PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 659
- 1,074
Habari za uzima wakuu!
Kwa Sasa kundi kubwa sana la vijana wanaokunywa pombe ni hili rika la kuanzia miaka17-27.
Kundi hili ukubali ukatae ndilo Lina idadi kubwa ya watu wanaokunywa pombe kuzidi umri wowote ule.
Ukichukua vijana 10 wa miaka17-27 kati 6-7 wanatumia pombe.
Kwenye sherehe nyingi sana hata kwenye kumbi za starehe kundi kubwa ni hili la miaka17-27 si mabinti Wala vijana wa kiume wote ngoma droo
Jana nimehudhuria party flani kulikuwa na pombe ya kujimiminia kwenye mitungi Tani Yako (sijui special name) nilichokishuhudia ndo hiki almost walikuwa wanakunywa pombe ni miaka hii 17-35 zaidi ya hili kindi ni mmoja mmoja sana wa miaka 40+.
Najiuliza shida Nini ?
Kipindi Cha nyuma kwenye miaka ya 2005 kijana kumkuta anakunywa pombe ilikuwa ni nadra sana labda MACHIMBONI na ZIWANI Kwa wavuvi ndo Unakuta hivo na hii Wala ilikuwa haishangazi maana kule tuna chukulia Kwa watu walioshindikana.
Mimi siisemi vibaya pombe maana namimi ni mdau mzuri tu. Nachokiwaza na kufikiria Nini haswa kimechangia vijana wamekuwa walevi kiasi hiki?
Takwimu zangu eneo ninalo fanya kazi
Vijana kati ya miaka18-30 walio fukuzwa kazi Kwa kosa la kuja wamelewa kazini Kwa mwaka huu 2023 Ni vijana 11 wengi wao hawajaoa.
Vijana wa miaka30+ walio fukuzwa kazi Kwa ulevi ni 3.
Nini shida hasa? Ukizingatia ajira ni ngumu sana kuzipata lkn kijana anaipata na anaichezea!?
Wewe unadhani shida Iko wapi?
Nini kifanyike kuokoa Hawa vijana wenzetu ambao Taifa linawahitaji sana Kwa uzalishaji na maendeleo ya family zao?
Karibuni
Ahsanteen Sana
NB: Miti ya mtunda ni muhimu sana jitahidi upande miti.
Kwa Sasa kundi kubwa sana la vijana wanaokunywa pombe ni hili rika la kuanzia miaka17-27.
Kundi hili ukubali ukatae ndilo Lina idadi kubwa ya watu wanaokunywa pombe kuzidi umri wowote ule.
Ukichukua vijana 10 wa miaka17-27 kati 6-7 wanatumia pombe.
Kwenye sherehe nyingi sana hata kwenye kumbi za starehe kundi kubwa ni hili la miaka17-27 si mabinti Wala vijana wa kiume wote ngoma droo
Jana nimehudhuria party flani kulikuwa na pombe ya kujimiminia kwenye mitungi Tani Yako (sijui special name) nilichokishuhudia ndo hiki almost walikuwa wanakunywa pombe ni miaka hii 17-35 zaidi ya hili kindi ni mmoja mmoja sana wa miaka 40+.
Najiuliza shida Nini ?
Kipindi Cha nyuma kwenye miaka ya 2005 kijana kumkuta anakunywa pombe ilikuwa ni nadra sana labda MACHIMBONI na ZIWANI Kwa wavuvi ndo Unakuta hivo na hii Wala ilikuwa haishangazi maana kule tuna chukulia Kwa watu walioshindikana.
Mimi siisemi vibaya pombe maana namimi ni mdau mzuri tu. Nachokiwaza na kufikiria Nini haswa kimechangia vijana wamekuwa walevi kiasi hiki?
Takwimu zangu eneo ninalo fanya kazi
Vijana kati ya miaka18-30 walio fukuzwa kazi Kwa kosa la kuja wamelewa kazini Kwa mwaka huu 2023 Ni vijana 11 wengi wao hawajaoa.
Vijana wa miaka30+ walio fukuzwa kazi Kwa ulevi ni 3.
Nini shida hasa? Ukizingatia ajira ni ngumu sana kuzipata lkn kijana anaipata na anaichezea!?
Wewe unadhani shida Iko wapi?
Nini kifanyike kuokoa Hawa vijana wenzetu ambao Taifa linawahitaji sana Kwa uzalishaji na maendeleo ya family zao?
Karibuni
Ahsanteen Sana
NB: Miti ya mtunda ni muhimu sana jitahidi upande miti.