Waliahidiwa 40m kama wakichukua ndoo,sasa hivi wanapewa 20m why???????
Waliahidiwa 40m kama wakichukua ndoo,sasa hivi wanapewa 20m why???????
nimeona ITV juzi Kocha Salumu Madadi akitoa maelezo ya wale u-17 (airtel Raising Stars) walioenda Nairobi na kuishia round ya kwanza akiendeleza ile ile culture ya VISINGIZIO!Hii ni habari ndogo katika gazeti la Mwananchi. Habari kuu ni Yanga yarudi bila Twite
Alifanya kosa pale igunga kwenye kampeni, upepo ulipeperusha shati lake hadi bastola ikaonekana hadharani. Alihukumiwa jela lakini alikuwa huru kwa msamaha wa JK.Hivi RAGE alifungwa kwa kosa gani tena?