Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Tutabadilika
Minding your own business alafu unakuja kuniomba pesa ya chai really....naelewa kwamba I should mind my own business...lakini ukifanya hivyo hao watu watazidi kunisumbua kuja kuomba pesa ya chai kutokana na upuuz wao wenyewe....hivyo dawa ni kuwaambia ukweli ili wajitafutie wenyewe pesa ya chai.........after that maybe....
Nyie ndio baadae mnakuja kuiba......Aise pilipili usioila yakuwashia nini,unavyotafsiri mafanikio sivyo mwenzako anavyotafsiri
Mind your own business.
.. hahaha mbona ulishabadirika dada....kwa post zako lazima utakua mwanamke wa shoka tu.....Tutabadilika
sasa kwanini mambo yao mazuri kwako ni mabaya mkuu?sidhani kama nilitoa mfano wowote ule........pia kwa umri niliouweka pale..bila shaka huyo kijana atakua anajitambua hivyo anatambua zuri na baya......ila kama hajitambui yes....ni sahihi kuiga huo mfano ulioufikiria wewe ambao mimi sikuuweka...
....kwa mtazamo huo...hao lazima watakua hawajielewi na kutokujielewa ndio chanzo cha kuona mambo katika mtazamo ulio tofauti na uhalisia na hii inapelekea kizazi kizima kuwa na mtazamo ambao matunda yake ni umaskini na matatizo mengine mengi.....hivyo ni sahihi kuwarekebisha kwani matatizo hayo yanayotokana na wao humuathiri kila mtu....sasa kwanini mambo yao mazuri kwako ni mabaya mkuu?
nimesema ivo kwasababu kila mtu anafanya jambo linalompendeza yeye sasa kwanini unataka wafanye yatayokupendeza wewe?
mfano"
hutaki wasikilize mziki
hutaki waamke wakae
hutaki wakae vijiweni
hutaki washabikie mpira
umesahau kuwa haya mambo wanfanya kwasababu ni mazuri kwao nasi kwako!
Hiyo ni kweli dada D...Inawezekana
Minding your own business alafu unakuja kuniomba pesa ya chai really....naelewa kwamba I should mind my own business...lakini ukifanya hivyo hao watu watazidi kunisumbua kuja kuomba pesa ya chai kutokana na upuuz wao wenyewe....hivyo dawa ni kuwaambia ukweli ili wajitafutie wenyewe pesa ya chai.........after that maybe....
Kwakweli nimebadilika! Ujinga Sina Tena..!.. hahaha mbona ulishabadirika dada....kwa post zako lazima utakua mwanamke wa shoka tu.....
Ni wakati wa kulima mizeituni sasa😂😂😂Sawa mkuu! Nimekuelewa..
Kwa niaba ya vijana wa Africa wasiojishughulisha, naahidi kuacha tabia hiyo na kuanza kujishughulisha kwa nguvu zote!