Hawa vijana wa miaka 18 mpaka 23 hadi 26 wanaishi maisha ya ajabu sana, yani utakuta mtu kuanzia asubuhi mpaka jioni mtu amekaa tu barazani kusikiliza visingeri.
Huku mtaani ukimkuta kijana mwenye umri huo kashika kitabu anajisomea cha kuongeza maarifa basi kiama kesho kutwa.
Huku mtaani vijana wanafanya kazi ya kukimbizana kama kuku ili tu wafanye ngono.
Yani mtu afikirii miaka 17 ijayo yeye atakua kwenye hali gani mtu unaishi kama kuku, kazi kulishwa na baba na mama yako tu huna hata plan za maisha kwanini usiwe sawasawa na kuku.
Unaamka asubuhi unakunywa chai na maandazi ya mama; unaenda kwa wahuni wenzako kufanya ujinga unarudi mchana unakula ugali na dagaa wa mama then unatoka unakwenda kwa wahuni wenzako unarudi usiku. Usiku unakula wali na maharagwe ya mama unakwenda kulala. Ikifika asubuhi unafanya kilekile cha jana. Hii kwa waliokwenda shule na wasiokwenda shule.
Tumia muda wako kufanya vitu vya maana ambayo labda vitakua na faida kwako na kwa taifa lako sio kulilia ajira, tumia elimu yako kutatua changamoto zinazokuzunguka wewe na jamii yako na sio kulilia ajira kwani wewe huko shule ulikwenda kufundwisha ajira? Kasablanka kabisa, hii kwa wale waliokwenda shule kupoteza muda Kisha kuja kulilia ajira, upuuzi tu.
Huku mtaani ukiwakuta vijana wamekaa sehemu wenyewe wanaita kijiweni hayo maongezi yao ukisikia unaweza ukatikisa kichwa hadi kikang'oka. Wanaongea vitu vya ajabu mno: mademu, ngono, mpira ya Ulaya ila hata sentence moja ya Kiingereza hawaijui. Hutosikia wakiongea kuhusu maisha yalivyo ili wasolve changamoto zilizowazunguka, yaani wao kuishi na changamoto ni kawaida kabisa na hii ni moja ya sababu inayofanya Africans masikini wengi hiyo kwa wote aliyekwenda shule na aliyekwenda kabisa.
Wazungu wanaendelea kutokana na vijana wao wa kipindi hicho kushindwa kuishi na changamoto hivyo wakisolve tatizo hili na akili yao inatanuka ndo maana hadi leo wapo mbali na wao wanaendelea kurithisha vizazi vyao tabia hizo...
Ila kijana wa Kiafrika akipata changamoto anamwachia Mungu na kuendelea kulala huku akifikiria ngono na upuuzi mwingine, na wakati huo akirithisha vizazi vyake. Hata humu wapo wengi tu...
Hawa vijana ukiwaambia ukweli watakuona wewe ndo boya na mjinga na huku wanakutukana matusi...Watakukosoa kwa dharau na kejeli kumbe ni wajinga wanaoshindwa kutumia elimu zao kupambana na changamoto na kuishia kutoa nyodo; hii kwa waliokwenda kusomea ujinga shuleni...
Nyie vijana mbadilike; ngono na mambo mengine ya kijinga hayatowasaidia muda ndo huu hakuna second chance sio mkifika 30 hauna hata bakuli unakuja humu kulialia..
Ukweli siku zote unauma.
Huku mtaani ukimkuta kijana mwenye umri huo kashika kitabu anajisomea cha kuongeza maarifa basi kiama kesho kutwa.
Huku mtaani vijana wanafanya kazi ya kukimbizana kama kuku ili tu wafanye ngono.
Yani mtu afikirii miaka 17 ijayo yeye atakua kwenye hali gani mtu unaishi kama kuku, kazi kulishwa na baba na mama yako tu huna hata plan za maisha kwanini usiwe sawasawa na kuku.
Unaamka asubuhi unakunywa chai na maandazi ya mama; unaenda kwa wahuni wenzako kufanya ujinga unarudi mchana unakula ugali na dagaa wa mama then unatoka unakwenda kwa wahuni wenzako unarudi usiku. Usiku unakula wali na maharagwe ya mama unakwenda kulala. Ikifika asubuhi unafanya kilekile cha jana. Hii kwa waliokwenda shule na wasiokwenda shule.
Tumia muda wako kufanya vitu vya maana ambayo labda vitakua na faida kwako na kwa taifa lako sio kulilia ajira, tumia elimu yako kutatua changamoto zinazokuzunguka wewe na jamii yako na sio kulilia ajira kwani wewe huko shule ulikwenda kufundwisha ajira? Kasablanka kabisa, hii kwa wale waliokwenda shule kupoteza muda Kisha kuja kulilia ajira, upuuzi tu.
Huku mtaani ukiwakuta vijana wamekaa sehemu wenyewe wanaita kijiweni hayo maongezi yao ukisikia unaweza ukatikisa kichwa hadi kikang'oka. Wanaongea vitu vya ajabu mno: mademu, ngono, mpira ya Ulaya ila hata sentence moja ya Kiingereza hawaijui. Hutosikia wakiongea kuhusu maisha yalivyo ili wasolve changamoto zilizowazunguka, yaani wao kuishi na changamoto ni kawaida kabisa na hii ni moja ya sababu inayofanya Africans masikini wengi hiyo kwa wote aliyekwenda shule na aliyekwenda kabisa.
Wazungu wanaendelea kutokana na vijana wao wa kipindi hicho kushindwa kuishi na changamoto hivyo wakisolve tatizo hili na akili yao inatanuka ndo maana hadi leo wapo mbali na wao wanaendelea kurithisha vizazi vyao tabia hizo...
Ila kijana wa Kiafrika akipata changamoto anamwachia Mungu na kuendelea kulala huku akifikiria ngono na upuuzi mwingine, na wakati huo akirithisha vizazi vyake. Hata humu wapo wengi tu...
Hawa vijana ukiwaambia ukweli watakuona wewe ndo boya na mjinga na huku wanakutukana matusi...Watakukosoa kwa dharau na kejeli kumbe ni wajinga wanaoshindwa kutumia elimu zao kupambana na changamoto na kuishia kutoa nyodo; hii kwa waliokwenda kusomea ujinga shuleni...
Nyie vijana mbadilike; ngono na mambo mengine ya kijinga hayatowasaidia muda ndo huu hakuna second chance sio mkifika 30 hauna hata bakuli unakuja humu kulialia..
Ukweli siku zote unauma.
