Maisha pesa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 681
- 632
Wakuu kuna hii tabia nadhani wengi tunakutana nayo mitandaoni. Unamuona mdada jf aidha fb, insta au hata badoo. Unatokea kumpenda unaanzisha conversation baada ya aidha ku like au ku comment post au picha yake. Kabla hujaanza mtongozano rasmi tayari unapigwa mzinga kwa kujipendekeza inbox. Utaskia nina shida naomba unisaidie elfu30. Sasa unajiuliza hii shida imeanza baada ya kuchat naye au alikuwa nayo? Na unaanzaje kumpiga mzinga mtu ambaye humjui bila aibu? Au ndo utapeli tu mtu alizwe biashara iishie hapo!!? Nimekuja hapa make hii kitu imenitokea mara kadhaa tena hawasubiri kukuche siku hiyo hiyo umejipendekeza utasikia puuuuuuuu mzinga tayari. Binafsi nilishaapa sikupi hela kama sijawahi kukuona live hata kama utanitumia picha ya uchi sitoi hela make mingine unakuta midume inacheza na akili za watu. Ninachojiuliza kwanini hii tabia imekuwa too much? Inamaana wanafanikiwa kuwakamata mabwege? Make ukiona machangudoa barabarani ujue maeneo hayo wateja wapo wa kutosha hivyohivyo ukiona mizinga mingi mitandaoni ujue wanaolizwa ni wengi kama wangekuwa hawafanikiwi wangeacha. Kibaya zaidi hawatoi namba za ukweli utasikia simu yangu mbovu nakupa namba ya mdogo wangu unitumie hela humo. Mara line yangu haijasajiliwa nakupa ya rafiki yangu unitumie na wanaume wasio na hiyana wanatuma mpunga kumbe unalitumia tapeli au jianaume lenzako linaenda kugegedea. Kuweni makini vijana mtalizwa sana
Du! Mkuu umeongea point sana me nishakutananao sana wana nibundia kumbe me mwenyewe bundi naawaambi to iyo udama nilishaachaga mda sana kuitumia sina tigo pesa wala nn utasikia nitumie vocha bas na mjibu natumia post paid bas mbio nyingi sana anakimbia
Aisee niko salama mkuu sijatapeliwa ila nimekuja kutoa tahadhaliumetapeliwa sh ngapi mkuu?
Hahaha unawaweza mkuuDu! Mkuu umeongea point sana me nishakutananao sana wanaibundia kumbe me mwenyewe bundi naawaambi to iyo udama nilishaachaga mda sana kuitumia sina tigo pesa wala nn utasikia nitumie vocha bas na mjibu natumia post paid bas mbio nyingi sana anakimbia
ni kweli kuwa makini hii mitandao siku hizi kila mtu anatumia akili nyingi kutapeli watu.Aisee niko salama mkuu sijatapeliwa ila nimekuja kutoa tahadhali
Hahaha zishafika kama laki6 hiviMkuu umekoswakoswa kupigwa sh ngapi..?
Bora umetushtua
Umeona mkuu noma sana. Hongera kumjali bi mkubwaMie kila nikiombwa ile hela anayoitaka humpelekea mama yangu aifaidi manake yeye ndio amepata tabu juu yangu na ndie mama na rafiki yangu. Kutapeliwa na jamaa lenye misharubu nyuma ya keyboard usawa huu nomaaaa
Wewe mwenyewe unajua maisha pesa alafu unalalamika.Hahaha zishafika kama laki6 hivi
Kweli maisha pesa ila ni vizuri tukiwasaidia raia kukwepa utapeli wa mitandaoni. Make kuna vuvulana ata mwanaume mwenzie akikatrick kanatoa mpunga tu halafu badae kanaliaWewe mwenyewe unajua maisha pesa alafu unalalamika.
Duh umetisha mkuu una bonge la experience aisee hongeraHizi mishe binafsi nilicheza sana miaka ya 2007 na 2008 ila mm nilikuwa na waliza hao ma dada, nilisha piga kama laki 3 na 80 hivi kipindi hicho voda walikuwa na mtandao wa kijamii unaitwa the grid.
Na site moja inatwa queep hapa sasa ilikuwa ni sehemu ya vocha hahahaa hapa nilikuwa nazama fb na beba picha za dem kama tano nakuendelea naenda nazo queep huko ilikuwa ukitaka usikie sauti yangu unatuma namba ya simu na vocha baada ya hapo na ku block wewe kidume usikie sauti ya kudume mwenzio wapi na wapi.
So kwasasa hayupo demu wa kuni piga mzinga hivi hivi.
Tena wasasa hivi akikutandika nyundo akiona huelekei utaambulia matusi.
Nimekumbuka mbali sana aiseeeee
Dah...the grid alinipatia msupu wa kiarabu...Zeyana upo wapi mamaa...mkuu umenikumbusha mbaliHizi mishe binafsi nilicheza sana miaka ya 2007 na 2008 ila mm nilikuwa na waliza hao ma dada, nilisha piga kama laki 3 na 80 hivi kipindi hicho voda walikuwa na mtandao wa kijamii unaitwa the grid.
Na site moja inatwa queep hapa sasa ilikuwa ni sehemu ya vocha hahahaa hapa nilikuwa nazama fb na beba picha za dem kama tano nakuendelea naenda nazo queep huko ilikuwa ukitaka usikie sauti yangu unatuma namba ya simu na vocha baada ya hapo na ku block wewe kidume usikie sauti ya kudume mwenzio wapi na wapi.
So kwasasa hayupo demu wa kuni piga mzinga hivi hivi.
Tena wasasa hivi akikutandika nyundo akiona huelekei utaambulia matusi.
Nimekumbuka mbali sana aiseeeee