Vijana wa Kiafrika na kutojishughulisha

Vijana wa Kiafrika na kutojishughulisha

...nyie vijana tikiseni hayo mapango yenye muundo wa kichwa kugundua fursa.....fursa zipo kibao au mnaogopa watu???... mnaogopana wenyewe kwa wenyewe eti nikiuza nyanya atanionaje!! Really???....kazi kushinda Instagram kuangalia makalio makubwa na maisha fake ya kifahar kwa tamaa zako unaenda kufanywa vibaya....hii kwa vijana wa kike.....hivyo vishimo sio vikombe vya chai kila mtu atie kijiko chake....jinga kabisa...
 
...nyie vijana tikiseni hayo mapango yenye muundo wa kichwa kugundua fursa.....fursa zipo kibao au mnaogopa watu???... mnaogopana wenyewe kwa wenyewe eti nikiuza nyanya atanionaje!! Really???....kazi kushinda Instagram kuangalia makalio makubwa na maisha fake ya kifahar kwa tamaa zako unaenda kufanywa vibaya....hii kwa vijana wa kike.....hivyo vishimo sio vikombe vya chai kila mtu atie kijiko chake....jinga kabisa...
mapango yenye muundo wa kichwa
 
Hahahahahh mkuu sikia nikwambie....tangu siku ya kwanza naanza shule sikuwa na ndoto z kuajiriwa.....na huu ni mwaka was sita tangu nimalize chuo....cha kushangaza naingiza mlo mrefu kuliko mwalimu.......hata wanangu hawatokuja ajiriwa nitawajengea misingi ya kujitegemea ili waje kuendeleza nilichoanzisha.......hawatokuja kua Kam hao wala tunda kimasihara.....
Kwanini umesema unaingiza mshiko mrefu kuliko mwalimu ??????
 
...nyie vijana tikiseni hayo mapango yenye muundo wa kichwa kugundua fursa.....fursa zipo kibao au mnaogopa watu???... mnaogopana wenyewe kwa wenyewe eti nikiuza nyanya atanionaje!! Really???....kazi kushinda Instagram kuangalia makalio makubwa na maisha fake ya kifahar kwa tamaa zako unaenda kufanywa vibaya....hii kwa vijana wa kike.....hivyo vishimo sio vikombe vya chai kila mtu atie kijiko chake....jinga kabisa...
kujishughulisha ni nini mkuu?

na kwanini umetumia mambo unayofanya wewe kama kipimo halisi cha kujishughulisha?
 
Hahahahahh mkuu sikia nikwambie....tangu siku ya kwanza naanza shule sikuwa na ndoto z kuajiriwa.....na huu ni mwaka was sita tangu nimalize chuo....cha kushangaza naingiza mlo mrefu kuliko mwalimu.......hata wanangu hawatokuja ajiriwa nitawajengea misingi ya kujitegemea ili waje kuendeleza nilichoanzisha.......hawatokuja kua Kam hao wala tunda kimasihara.....

Hujaelewa comment ulioijibu, amesema vijana tunajituma, ila sasa utakuta kila biashara unayoanzisha inafeli, ajira ndo kabisa hamna, sasa kwa maisha hayo cjui utakua mtu wa aina gani Intel5500
 
kwaio wewe kua na maisha juu kuliko vijana wenzio ndo uthibitisho kua unajishughulisha?
I never said that.... mada ilikua haihusu kujishughulisha...bal ilikuwa inahusu maisha ya vijana wa kiafrika...
 
s
I never said that.... mada ilikua haihusu kujishughulisha...bal ilikuwa inahusu maisha ya vijana wa kiafrika...
sawa kwanini unadhani maisha na kanuni/taratibu zako ni sahihi mpaka kila kijana aige mfano wako?
 
...sio wivu mkuu ni huruma....mm yangu yamenyooka ila nawaonea huruma wale ambao bado wako chini......najitahidi kuwaambia ukweli ili wabadirike....hayo siyo maisha...
knowledgebygoogle_20200703_2.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
s

sawa kwanini unadhani maisha na kanuni/taratibu zako ni sahihi mpaka kila kijana aige mfano wako?
sidhani kama nilitoa mfano wowote ule........pia kwa umri niliouweka pale..bila shaka huyo kijana atakua anajitambua hivyo anatambua zuri na baya......ila kama hajitambui yes....ni sahihi kuiga huo mfano ulioufikiria wewe ambao mimi sikuuweka...
 
Back
Top Bottom