hao tunawaita keyboard warriors AKA wakaa kwa shemejiSasa mbona kama siku hizi mpaka baadhi ya vijana wamechagua upande wa wazee!!!!! 🤔
Mavijana ya Sasa yanapenda kazi lainiKwakweli ukipita kila mahali unaona kuna miradi inasonga...ila vijana kibao wako mtaani hwana ajira kabsa...sasa mimi nawaza tatizo liko wapi?
vijana Kamili na makini wana puuza tu hizo kejeli za walioshiba, wakalewa na kusaza vyeo na umaarufu,Kwani vijana tulikosea wapi, mbona kama kila kona tunasemwa sana.View attachment 2783201