Mtanzania Safi
Member
- Oct 9, 2014
- 95
- 13
TUENDELEE KUMJUA VIZURI MH. WILLIUM MGANGA NGELEJA
Huyu ndiye aliyesimamia kuanzishwa kwa sheria mpya ya madini ya mwaka 2010... Na yafuatayo ni mambo mapya ambayo yaliingizwa katika sera na sheria mpya ya madini wakati wa mtaalam huyu ambaye pia ni mjanja kifikra na kimaono chanya katika kuhakikisha jamii yake pendwa ya Tanzania inaendelea kunufaika na nguvu pamoja na weled wake÷
a). Sharti la serikali kumiliki hisa za bure katika migodi (free carried interest) mfano mgodi wa Buckreef Geita serikali inamiliki hisa za bure 45% kupitia STAMICO, Mchuchuma/Liganga (NDC-20%), na Ngaka (NDC-30%).
b). Migodi yote inatakiwa kununua huduma na bidhaa mbalimbali nchini badala ya kuagiza kutoka nje kama ilovyokuwa awali.
c). Kipindi cha leseni za wachimbaji wadogo kimeongezwa kutoka miaka 5-7
d). Viwango vya mrabaha vimeongezeka,kwa mfano,dhahabu kwa sasa ni 4% badala ya 3% (migodi ilianza kulipa mrabaha mpya mei 1,2012).
Mh. Willium Ngeleja mwaka 2008 alisimamia kuifufua STAMICO iliyokuwa imeorodheshwa kufutwa kabisa,kitu ambacho kama una akili timamu lazima uendelee kumsifia Ngeleja.
Mh.Ngeleja mwaka 2007-2011 alisimamia kumpata mwekezaji katika mgodi wa makaa ya mawe na Chuma wa mchuchuma na Liganga kwa kushirikiana na NDC.
Ni huyu huyu mh.William Ngeleja ambaye mwaka 2009-2011 alisimamia kuurudisha mgodi wa kiwira mikononi mwa serikali kupitia STAMICO ambayo aliirudisha yeye kwani tukumbuke iliorodheshwa kufutwa.
Mh.Ngeleja alisimamia kampuni za madini kuanza kulipa kodi ya mapato (30%) mfano, Resolute (Nzega), Geita Gold Mine (Geita), Tulawaka (Biharamulo) na TanzaniteOne (Mererani)
HIVI KWELI WATANZANIA NI NINI TUNAJIFUNZA KUTOKA KWA MTU HUYU TOFAUTI NA UZALENDO ULIOPOTILIZA? Hivi mnafikiri akigombea uraisi mwaka 2015 nchi yetu itakuwa wapi kimaendeleo kutokana na akili zake nyingi zilizojawa na upeo wa fikra tenda na za kimaono katika kuleta mabadiliko?.
SISI TUNASEMA NENDA NGELEJA 2015 NENDA TUTAKUUNGA MKONO NA TUTAPIGANA KWA AJILI YAKO ILI KUIWEKA TANZANIA YETU PAZURI ZAIDI.
Huyu ndiye aliyesimamia kuanzishwa kwa sheria mpya ya madini ya mwaka 2010... Na yafuatayo ni mambo mapya ambayo yaliingizwa katika sera na sheria mpya ya madini wakati wa mtaalam huyu ambaye pia ni mjanja kifikra na kimaono chanya katika kuhakikisha jamii yake pendwa ya Tanzania inaendelea kunufaika na nguvu pamoja na weled wake÷
a). Sharti la serikali kumiliki hisa za bure katika migodi (free carried interest) mfano mgodi wa Buckreef Geita serikali inamiliki hisa za bure 45% kupitia STAMICO, Mchuchuma/Liganga (NDC-20%), na Ngaka (NDC-30%).
b). Migodi yote inatakiwa kununua huduma na bidhaa mbalimbali nchini badala ya kuagiza kutoka nje kama ilovyokuwa awali.
c). Kipindi cha leseni za wachimbaji wadogo kimeongezwa kutoka miaka 5-7
d). Viwango vya mrabaha vimeongezeka,kwa mfano,dhahabu kwa sasa ni 4% badala ya 3% (migodi ilianza kulipa mrabaha mpya mei 1,2012).
Mh. Willium Ngeleja mwaka 2008 alisimamia kuifufua STAMICO iliyokuwa imeorodheshwa kufutwa kabisa,kitu ambacho kama una akili timamu lazima uendelee kumsifia Ngeleja.
Mh.Ngeleja mwaka 2007-2011 alisimamia kumpata mwekezaji katika mgodi wa makaa ya mawe na Chuma wa mchuchuma na Liganga kwa kushirikiana na NDC.
Ni huyu huyu mh.William Ngeleja ambaye mwaka 2009-2011 alisimamia kuurudisha mgodi wa kiwira mikononi mwa serikali kupitia STAMICO ambayo aliirudisha yeye kwani tukumbuke iliorodheshwa kufutwa.
Mh.Ngeleja alisimamia kampuni za madini kuanza kulipa kodi ya mapato (30%) mfano, Resolute (Nzega), Geita Gold Mine (Geita), Tulawaka (Biharamulo) na TanzaniteOne (Mererani)
HIVI KWELI WATANZANIA NI NINI TUNAJIFUNZA KUTOKA KWA MTU HUYU TOFAUTI NA UZALENDO ULIOPOTILIZA? Hivi mnafikiri akigombea uraisi mwaka 2015 nchi yetu itakuwa wapi kimaendeleo kutokana na akili zake nyingi zilizojawa na upeo wa fikra tenda na za kimaono katika kuleta mabadiliko?.
SISI TUNASEMA NENDA NGELEJA 2015 NENDA TUTAKUUNGA MKONO NA TUTAPIGANA KWA AJILI YAKO ILI KUIWEKA TANZANIA YETU PAZURI ZAIDI.