Vijana wangu msiuache mfumo dume

Tahadhari, mwanamke akiwa bado mtoto wake hajafikia umri kuanzia rika la form 4 au six kwenda juu kidogo makucha hayatowi yote, ila watoto wake wakifika hiyo level sasa ni muda wa kutoa makucha yote, na hakuna kiumbe kinajua kupandikiza chuki kwa watoto dhidi ya mazaz kama mwanamke, so usijiamin sana eti mkizeeka utakuwa ushatengeneza msingi kwa wanao, kuwa makin muda wote na hata ujiandalie namna utajihami vipi pia huko uzeeni huna nguvu tena, nguv na mama kwa watot ni kubwa kuliko ya baba, sabb ni kuwa wao hawaoni tabu kumjaza mtot chuki dhidi ya baba yao na mengi huwa ni uongo, ila baba muda hana wa kumfitini mtoto na mamaake? Take care maisha yako yote dhidi ya mkeo ndio maandiko ya dini yanasema. Wanaume walio wengi hukimbia miji yao uzeeni hata kam ana mali anaziacha anenda kuwa mlinzi na kufia kusikojulikana,
Ni kweli ila sio mimi wa kutelekeza mali zangu na kwenda kufia kusikojulikana, hao ni wazee wapuuzi kama wapuuzi wengine. Kwangu watoto kunichukia is not a big deal, kwa sababu sitegemei msaada wa watoto hata nikizeeka, na sitarajii kuwategemea. Wakinipenda sawa, wasiponipenda sawa.

Sina muda mchafu wa kujieleza kwa matoto majinga ili yanielewe, wakiamini wanachoambiwa na mama yao its up to them, sina muda wa kujieleza ili nikubalike kwao.

I take my time! That's the way I've been raised to be!
 
mwanaume ukifikia hatua Kama hii yako ,Basi umeuza cheo chako kwa mkeo!kitakachofuata kubuluzwa na kuaibishwa hadharani. Asili umepotea na inaendelea kupotea,wanaume wamekata tamaa,Sasa wamekubali ku surrender kwa KE, wanaume wamekubali kupinduliwa kicha chini,miguu juu,Allah alisema mwanamke atii kwa mume ,na mwanaume ampende mke,Sasa wanawake wamefuta maagizo ya Allah, na kulazimisha maandiko yao,yaani Sasa hivi iko hivi -mwanaume utii kwa mkeo!! . na Sasa hivi,tuna chui jike kule white house,na chui jike jingine kule mjengoni!! Wanaume tupotupo tu hatujielewi na hatushtuki nn kinaendelea!!!
Labda wanaume wajinga wajinga(wanaonekana kuwa wengi kwa sasa at my glance)!
 
Nani huyo?
Kuna jamaa twitter anajinasibu mtetez haki za binadam lakin uhalisia anatetea Ke, ukimuuliz haki ipi kanyimwa mtoto wa kike shulen ili hali karuhusiw asome hata akiwa na mtoto jibu hana, kwa upande wa mtoto wa kiume akimpa mimba mwanafunzi mwenzie huyu yeye sio kuacha tu shule bali na kifungo juu yake lakin hamna anemtetea japo awe huru kutunza mtoto.
 
Ni kweli ila sio mimi wa kutelekeza mali zangu na kwenda kufia kusikojulikana, hao ni wazee wapuuzi kama wapuuzi wengine. Kwangu watoto kunichukia is not a big deal, kwa sababu sitegemei msaada wa watoto hata nikizeeka, na sitarajii kuwategemea. Wakinipenda sawa, wasiponipenda sawa.

Sina muda mchafu wa kujieleza kwa matoto majinga ili yanielewe, wakiamini wanachoambiwa na mama yao its up to them, sina muda wa kujieleza ili nikubalike kwao.

