Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Jamaa yangu ana mdogo wake kamaliza chuo mwaka Jana. Amekaa Mtaani kodi imeisha akakosa pa kukaa. Kaka yake ni mtu wangu wa karibu. Akanambia mdogo wake anakosa pa kukaa. Jamaa yupo Dodoma.
Pale home nina Servant Quarter. Nikamwambia aje akae pale mpaka akichoka. Vyumba viwili, jiko,s ebule na choo. Anakaa kijana wa kusaidia kazi home wa Kiume. Basi bwana mdogo amefika home Umarekani Marekani mwingi sana.
Ilibidi nimpe Darasa kuwa pale home muda wa kurudi mwisho saa mbili, asivae nguo zinazoacha makalio nje, asivae nguo za kubana sana mwili. Nikamwambia anadhani ataweza hayo? Maana kwa kweli ni changamoto na mimi nina watoto pale home. Akajibu ataweza. Nikamwambia hamna shida.
Baada ya week tu akaleta Demu pale chumba anachokaa. Hakujua mimi naona kwenye CCTV Camera. Akalala naye. Kesho nikamwita nikamwambia aache ule ujinga.
Dogo 24/7 yupo na simu. Anakuja kula huku anachezea simu. Akimaliza tu kula anaondoka bila kutusubiri sisi wengine. Anaweza akatangulia kula nyie mmejikusanya mnakuta keshakula kaondoka.
Sasa juzi nlimtumia text kuwa kuna sehemu nataka aende akafanye Interview. Akaa kimya though alisoma text after 5 hours ananitumia text "bro ile issue ya job imekaaje kaaje. Ili niangalie michongo yake kama ipo au vipi" sikuweza mjibu mpaka hii leo. Hiyo nafasi nilimsaidia mtu mwingine mwenye nidhamu.
Hawa vijana wa sasa akili wanapoteza wakiwa na umri gani? Au wanapotezea wapi? Na huyu ni graduate kabisa wa Sheria. Very hopeless. Sasa baadaye ataanza lalamika kuwa amekaa na mimi nmemtesa maana sijaruhusu alete demu ghetto. Naonekana mimi mkoloni n.k vijana badilikeni muanze kuwa serious sasa. Muda unaenda sana.
Pale home nina Servant Quarter. Nikamwambia aje akae pale mpaka akichoka. Vyumba viwili, jiko,s ebule na choo. Anakaa kijana wa kusaidia kazi home wa Kiume. Basi bwana mdogo amefika home Umarekani Marekani mwingi sana.
Ilibidi nimpe Darasa kuwa pale home muda wa kurudi mwisho saa mbili, asivae nguo zinazoacha makalio nje, asivae nguo za kubana sana mwili. Nikamwambia anadhani ataweza hayo? Maana kwa kweli ni changamoto na mimi nina watoto pale home. Akajibu ataweza. Nikamwambia hamna shida.
Baada ya week tu akaleta Demu pale chumba anachokaa. Hakujua mimi naona kwenye CCTV Camera. Akalala naye. Kesho nikamwita nikamwambia aache ule ujinga.
Dogo 24/7 yupo na simu. Anakuja kula huku anachezea simu. Akimaliza tu kula anaondoka bila kutusubiri sisi wengine. Anaweza akatangulia kula nyie mmejikusanya mnakuta keshakula kaondoka.
Sasa juzi nlimtumia text kuwa kuna sehemu nataka aende akafanye Interview. Akaa kimya though alisoma text after 5 hours ananitumia text "bro ile issue ya job imekaaje kaaje. Ili niangalie michongo yake kama ipo au vipi" sikuweza mjibu mpaka hii leo. Hiyo nafasi nilimsaidia mtu mwingine mwenye nidhamu.
Hawa vijana wa sasa akili wanapoteza wakiwa na umri gani? Au wanapotezea wapi? Na huyu ni graduate kabisa wa Sheria. Very hopeless. Sasa baadaye ataanza lalamika kuwa amekaa na mimi nmemtesa maana sijaruhusu alete demu ghetto. Naonekana mimi mkoloni n.k vijana badilikeni muanze kuwa serious sasa. Muda unaenda sana.