Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Kuacha kazi ni moja ya maamuzi màgumu ambayo yanahitaji ujasiri ña mentally preparation. Huhitaji kuwa na kiasi fulani cha pesa ili uache kazi ila unahitaji malengo,kwanini naacha kazi?unataka kufika wapi baada ya muda fulani?unataka uwe una earn kiasi gani cha pesa per month?Hàyo ni baadhi ya maswali yanayoweza kukuongoza kuchora ideas.Mwanafalsa John luis Bragos anasema"if you want to think more creative,you must challenge the boundary".Ukiwa unajiandaa kuacha kazi lazima ubadili mfumo mzima wa maisha wakati mwingine hata marafiki(mates)wako ili kuweza kufikiri out side of the room.A real estate investor Sir Donald Trump said"You have to think anyway,so why don't think big"Lazima uwe na malengo yako ya muda mrefu na uchore mpango kazi namna ya kuyatimiza hayo malengo.
Ukiongozwa na msukumo wa ndani na ukajifunza kwa waliofanya wakafanikiwa(mentor) naamini itakupa mwanga mkubwa sana katika safari Yoko.Note usiombe ushauri kwa wafanyakazi wenzako watakukatisha tamaa na kukutia woga.

Binafsi ni mwajiriwa but nimeweka malengo kuwa ikifika 2025 nataka kuacha kazi kwani nimeajiriwa 2015.Kwa kuwa safari yeyote inahitaji maandalizi nilishaanza kujiandaa since day one naingia kazini.Nasoma vitabu kwa wingi kuongeza maarifa lakini natafuta taarifa kwa hali na mali lakini pia nimeanzisha project ambazo zinanisaidia kuniongezea uzoefu katika kujiajiri.
My take.Failure is party of process of success


Mkuu katika point uliyoongea ni hiyo kwamba huhitaji kuwa na pesa kiasi kadhaa ili uache kazi No

Yaani kama utakauwa upo katika ajira na unataka uhifadhi 10M ndo uache kazi utaendelea kuwaza hivyo hivyo mpaka una-staafu halafu ndo unaanza zile ninge

Kuna watu wengi sana makazini kila siku wanasema ntaacha kazi ntaacha kazi lakini tayari ana 40 years

Ni hivi you wanna quit your motherfuckin' do it right now at the moment

By december nakwenda kuacha kazi yeaaah naacha kazi na kusimamia project zangu za kilimo nilichoanza mwaka huu mwanzoni

Naacha ikasimamie kule kwa sababu naweza kutengeneza hata 10 M kila baada ya miezi mitatu

Naacha kazi ili nipate muda mwingi wa kuwa flexible nitumie muda wangu mwingi ku-unleash my potential for excellence

Unataka kuacha kazi Do it now kinachowezekana leo kisingoje kesho
 
Binafsi nimeweka mkakati kuwa biashara yangu ikifikisha total income ninayopata kazini kwa mwaka nitakuwa tayari kuacha kazi. Kwa sasa nimeweka maximum time span ya kuendelea kuwepo kwenye ajira ni mwisho 2023. Hapo katikati naweza kuacha kazi siku yoyote ili mradi nimefikia lengo la *Total Net Income from Employment =Total Business Cash Inflow with condition that net profit from the business should be greater or equal to Gross salary*

Mbinu ninayotumia ni kuwa nishaweka malengo makubwa, kisha nimeyavunja yale malengo makubwa katika malengo madogo madogo ya kila mwaka. Kwa hiyo kila mwaka nimekuwa nikijifanyia tathmini kuangalia nimefikia wapi. Namshukuru Mwenyezi MUNGU ananifanyia wepesi na malengo yatafikiwa kwa neema yake
Hyo total income ya mwaka ni faida ya mradi wako au ni vp mkuu cjakuelewa naomba ufafanuzi
 
Kujiajir kuna changamoto ILa ni kupambana nazo tu ...Mimi nmeacha kazi ya ualimu nloanza 2015 nna miaka 24 ....nimejiajir nasafirisha kuni toka pwan kuwaletea wauzaji wa rejareja na naangalia nifungue nam kijiwe changu ...

Japo bsness haijawa nzur kiivo na nna miez minne ila naamin ntafka mbali .