I take my time! That's the way I've been raised to be!
Ujue wanofikia hatua ya kujimbia ni kuw yuko ukingoni abaki afe au akimbie kuokoa maisha yake, ila kikubwa be careful muda wote na jiandalie mwenyew maisha yako ya uzeen pindi huna nguvu
 
Mimi ni ruhusa kucheat hapa na pale lakini mke wangu akijaribu tu,ni kufukuza completely.

Elimu ya uumbaji imeruhusu Me kula mizigo mingi kadili awezavyo ila haijaruhusu Ke kuliwa tofauti na mme wake au hovyohovyo...

Ke anaweza kufumania tena ndani ya nyumba yake, akasamehe na maisha yakaendelea, Me akifumania ni ngumu sana kusamehe na maisha yakaendelea hapo talaka lazima ihusike, this is automatic kutoka elimu ya uumbaji..

Mwanamme ameumbwa kuwa mtawala, kitendo ya kusalitiwa na Ke tayari ile ya utawala dhidi ya kiumbe Ke inatoweka maana watawala wanakuwa wengi na lolote laweza kutoke...
 
Dunia imekuwa mbaya kwa kuwaacha wanawake wazagaezagae na kujiamulia mambo yao...Mwanamke ameumbwa kutawaliwa tena na Mwanamme maana elimu ya uumbaji imemnyima baadhi ya vitu muhimu kwa ajili ya utawala wake mwenyewe na mazingira, vitu hivi na akili hizi kapewa Me..

Kuwapa uhuru akina mama, ni kuifanya dunia kuwa mbaya na kuitokomeza, watu hawa hawapaswi kuwa huru zaidi ya kusikiliza amri za waume zao, mababa zao, kaka zao, wajomba zao nk...
 
Kuna jamaa twitter anajinasibu mtetez haki za binadam lakin uhalisia anatetea Ke, ukimuuliz haki ipi kanyimwa mtoto wa kike shulen ili hali karuhusiw asome hata akiwa na mtoto jibu hana, kwa upande wa mtoto wa kiume akimpa mimba mwanafunzi mwenzie huyu yeye sio kuacha tu shule bali na kifungo juu yake lakin hamna anemtetea japo awe huru kutunza mtoto.
Daah huyo jamaa timamu kweli?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya uumbaji imeruhusu Me kula mizigo mingi kadili awezavyo ila haijaruhusu Ke kuliwa tofauti na mme wake au hovyohovyo...

Ke anaweza kufumania tena ndani ya nyumba yake, akasamehe na maisha yakaendelea, Me akifumania ni ngumu sana kusamehe na maisha yakaendelea hapo talaka lazima ihusike, this is automatic kutoka elimu ya uumbaji..

Mwanamme ameumbwa kuwa mtawala, kitendo ya kusalitiwa na Ke tayari ile ya utawala dhidi ya kiumbe Ke inatoweka maana watawala wanakuwa wengi na lolote laweza kutoke...
Ila isiwe tiketi ya kumsaliti mkeo

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Dunia imekuwa mbaya kwa kuwaacha wanawake wazagaezagae na kujiamulia mambo yao...Mwanamke ameumbwa kutawaliwa tena na Mwanamme maana elimu ya uumbaji imemnyima baadhi ya vitu muhimu kwa ajili ya utawala wake mwenyewe na mazingira, vitu hivi na akili hizi kapewa Me..

Kuwapa uhuru akina mama, ni kuifanya dunia kuwa mbaya na kuitokomeza, watu hawa hawapaswi kuwa huru zaidi ya kusikiliza amri za waume zao, mababa zao, kaka zao, wajomba zao nk...
Exactly!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Shida inakuja sasa, wanaume wenyewe wa kuwa wanaume wako wapi!! Wanaume mmepwaya sana katika huo uanaume wenu. Wala msitumie mabavu, kumbukeni akili tu mlikoziacha(kama mlikuwa nazo lakini).
 
