Siyo vibaya wakiwepo huko juu ila tu tukubali watumike kwenye jamii kama ambavyo wanaume walipewa kazi hiyo ya kujenga jamii na uchumi, ila kwenye mtu binafsi yaani mwanaume tujitahidi kuwa watawala kwenye ngazi zetu za mahusiano Ili unayemtawala akuheshimu na kukutii tu automatic kwa wewe kuwa juu yake, huko kwingine kwenye kazi hata wakiwa juu yako chukulia niwajenga Nchi na wewe upo kwaajili ya kutimiza hitaji lako la muhimu la kula kwa jasho.mwanaume ukifikia hatua Kama hii yako ,Basi umeuza cheo chako kwa mkeo!kitakachofuata kubuluzwa na kuaibishwa hadharani. Asili umepotea na inaendelea kupotea,wanaume wamekata tamaa,Sasa wamekubali ku surrender kwa KE, wanaume wamekubali kupinduliwa kicha chini,miguu juu,Allah alisema mwanamke atii kwa mume ,na mwanaume ampende mke,Sasa wanawake wamefuta maagizo ya Allah, na kulazimisha maandiko yao,yaani Sasa hivi iko hivi -mwanaume utii kwa mkeo!! . na Sasa hivi,tuna chui jike kule white house,na chui jike jingine kule mjengoni!! Wanaume tupotupo tu hatujielewi na hatushtuki nn kinaendelea!!!