Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Habar wakuu,vijana nchi hii ni zaidi ya asilimia 60 hivyo kwenye taifa hili vijana tunanafasi kubwa sana ya kufanya maamuzi dhidi yetu kwa sasa vijana tumetupwa hakuna mikakati wala mipango yyte ya kuwainua vijana, vijana watz tumekosa wa kutusemea tumekuwa tunatumiwa na mamlaka pamoja na vyama vya siasa kwa ajili ya maslahi yao.Nimefikiri kwa kina nikaona vijana tujipiganie wenyewe kwa kupitia chama cha siasa kianzishwe na vijana kwa lengo la kujipigania kwani kwa miaka mingi hakuna mtu mwenye uchungu na vijana nchi hii inakila kitu lakini vijana tumetupwa hakuna anayetuona.
Afrika kusini wameamua kufanya hivyo kupitia kwa kijana Julius Malema
Afrika kusini wameamua kufanya hivyo kupitia kwa kijana Julius Malema