Na ukiwa uko job maybe hujui ukitoka ufanye nn ...zpo fursa nyingi sana ukiwa na hta one million tu ....unaweza end mtwara kununua korosho na ukauza kwa vyama vya ushirika inalipa sana

Let's do it kuajiriwa n utumwa sana ....Allah atufanyie wepes
 
Bado bodi ya mikopo wachukua chao. Wakimaliza makato nifanya maamuzi magumu
 
Cha msingi n kujiamin na kujua unatkka unaenda Fanya nn .. Mfano mm n mwalimu nmeacha miez saba sasa toka nilipoanza kaz may 2015

Sasa Nina vibal maliasili nasafirisha kuni kutoka pwan kuwauzia wauzaji wa rejareja dar .... na n biashara nzur inayoshka kas jpo weng hawajui .....

Karbun in sha Allah ntafungua eneo lang binafs niuze kuni zang ambazo natoa faida ya hta lak 8 ndan ya two or three wiks

Ka una mtaji ..tafta bsness nzur...usikurupuke na Allah akubariki
 
Ingekuwa kipindi cha JK ndo unaacha kazi ili ujiajiri hapo nakuunga mkono pamoja mguu ikibidi. Lakini magu hatabiriki, hajali uchumi wa mwananchi. Mfn unaamua kufungua biashara ya sh Mil 10, tra hao wanakuja kukufanyia tasmini ya kodi. Watakuambia kodi yako ni sh mil 6 Kwa mwaka mtavutana wee baadae wanakufungia... Sina lengo la kumkatisha mtu tamaa lakini zama sahivi imebadilika sana huu utawala si rafiki kwa mfanyabiashara yoyote awe mkubwa au mdogo
 
Hii mbinu nimeitumia sana mpinzani wangu alikuwa anafungua saa1 anafunga saa10 mi nikawa nafungua saa 3 nafunga saa1 usiku wateja wake wengi niliwackua coz walikuwa na uhakika wa kufanya manunuzi jioni

Mbinu nyingine ni KUUZA BIADHAA ZA KAWAIDA TU kama wanazouza washindani wako, lakini unatumia mbinu ya KUFANYA JAMBO UNIQUE KWENYE BIASHARA YA KAWAIDA. Mfano, washindani wako wote wanafungua biashara saa mbili Asubuhi na kufunga saa 2 usiku, wewe fu
 
Angalia mahali ulipo/kwenye jamii yako HAKUNA NINI, KUNA TATIZO GANI, kisha kilete hicho kitu kwenye hiyo jamii. Au tatua hilo tatizo kwenye jamii yako.

Kuna tatizo la maji kubwa kwenye jamii yako, chimba kisima uuze maji. Je watu wa jamii uliyopo wanaenda mbali sana kukoboa na kusaga nafaka. Weka mashine ya kukoboa na kusaga.

HIYO NI APPROACH YA KWANZA

Aproach ya pili angalia hata kama huduma au bidhaa flani ipo kwenye mazingira yako, lakini jiulize JE WASAMBAZAJI WA HUDUMA HUSIKA WANATOSHA, WANALISTAHIMILI SOKO?

Kwa MFANO, kweli hapo ulipo kuna huduma ya M-PESA au TIGO PESA au YOYOTE PESA. Je wateja sio wengi kuliko uwezo wa mtoa huduma? Kama wateja wameelemea watoa huduma, anzisha na wewe.

Mbinu nyingine ni KUUZA BIADHAA ZA KAWAIDA TU kama wanazouza washindani wako, lakini unatumia mbinu ya KUFANYA JAMBO UNIQUE KWENYE BIASHARA YA KAWAIDA. Mfano, washindani wako wote wanafungua biashara saa mbili Asubuhi na kufunga saa 2 usiku, wewe fungua saa 12 Asubuhi na kufunga saa 4 usiku. Mfano mwingine, labda umegundua washindani wako hawana back up plan pale umeme unapokatika na huduma unayoitoa inahitaji umeme, weka solar au generator in case umeme umekatika. Cha muhimu ni KUFANYA UTAFITI KABLA na KIPINDI UNAENDELEA na biashara yako.
 
Angalia mahali ulipo/kwenye jamii yako HAKUNA NINI, KUNA TATIZO GANI, kisha kilete hicho kitu kwenye hiyo jamii. Au tatua hilo tatizo kwenye jamii yako.

Kuna tatizo la maji kubwa kwenye jamii yako, chimba kisima uuze maji. Je watu wa jamii uliyopo wanaenda mbali sana kukoboa na kusaga nafaka. Weka mashine ya kukoboa na kusaga.

HIYO NI APPROACH YA KWANZA

Aproach ya pili angalia hata kama huduma au bidhaa flani ipo kwenye mazingira yako, lakini jiulize JE WASAMBAZAJI WA HUDUMA HUSIKA WANATOSHA, WANALISTAHIMILI SOKO?