Shida inakuja sasa, wanaume wenyewe wa kuwa wanaume wako wapi!! Wanaume mmepwaya sana katika huo uanaume wenu. Wala msitumie mabavu, kumbukeni akili tu mlikoziacha(kama mlikuwa nazo lakini).
Umeongea kitu mkuu
Kuna kundi kubwa la wanaume wasiojitam ua mtaani

Ingawa sijaoa Bado ila kuna muda huwa natafakari kwa Nini baba na Kaka zangu wameruhusu hili litokee!!?.
 
Vijana wangu, nawahurumia mno na dunia hii tuliyopo sasa. Mfumo dume si kupiga piga wala kunyanyasa wanawake au kutosomesha watoto wa kike, mfumo dume si kutoa maneno ya udhalilishaji kwa wanawake unapolewa. Mfumo dume ni pamoja na kuheshimu wanawake na kuwalinda.

Mfumo dume ni nini?

Ili maisha yaende ni lazima, hususani katika ngazi ya familia, LAZIMA mmoja ajishushe ili maisha yaende. Na maandiko YOTE matakatifu (kwa mnaoamini Mungu) yameshaweka hili bayana.

Wa kujishusha ni mwanamke, kwa nini? Jibu analo Mungu aliyesema iwe hivyo. Matatizo mengi ya siku hizi yanatokana na kutaka kwa hali na mali kumuangusha mwanaume kileleni kwenye nafasi yake ya mamlaka na utawala.

Ndoa zinavunjika siku mpaka siku, kwa wanawake kutaka kuingilia utawala na mamlaka ya waume zao. Kuchelewa kurudi mpaka kurudi asubuhi, kutopika kwa wakati bila taarifa maalumu, na kuwa mkali ukiulizwa sababu.

Yaani katika maamuzi ya familia mwanamke naye anataka ashiriki 50% zote, khaaa! Hii haiwezekani na haitowezekana, na wanawake hawataki kukubali, wanataka wawe sawa kwa kila kitu ukiacha kuzaa na maumbile tu. Zamani ndoa ilikuwa inaheshimika ila si sasa.

Sio kwamba zamani wazee wetu walikuwa wananyanyasa wanawake kama propaganda za magharibi zinavyosema, si kwamba wazee wetu walikuwa hawajastaarabika na hawana akili, si kwamba wazee wetu walikuwa watu wa hovyo hovyo, hapana!

Wazee wetu walisimama KIKAMILIFU kwenye nafasi zao, na waliweka sheria kali za kuwalazimisha bibi zetu wasimame kwenye nafasi zao, hili ndilo feminists huligeuza na kuliita lilikuwa ukandamizaji kwa jinsia ke, kitu ambacho ni totally wrong.

Walitakiwa waanze kumlaumu Mungu na kumuita mkandamizaji, feminists na wafadhili wa haki sawa hawawafahamu wanawake kama Mungu mwenyewe anavyowafahamu.

Kumlazimisha mwanamke kusimama kwenye nafasi yake kimaandiko, na KITAMADUNI ZA AFRIKA SI UKATILI, NA SI UKANDAMIZAJI. Ni kuinusuru jamii na kizazi cha miaka ijayo, kwani hali hii ya sasa na hili vugu vugu likiendelea, Afrika naiona ikiangamia mbeleni, na rangi nyeusi itatoweka.

Sehemu yoyote yenye ukinzani lazima ugomvi uwepo, angalia rate ya mauaji ya wanandoa dunia hii ya sasa, angalia namna vijana wa kiume wanaozaliwa, wanavyokosa maadili ya kiasili ya mwanaume wa kiafrika?

Angalia misemo ya kishetani inayokua kila siku? 'Hakuna anachoshindwa mwanamke, anaweza kufanya kama mwanaume na zaidi', ni ushenzi.

ITOSHE KUSEMA AFRIKA TUMECHEZEWA SANA NA HAWA WA MAGHARIBI, TUMEKOSA KUSIMAMIA TAMADUNI ZETU ZA ASILI ZENYE KUJALI HESHIMA, UTU, ADABU, UPENDO NA MSHIKAMANO.

