Si muda utaanza kufahamika kama babu/mzee.Uwe unaitikia kwa furaha tu.Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January , kwa sasa tunatimiza miaka 40 na na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia , kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo , ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔
Kwa ,uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Kwanini BwasheeImenichukua sekunde 120 kuelewa hii title View attachment 3639237
BIA YA NGAPIIII HAPOOOOKwanini Bwashee
Jamaa keshalewa bia za motoImenichukua sekunde 120 kuelewa hii title View attachment 3639237
Eeeh basi wewe 40 bado. Wenye 40 ndevu zimejaa mvi tu😂😂Mchumba, unywele na udevu una waka weusi tii
MaalimSi muda utaanza kufahamika kama babu/mzee.Uwe unaitikia kwa furaha tu.
ya kale ni dhahabuBwashee mavi ya kale hayanuki
Naam ustaadh Kibua!Maalim