Kwa MFANO, kweli hapo ulipo kuna huduma ya M-PESA au TIGO PESA au YOYOTE PESA. Je wateja sio wengi kuliko uwezo wa mtoa huduma? Kama wateja wameelemea watoa huduma, anzisha na wewe.

Mbinu nyingine ni KUUZA BIADHAA ZA KAWAIDA TU kama wanazouza washindani wako, lakini unatumia mbinu ya KUFANYA JAMBO UNIQUE KWENYE BIASHARA YA KAWAIDA. Mfano, washindani wako wote wanafungua biashara saa mbili Asubuhi na kufunga saa 2 usiku, wewe fungua saa 12 Asubuhi na kufunga saa 4 usiku. Mfano mwingine, labda umegundua washindani wako hawana back up plan pale umeme unapokatika na huduma unayoitoa inahitaji umeme, weka solar au generator in case umeme umekatika. Cha muhimu ni KUFANYA UTAFITI KABLA na KIPINDI UNAENDELEA na biashara yako.
 
Ingekuwa kipindi cha JK ndo unaacha kazi ili ujiajiri hapo nakuunga mkono pamoja mguu ikibidi. Lakini magu hatabiriki, hajali uchumi wa mwananchi. Mfn unaamua kufungua biashara ya sh Mil 10, tra hao wanakuja kukufanyia tasmini ya kodi. Watakuambia kodi yako ni sh mil 6 Kwa mwaka mtavutana wee baadae wanakufungia... Sina lengo la kumkatisha mtu tamaa lakini zama sahivi imebadilika sana huu utawala si rafiki kwa mfanyabiashara yoyote awe mkubwa au mdogo
Mkuu unaweza uwe sahihi na usiwe sahihi pia. Kwanza ni kweli aina serikali inaweza athiri kwa uchanya au uhasi uwekezaji wowote, uwe mdogo au mkubwa.

Lakini kuna jambo la kujiuliza kama serikali ya Magu inabana sana wafanya biashara kwahiyo ni ngumu kutusua, kwahiyo tubaki serikalini ambapo haibani watumishi na watumishi wao wanaishi kama Malaika. Ukipata jibu la hilo swali, utagundua you have nothing to loose once you decide to quit.

Lakini pia, kama sio mwajiriwa wa serikali, na ni mwajiriwa wa sekta binafsi bado bosi wako/owner wa kampuni unapofanyia kazi si anaathirika kwa namna serikali ya Magu inavyoendeshwa? Akiathirika mwenye kampuni, waajiriwa tunapona vipi?

Hata hivyo intelligent investor yoyote anaamini kuwekeza wakati wa crisis. Ananunua hisa wakati wa crisis, Ananunua mashamba Rufiji, Ikwiriri wakati wa crisis n.k Kwahiyo kuwekeza au Kujiajiri wakati huu ambapo kila mtu anaogopa Kujiajiri ndio wakati muafaka.

Mwisho wa yote mkuu ukitaka kutusua kwenye maisha get out of your comfort zone, I assure u will get success. Lakini unaweza ukabaki kwenye comfort zone yako maisha pia yakaenda.
 
Hii mbinu nimeitumia sana mpinzani wangu alikuwa anafungua saa1 anafunga saa10 mi nikawa nafungua saa 3 nafunga saa1 usiku wateja wake wengi niliwackua coz walikuwa na uhakika wa kufanya manunuzi jioni

Mbinu nyingine ni KUUZA BIADHAA ZA KAWAIDA TU kama wanazouza washindani wako, lakini unatumia mbinu ya KUFANYA JAMBO UNIQUE KWENYE BIASHARA YA KAWAIDA. Mfano, washindani wako wote wanafungua biashara saa mbili Asubuhi na kufunga saa 2 usiku, wewe fu
Mkuu ukitaka maisha yanoge zaidi fanya utafiti ujue ni bidhaa gani zaidi zinazonunuliwa dukani kwako muda huo kisha hakikisha hizo bidhaa haziishi dukani kwako
 
Kujiajir kuna changamoto ILa ni kupambana nazo tu ...Mimi nmeacha kazi ya ualimu nloanza 2015 nna miaka 24 ....nimejiajir nasafirisha kuni toka pwan kuwaletea wauzaji wa rejareja na naangalia nifungue nam kijiwe changu ...

Japo bsness haijawa nzur kiivo na nna miez minne ila naamin ntafka mbali .

