kuliko wanaume wasiofikia hizo elimu, Kuna wanawake wenye uchumi mkubwa kuliko wanaume wenye uchumi mdogo, Sasa mwaume alipewa kutawala na Ili utawale unatakiwa kuwa juu Sasa mume la Saba na mke ni PHD Sasa hapo nani atamutawala mwenzake kwenye maarifa hapo? Japo jinsia hazibadiliki lakini tayari huo usawa umekuja wenyewe baada ya wanawake kuwazidi ujanja wanaume kama pale busitanini tunavyomulaumu Adam kwanini alikubali kuzidiwa maarifa mpaka kula tunda? Ndo hivyo kizazi cha baadadaye kitavyoshangaa kwanini wanaume walikubali kuzidiwa maarifa kiasi cha kufanya aliyetakiwa kuwa chini yupo wewe unachukua aliyejuu yako bado ukitegemea utajiondoa kwenye usawa hapo? Labda fimbo zirudi kwa wanaume wote walioshindwa kutumia akili zao kiasi cha kuuza utawala wao.
Hapo sawa, fimbo zirudi! Ila mimi regardless mke ana kazi au hana, yupo chini yangu. Kama hataki aende. Yaani mimi ndio muumini wa mfumo dume 99%.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja walaqhi', wanaume wajitahidi kubaki kwenye nafasi zao, uanaume umechezewa sana hivi sasa, umedharaulika mno, ile heshima ya kiume imetoweka kwa kasi, nawahurumia mno watoto wetu wa kiume, Mungu atusaidie kiukweli..!
Na wakuhurumiwa zaidi hapo ni watoto wa kike maana kwa mwendo huu kuna hatari wakaishi na kufa wakiwa hawajaonja utamu wa mamlaka ya "mume" jambo ambalo kimaumbile na kiasili ni "haki" yao muhimu sana maishani.
 
Vijana wangu, nawahurumia mno na dunia hii tuliyopo sasa. Mfumo dume si kupiga piga wala kunyanyasa wanawake au kutosomesha watoto wa kike, mfumo dume si kutoa maneno ya udhalilishaji kwa wanawake unapolewa. Mfumo dume ni pamoja na kuheshimu wanawake na kuwalinda.

Mfumo dume ni nini?

Ili maisha yaende ni lazima, hususani katika ngazi ya familia, LAZIMA mmoja ajishushe ili maisha yaende. Na maandiko YOTE matakatifu (kwa mnaoamini Mungu) yameshaweka hili bayana.

Wa kujishusha ni mwanamke, kwa nini? Jibu analo Mungu aliyesema iwe hivyo. Matatizo mengi ya siku hizi yanatokana na kutaka kwa hali na mali kumuangusha mwanaume kileleni kwenye nafasi yake ya mamlaka na utawala.

Ndoa zinavunjika siku mpaka siku, kwa wanawake kutaka kuingilia utawala na mamlaka ya waume zao. Kuchelewa kurudi mpaka kurudi asubuhi, kutopika kwa wakati bila taarifa maalumu, na kuwa mkali ukiulizwa sababu.

Yaani katika maamuzi ya familia mwanamke naye anataka ashiriki 50% zote, khaaa! Hii haiwezekani na haitowezekana, na wanawake hawataki kukubali, wanataka wawe sawa kwa kila kitu ukiacha kuzaa na maumbile tu. Zamani ndoa ilikuwa inaheshimika ila si sasa.

Sio kwamba zamani wazee wetu walikuwa wananyanyasa wanawake kama propaganda za magharibi zinavyosema, si kwamba wazee wetu walikuwa hawajastaarabika na hawana akili, si kwamba wazee wetu walikuwa watu wa hovyo hovyo, hapana!

Wazee wetu walisimama KIKAMILIFU kwenye nafasi zao, na waliweka sheria kali za kuwalazimisha bibi zetu wasimame kwenye nafasi zao, hili ndilo feminists huligeuza na kuliita lilikuwa ukandamizaji kwa jinsia ke, kitu ambacho ni totally wrong.

Walitakiwa waanze kumlaumu Mungu na kumuita mkandamizaji, feminists na wafadhili wa haki sawa hawawafahamu wanawake kama Mungu mwenyewe anavyowafahamu.

Kumlazimisha mwanamke kusimama kwenye nafasi yake kimaandiko, na KITAMADUNI ZA AFRIKA SI UKATILI, NA SI UKANDAMIZAJI. Ni kuinusuru jamii na kizazi cha miaka ijayo, kwani hali hii ya sasa na hili vugu vugu likiendelea, Afrika naiona ikiangamia mbeleni, na rangi nyeusi itatoweka.

Sehemu yoyote yenye ukinzani lazima ugomvi uwepo, angalia rate ya mauaji ya wanandoa dunia hii ya sasa, angalia namna vijana wa kiume wanaozaliwa, wanavyokosa maadili ya kiasili ya mwanaume wa kiafrika?

Angalia misemo ya kishetani inayokua kila siku? 'Hakuna anachoshindwa mwanamke, anaweza kufanya kama mwanaume na zaidi', ni ushenzi.

ITOSHE KUSEMA AFRIKA TUMECHEZEWA SANA NA HAWA WA MAGHARIBI, TUMEKOSA KUSIMAMIA TAMADUNI ZETU ZA ASILI ZENYE KUJALI HESHIMA, UTU, ADABU, UPENDO NA MSHIKAMANO.