TUJIULIZE MBONA URUSI NA CHINA HAWACHEZEWI HOVYO HOVYO? MBONA KUNA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE(KAMA WANAVYOITA WENYEWE), ILA HAWAINGILIWI?

TUAMKE, TURUDIE ASILI YETU, HAKI SAWA NI PROPAGANDA YA KUWANYIMA SAUTI WANAUME WENGI WA KIAFRIKA, HATUPO SAFE, MAUAJI YATAZIDI MNO KWA TREND HII YA SASA. HIVI HAMJIONEI? Tuendelee

Jiulize kwa nini siku hizi majina kama vibamia yamekuwa mengi? Siku hizi wanawake wanatoa siri za waume zao kuliko zamani, unajua kwa nini? Haki sawa! Hii yote ni kuhakikisha jamii inamdharau mwanaume, ikiwemo kumpotezea kujiamini mbele za watu na kwa mkewe.

Hii ni kufanya fadheha alizopata mwanamke na mwanaume apate ili wawe sawa na iwe rahisi kupoteza kujiamini kwake.

Tafadhali, vijana msiache mfumo dume. Maamuzi 98% asikudanganye mtu, unatakiwa uyatoe wewe, mkeo akichelewa kurudi pasi taarifa ni lazima uulize alikuwa wapi, hata kama na wewe ulishawahi kurudi na hakukuuliza. Na akijibu jeuri usisite kumzaba hata vibao(zingatia usimpige mbele ya watoto), huyo ni mkeo una mamlaka naye, una wajibu wa kumuadhibu kwa maslahi mapana ya familia yako. Usimuogope, narudia, usimuogope mkeo, piga makofi mpaka mashavu yawe mekundu.

Akitaka kutoka ni wajibu na haki yako kuombwa RUHUSA, iwe yeye ndio ana kazi, au wewe ndio una kazi. Na kama unaona aendako hakuna tija kwake wala kwa familia, mzuie asiende, kuwa mwanaume halisi wa kiafrika.

Ila wewe huna ulazima wa kuomba RUHUSA, ila mpe taarifa. Ifike wakati hata muda mwingine dada wa kazi anapumzika, anapika mkeo chakula chako, hayo ndiyo maisha yaliyonyooka.

Amkeni, don't be fooled! Hao wanaopigania haki sawa wenyewe hawakubali kupandiwa au kutoa 50% za maamuzi kwa wake zao. Na kwa wanawake, wengi wa aina hii wameshindikana, jeuri na hawana adabu.

Hii haki sawa ni mpango wa kuwaburuza wanaume wajinga ambao ndio wanaonekana kuwa wengi kwa sasa. Shtuka! Unafikiri Biden au Obama wamewapa wake zao 50% za maamuzi? Kila upuuzi wanausukumia Afrika!

Amkeni, hakuna haki sawa, MWANAUME SIMAMA KWENYE NAFASI YAKO, MKEO ANATAKIWA AFUATE AMRI YAKO KWA MAENDELEO CHANYA YA FAMILIA YENU.

WAKATI MWINGINE HAKUNA HAJA YA KUMSHIRIKISHA KILA KITU, ANASHTUKA KITU KIMEFANYIKA TAYARI, PLEASE! USIKUBALI HAKI SAWA, WACHACHE WATANIELEWA HAPA.

Haya, ukikubali sawa ukikataa sawa! Mimi nakwenda.
Noted
 
Umeongea kitu mkuu
Kuna kundi kubwa la wanaume wasiojitam ua mtaani

Ingawa sijaoa Bado ila kuna muda huwa natafakari kwa Nini baba na Kaka zangu wameruhusu hili litokee!!?.
Matokeo yake ndio tunakuwa na kizazi cha wanaume wa kulia lia tu, na wasio na akili wala maamuzi. Jambo dogo la kulifanyia maamuzi kama mwanaume anakimbilia mitandaoni. Haya mambo tuliyazoea kwa wanawake ila sasa wanaume ndio wameshika hatamu. Bora muanze kufunguka mapema atlist muokoe jahazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom