mbna mkuu hadi s tumecheza sana goloriKila mtaa ulikuwa na dogo aliekuwa mtalaam wa kulengaš¤£
View attachment 3281175
Umenikumbusha mbali sanaš¤£š¤£š¤£š¤£Kila mtaa ulikuwa na dogo aliekuwa mtalaam wa kulengaš¤£
View attachment 3281175
Kuna watu ambao walicheza na ndio wanaongoza kuua watu tanzania nikae kimyaKila mtaa ulikuwa na dogo aliekuwa mtalaam wa kulengaš¤£
View attachment 3281175
š¤£Hizi glory zilifanya nipigane sana ngumi tulikuwa tunachuma mashimo, unaweka shilingi Mia tunagombania ukienda kuchange hapo utapata shilingi 10 zako 5 alafu shilingi 20 mbili, sometimes tu nachezea miambili unatoka na shilingi 5 ziko nneKila mtaa ulikuwa na dogo aliekuwa mtalaam wa kulengaš¤£
View attachment 3281175
Hahahah ngumi zilipigika sana mkuuš¤£Hizi glory zilifanya nipigane sana ngumi tulikuwa tunachuma mashimo, unaweka shilingi Mia tunagombania ukienda kuchange hapo utapata shilingi 10 zako 5 alafu shilingi 20 mbili, sometimes tu nachezea miambili unatoka na shilingi 5 ziko nne
Dah Leo hii 50 nayo imeanza kupotea kwenye mzunguko
Ntenente šš¤£š¤£š¤£Kila mtaa ulikuwa na dogo aliekuwa mtalaam wa kulengaš¤£
View attachment 3281175