TUJIULIZE MBONA URUSI NA CHINA HAWACHEZEWI HOVYO HOVYO? MBONA KUNA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE(KAMA WANAVYOITA WENYEWE), ILA HAWAINGILIWI?

TUAMKE, TURUDIE ASILI YETU, HAKI SAWA NI PROPAGANDA YA KUWANYIMA SAUTI WANAUME WENGI WA KIAFRIKA, HATUPO SAFE, MAUAJI YATAZIDI MNO KWA TREND HII YA SASA. HIVI HAMJIONEI? Tuendelee

Jiulize kwa nini siku hizi majina kama vibamia yamekuwa mengi? Siku hizi wanawake wanatoa siri za waume zao kuliko zamani, unajua kwa nini? Haki sawa! Hii yote ni kuhakikisha jamii inamdharau mwanaume, ikiwemo kumpotezea kujiamini mbele za watu na kwa mkewe.

Hii ni kufanya fadheha alizopata mwanamke na mwanaume apate ili wawe sawa na iwe rahisi kupoteza kujiamini kwake.

Tafadhali, vijana msiache mfumo dume. Maamuzi 98% asikudanganye mtu, unatakiwa uyatoe wewe, mkeo akichelewa kurudi pasi taarifa ni lazima uulize alikuwa wapi, hata kama na wewe ulishawahi kurudi na hakukuuliza. Na akijibu jeuri usisite kumzaba hata vibao(zingatia usimpige mbele ya watoto), huyo ni mkeo una mamlaka naye, una wajibu wa kumuadhibu kwa maslahi mapana ya familia yako. Usimuogope, narudia, usimuogope mkeo, piga makofi mpaka mashavu yawe mekundu.

Akitaka kutoka ni wajibu na haki yako kuombwa RUHUSA, iwe yeye ndio ana kazi, au wewe ndio una kazi. Na kama unaona aendako hakuna tija kwake wala kwa familia, mzuie asiende, kuwa mwanaume halisi wa kiafrika.

Ila wewe huna ulazima wa kuomba RUHUSA, ila mpe taarifa. Ifike wakati hata muda mwingine dada wa kazi anapumzika, anapika mkeo chakula chako, hayo ndiyo maisha yaliyonyooka.

Amkeni, don't be fooled! Hao wanaopigania haki sawa wenyewe hawakubali kupandiwa au kutoa 50% za maamuzi kwa wake zao. Na kwa wanawake, wengi wa aina hii wameshindikana, jeuri na hawana adabu.

Hii haki sawa ni mpango wa kuwaburuza wanaume wajinga ambao ndio wanaonekana kuwa wengi kwa sasa. Shtuka! Unafikiri Biden au Obama wamewapa wake zao 50% za maamuzi? Kila upuuzi wanausukumia Afrika!

Amkeni, hakuna haki sawa, MWANAUME SIMAMA KWENYE NAFASI YAKO, MKEO ANATAKIWA AFUATE AMRI YAKO KWA MAENDELEO CHANYA YA FAMILIA YENU.

WAKATI MWINGINE HAKUNA HAJA YA KUMSHIRIKISHA KILA KITU, ANASHTUKA KITU KIMEFANYIKA TAYARI, PLEASE! USIKUBALI HAKI SAWA, WACHACHE WATANIELEWA HAPA.

Haya, ukikubali sawa ukikataa sawa! Mimi nakwenda.
SEEMS LEGIT AND THERE ARE SOME HATERS WILL HATE THIS
 
na yule Chief wao mkuu anazidi kuwajaza ujinga, eeh, haki sawa, 50/50,
asukume mkokoteni kifua wazi kwanza then tuone uhaki sawa
Ni kweli kabisa sisi wote kama binadamu bila kujali jinsia tuna Haki sawa lakini wajibu na majukumu ndio tunatofautiana na hii ni kutokana na asili ya maumbile yetu. Usichanganye Haki na Wajibu. Haki sawa ila majukumu tofauti
 
Kwa hiyo hapo mwenye nguvu atakuwa mwanamke, wanawake Saba wenye uchumi wao wakila chakula Chao au wakiwa na uchumi wao maana yake wakiwa wamiliki wa mazingira yao wakuite Kila mmoja kwa wakati wake mwanaume uwe mpita njia kwenye nyumba zao kama mwanamke Malaya anavyokuwa mpita njia kwa kutumika kwenda kutimiza haja za mwanaume kweli hapo heshima ya mwanaume itabaki wapi? Kama maumbile ya mwanamke hayakumpa nguvu ya kutawala zaidi ya kutawaliwa ndivyo itakavyokuwa kwa mwaume yeyote atakaye tumia maumbile yake pekee kwenye mahusiano, Nguvu ya uchumi ndo Kila kitu kwa mwanaume na ndo maana akapewa kazi ya kutumia jasho lake hujiulizi kwanini hakuambiwa akale kwa kutumia maungo yake ya uzazi? Kwa vile mtu mwenye uchumi ananguvu kubwa kwenye kutawala na anayetawaliwa huwa uchumi wake au vigezo vingine lazima viwe juu kama elimu na ndo maana zamani wanawake wenye vipato na elimu kubwa walitumika kama watu wa kusaidiana na wanaume kujenga Nchi na siyo kuwa chini ya mwanaume kwa kuolewa.


KWENYE NYAKAZI ZIJAZO, ILI MWANAMKE AWEZE KUISHI/ KUWA NA MWANAUME LAZIMA AWE NA NGUVU ZA KIUCHUMI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom