Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,302
- 9,729
- Thread starter
- #161
Acha uongo wako wewe .Salimu alikuwa na miaka 22 alipoteuliwa kuwa Balozi nchini misri.hata hivyo kwa zamani wakati wa Nyerere vijana wengi walipewa majukumu makubwa kwa kuwa walikuwa wasomi wachache ukilinganisha na sasa.ba hata vijana walipopewa nafasi walionyesha uwezo mkubwa sana wa kiuongozi. Vipi kwa sasa? Wanaweza wakapewa nafasi za juu na wakamudu Vyema majukumu yao? Wanaaminika kwa jamii? Wanaweza wakawaunganisha Watanzania?Anasahau vingi Salim Ahmed Salim aliteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Misri akiwa na umri wa miaka 19
Kichwani ndiko huamua sio porojo