Vijana tusing'ang'anie Dar

Mm sjawahi ielewa Du salaam yale maisha ya kugombania kila kitu sio wazee wala vijana
 
Kilimo ni kamari
 
Mwisho wa siku tukubaliane tu, pesa inavyopatikana Dar ni tofauti mno na upatikanaji wa pesa kwa sehemu nyingi za nchi hii. Mfano, kwa sasa mihogo Dar es Salaam imekuwa ni biashara kubwa mno inayolipa vizuri kuanzia kwa wauzaji sokoni mpaka kwa wanaoichoma sasa nipe mrejesho wa mkoani katika ufanano huo.

Wacha tutafute mitaji kwanza hapa mjini, huko tutakuja tukiwa na mitaji ya kueleweka ila Dar wacha pawe hivyo hivyo tu.
 
Dar vijana wengi wanapoteza muda sana wakija kushtuka umri umeenda!...akiwa na kigeto na friji basi maana bia za bure dar zipo sana!...

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
 
Ukie da Kijijini kwa mtu ulie kaa dar lazima utaona fulsa labda kama utakua kijana wa ovyo na ukipambana lazima utoke lakini hapa vijana wengi hawajajipata wapo wapo tu wachache ndo wamejipata
 
Aikoooooooo! wa taarifa yako waliopo dar ni Staff wa JF tu wengine tupo live mikoani, karibu Kabanga, Ngara 🀣
Huko kabanga ndio naambiwa ni kitovu cha parachichi mzee?
 
Bila shaka umeleta uzi baada ya vijana kadhaa wa daslam kulalamika hali ngumu.

Sio hawataki kuja ila kuja bila kitu nacho kipengele.
Ngoja watafute nauli, watakuja.
 
Nimeingia Njombe Jana Usiku nikitokea huko "mikoani". Nitakuwepo kwa siku kadhaa kwa shughuli fulani ya kikazi.

Leo nimepata nafasi ya kutembelea maeneo kadhaa yanakolimwa maparachichi. Nilijikuta nahisi kama nataka kulia, si kwa huzuni, bali furaha. Hii nchi imebarikiwa sana. Hali ya hewa ni nzuri sana kwa kilimo. Nimekutana na watu kadhaa wanafanya kilimo cha parachichi, wengine ni mamilionea wanaolekea kuwa mabilionea.

Jamani nchi hii ina utajiri mkubwa sana.

Inawezekana kuwa bilionea Tanzania.

Hii nchi ni tajiri mno. Ukijipanga vizuri, na ukaamua kuwekeza kwenye kilimo biashara, ni suala la muda tu, unajikita umeshakuwa bilionea.

Nitaondoka Njombe hivi karibuni, lakini nitarudi tena. Ni sehemu sahihi kuwekeza kilimo cha parachichi.
 
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
🀣🀣🀣🀣 kabisa unashangaa umepewa maneno makali mno!
 
πŸ‘Š for sure kua tajiri au maskini ni uchaguzi na uamuzi wa mtu tu, fursa zipo nyingi na zipo wazi kabisaaaa kama ivo yaani πŸ’
 
πŸ‘Š for sure kua tajiri au maskini ni uchaguzi na uamuzi wa mtu tu, fursa zipo nyingi na zipo wazi kabisaaaa kama ivo yaani πŸ’
Nimefika maeneo mengi Tanzania. Ni mikoa miwili tu, Lindi na Mtwara ndiyo bado sijatia miguu yangu. Huenda nikaenda huko wiki ijayo.

Lakini kwa niliyoyashuhudia Njombe, nakuhakikishia sihami Tanzania ng'o. Bilioni yangu ya kwanza nitaipata nikiwa Tanzania.

Nitaondoka Njombe siku chache zijazo, lakini nitarudi tena kuja kuwekeza kwenye kilimo cha parachichi na mifugo.

Nikiwa na alau ekari 50 za parachichi, ng'ombe 20 wa maziwa, na mbuzi 100, ni mwanzo mzuri. Lakini lengo ni kuwa na ekari 200 za Parachichi aina ya Hass.

Njombe, nitarudi kuja kuwekeza!

Tanzania ni nchi nzuri sana. Si bure ndugu zetu Wakenya wanapatamani!

It's possible kuwa bilionea Tanzania!
 
Hayo magunia utawaona wenzio wakivuna tu.kalime wewe uone
 
Hayo magunia utawaona wenzio wakivuna tu.kalime wewe uone
Mkuu, unazungumza nami?

Sijayaona magunia, nimeyaona matokea ya yanayofanyika Njombe kwenye kilimo cha parachichi. Kwa sababu hiyo basi, na mimi nitawekeza, siyo kwa ajili ya kuyaona magunia, bali kupata matokea mazuri.

Nitalima, na nikianza kuvuna, nayapaki kwenye vifungashio stahiki na kuyasafirisha kwenda "ng'ambo"

Nitayanunua pia na kuyafanyia packaging kabla ya kuyaexport.

Mkuu, wewe hutaki kuwa bilionea?

Fursa za ubilionea zipo nyingi sana Tanzania.

Tembea ukifikiri, utaligundua hilo.
 
Kila la kheri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…