CtVKiLaZA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 301
- 37
Wanajamii.
Kuna vijana/wanaume wameamua kujiajiri katika mambo ya urembo. Wako katika saluni na wengine wanapita mitaani.
Utamukuta dada/mama kavaa sketi/gauni fupi kakaa kwenye kiti huku baadha ya sehemu zake za mwili zikiwa nje. Kama mapaja, matiti, mgogo etc. Wakiti vijana wakiendele kuwatengeneza kucha za miguu au nyewele.
Je hii ajira haiwezi ikawaathiri Vijana/wanaume kisaikolojia??? Maoni plz.
Kuna vijana/wanaume wameamua kujiajiri katika mambo ya urembo. Wako katika saluni na wengine wanapita mitaani.
Utamukuta dada/mama kavaa sketi/gauni fupi kakaa kwenye kiti huku baadha ya sehemu zake za mwili zikiwa nje. Kama mapaja, matiti, mgogo etc. Wakiti vijana wakiendele kuwatengeneza kucha za miguu au nyewele.
Je hii ajira haiwezi ikawaathiri Vijana/wanaume kisaikolojia??? Maoni plz.