Nasikia leo ,Yule jamaa aliekujaga Chato , atakuwa na mkutano na watu wa tume ya uchaguzi. Maana mzee wa kisumu yupo kimya tu. sie wa embakasy tunaisubilia tarehe ya 17 tufanye yetu.
Nairobeeee, madem wa Nai na ulabu ni kama samaki na maji! Lakini nikionaga demu wa mashisha huwa nahisi kichefuchefu! Asee nakumbukaga hela zangu nilivozimaga yaani. Hadi kichwa kinauma!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.