Na ukiwa uko job maybe hujui ukitoka ufanye nn ...zpo fursa nyingi sana ukiwa na hta one million tu ....unaweza end mtwara kununua korosho na ukauza kwa vyama vya ushirika inalipa sana

Let's do it kuajiriwa n utumwa sana ....Allah atufanyie wepes

Cha msingi n kujiamin na kujua unatkka unaenda Fanya nn .. Mfano mm n mwalimu nmeacha miez saba sasa toka nilipoanza kaz may 2015

Sasa Nina vibal maliasili nasafirisha kuni kutoka pwan kuwauzia wauzaji wa rejareja dar .... na n biashara nzur inayoshka kas jpo weng hawajui .....

Karbun in sha Allah ntafungua eneo lang binafs niuze kuni zang ambazo natoa faida ya hta lak 8 ndan ya two or three wiks

Ka una mtaji ..tafta bsness nzur...usikurupuke na Allah akubariki

Mkuu nakupa heshima zangu zote,

Wewe ni mfano wa kuigwa

Sitaki kuongelea biashara yako ila nakupongeza kwa ujasiri uliouchukua

Bosi wangu nakuona mbali sana baada ya miaka kadhaa maximun nakupa mitano

Cha msingi sasa kuwa mbunifu sana na tafuta fursa tofauti tofauti ili kufanikisha malengo yako

Kama tusipofanya haya sisi nani afanye?

Sisi ndo watu wa kubadilisha mitazamo sisi ndo watu wa kutengeneza ajira tofauti

Tuamkeni tupambane


Jack ma anasema unachohitaji ni idea tu and go work for it

Kuna vijana tuna laptop ya apple tuna smart phone mbili mfukoni

Ghetto una tv flat ya hatari una fridge una sofa za mbei mbaya

Hivyo vitu vyako ni mtaji tosha unaweza ukaamua kujipunguzia ili ufanye vitu vya maana

Kitu kizuri kuhusu sisi ni kwamba we are young na lazima tupambane


Ndugu yangu Ontario namuitaga mpenda sifa kila siku ila nakiri jeff yupo smart sana na lazima tu-copy vitu kutoka kwake

Naona watu wengi wamegeuka kuwa ma-hater kwa dogo hapana

Under the sun kila kitu kinawezekana

Kuna jamaa mmoja nasikiliza sana podocast zake itune anaitwa Andy frissella anahasisha sana unaweza kumfollow Ig pia youtube kwa jina hilo hilo

Tuamkeni vijana south Africa na kenya wapo mbali kuliko sisi kwa sababu wale jamaa wana thubutu sana

Ingekuwa kipindi cha JK ndo unaacha kazi ili ujiajiri hapo nakuunga mkono pamoja mguu ikibidi. Lakini magu hatabiriki, hajali uchumi wa mwananchi. Mfn unaamua kufungua biashara ya sh Mil 10, tra hao wanakuja kukufanyia tasmini ya kodi. Watakuambia kodi yako ni sh mil 6 Kwa mwaka mtavutana wee baadae wanakufungia... Sina lengo la kumkatisha mtu tamaa lakini zama sahivi imebadilika sana huu utawala si rafiki kwa mfanyabiashara yoyote awe mkubwa au mdogo

Bosi huo uoga ulionao utaogopa mpaka unazeeka,

Ukiona biashara hiyo watakusumbua TRA tafuta biashara ambayo utaweza kuwakwepa vizuri kodi (sio vizuri ila inapobidi)

Hatuna namna mkuu je tuendelee kuwa maskini kwa sababu tunaogopa hapana haiwezekani

Tunapita humohumo na tutatoboa tu

The hustle is real bro
 
Mkuu katika point uliyoongea ni hiyo kwamba huhitaji kuwa na pesa kiasi kadhaa ili uache kazi No

Yaani kama utakauwa upo katika ajira na unataka uhifadhi 10M ndo uache kazi utaendelea kuwaza hivyo hivyo mpaka una-staafu halafu ndo unaanza zile ninge

Kuna watu wengi sana makazini kila siku wanasema ntaacha kazi ntaacha kazi lakini tayari ana 40 years

Ni hivi you wanna quit your motherfuckin' do it right now at the moment

By december nakwenda kuacha kazi yeaaah naacha kazi na kusimamia project zangu za kilimo nilichoanza mwaka huu mwanzoni

Naacha ikasimamie kule kwa sababu naweza kutengeneza hata 10 M kila baada ya miezi mitatu

Naacha kazi ili nipate muda mwingi wa kuwa flexible nitumie muda wangu mwingi ku-unleash my potential for excellence

Unataka kuacha kazi Do it now kinachowezekana leo kisingoje kesho
 
Back
Top Bottom