Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

Vijana nyinyi ndio mabadiliko yenyewe

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
file_0000000055ec71fd87ea5b2484893222.png


My people,​


Utangulizi

Uhuru wa kutoa maoni na mawazo unaenda sambamba pamoja na kusikiliza maoni na mawazo ya watu wengine, si mwenye busara mwenye kutaka kusikilizwa tu, bali mwenye busara ni yule ambaye yupo open minded kusikiliza na upande wa pili hata kama ahafikiani na maoni na mawazo yao,na huo ndio ukomavu

Twende kazi..

Rais Obama aliwahi kusema kwenye speech ambayo ilikuwa maarufu sana hapa duniani

"Mabadiliko hayatakuja kama tukisubiri mtu mwingine au wakati mwingine, bali sisi ndio mabadiliko yenyewe"

Vijana wa Tanzania nyinyi ndio mabadiliko yenyewe,msisubiri eti atakuja mtu kuwaambia kwamba Linda uhai wako kwa kuepuka fujo na vurugu, bali nyinyi ndio mseme sasa hatupo tayari kutumiwa tena kwa faida ya watu wengine

Nyinyi ndio wa kuamua kwa sauti kubwa kusema hatuwezi kuchoma nchi yetu Tanzania kwa maslahi ya watu wachache wenye malengo mahususi.

Ifike kipindi mseme inatosha sasa, hatuwezi kupoteza uhai wetu kwa mikakati ambayo haina tija,mikakati ambayo haina mwisho mwema,

Raisi wa Afrika Kusini bwana Nelson Mandela alisema hivi:

"Mabadiliko ya kweli hayafikiwi kwa chuki au kwa kulipa kisasi,ila kupitia kusameheana na kupitia mazungumzo"

Huyu ni mtu aliyefungwa miaka 27 jela kwa kupigania taifa la Afrika Kusini,baadae akaja kutolewa na kuwa raisi wa Nchi hiyo

Alikuwa na kila sababu ya kulipiza kisasi na kuwafunga watesi wake au kuwafukuza pale Afrika Kusini ndani ya masaa 24 tu. Lakini allichagua kusamehe na mazungumzo

Huu ni utajiri mkubwa wa nafsi yenye uelewa wa hali ya juu sana,ukomavu wa hali ya juu sana na roho yenye kusamehe

Tunatambua tumeumizwa sana na mioyo yetu inavuja damu,kutokana na madhila yaliyo wakumbuka ndugu zetu,lakini suluhisho sio kuandamana na kujawa na hasira na kuharibu mali na miundo mbinu,hio sia njia sahihi

Njia sahihi ni kupitia mazungumzo,njia ya mazungumo duniani kote ndio imekuwa mwarobaini wa changamoto nyingi sana,kwahiyo tuwe na subira kubwa wakati suluhu ya kuliponya taifa ikiwa katika pipeline

Tukumbuke nyinyi ndio mabadiliko yenyewe basi chagueni mabadiliko chanya

Ni hayo tu!
 
Wakati nipo chuo mwaka wa mwisho , tulifanya semina .

Ushauri Ambao tulipewa na lecturer ulisema hivi

"Yawezekana usifurahishwe na kinachoendelea katika nchi yako , Ila hiyo isikufanye kuwa na CHUKI kwakuwa viongozi wabaya hupita Ila nchi hubaki"

I feel so sorry ile 29/10 Kijana anachoma nchi yake kisa viongozi amabao hakubaliani nao na kusahau kuwa viongozi wabaya wanapita Ila nchi inabaki

JAMBO hili nililipokea kwa hisia Sana mpaka nikasema ,

Kama MTU mzima ninao wajibu wa kuhakikisha tunasambaza elimu ya kujitambua na kutenganisha mambo kati ya

Viongozi wabaya , nchi mbaya n.k

Nchi yetu sio Mbaya na haijawahi kuwa mbaya

KIJANA IPENDE NCHI YAKO NA USIICHOME NCHI YAKO BAD LEADERS PASS BUT THE COUNTRY REMAINS
 
Mahandishi mengi ila sijajua unasema nini
Be the change u wanna see

Means don't decline ur responsibility.

Unataka RAIS fata utaratibu sahihi uliopo ,

Usiamini ktk shortcut kuwa unaweza ukaamka na kuingia barabarani ili kupata Rais.

NO .be the change you want to see
 
Wakati nipo chuo mwaka wa mwisho , tulifanya semina .

Ushauri Ambao tulipewa na lecturer ulisema hivi

"Yawezekana usifurahishwe na kinachoendelea katika nchi yako , Ila hiyo isikufanye kuwa na CHUKI kwakuwa viongozi wabaya hupita Ila nchi hubaki"

I feel so sorry ile 29/10 Kijana anachoma nchi yake kisa viongozi amabao hakubaliani nao na kusahau kuwa viongozi wabaya wanapita Ila nchi inabaki

JAMBO hili nililipokea kwa hisia Sana mpaka nikasema ,

Kama MTU mzima ninao wajibu wa kuhakikisha tunasambaza elimu ya kujitambua na kutenganisha mambo kati ya

Viongozi wabaya , nchi mbaya n.k

Nchi yetu sio Mbaya na haijawahi kuwa mbaya

KIJANA IPENDE NCHI YAKO NA USIICHOME NCHI YAKO BAD LEADERS PASS BUT THE COUNTRY REMAINS
Ni sahihi kabisa viongozi wabaya hupita lakini nchi inabaki

Just imagine if hawa vijana wangewaza hivi kama ulivyoandika hapo, leo tungekuwa na story tofauti kabisa

Yaliyopita sindwele tugange yajayo

Sasa tuwaze hivyo kwamba hata awamu hii itapita basi kikubwa subira,huenda huko mbeleni kutakuwa na unafuu

vijana hasira za muda mfupi huenda zikaangamiza future yako nzima

fanya uamuzi wa busara

Inahuzunisha sana kwakweli
 
Ni sahihi kabisa viongozi wabaya hupita lakini nchi inabaki

Just imagine if hawa vijana wangewaza hivi kama ulivyoandika hapo, leo tungekuwa na story tofauti kabisa

Yaliyopita sindwele tugange yajayo

Sasa tuwaze hivyo kwamba hata awamu hii itapita basi kikubwa subira,huenda huko mbeleni kutakuwa na unafuu

vijana hasira za muda mfupi huenda zikaangamiza future yako nzima

fanya uamuzi wa busara

Inahuzunisha sana kwakweli

Sahihi .

Think - re think before you sink.

Sisi Kama matured men tumeona IPO responsibility ya kuhakikia we impart knowledge and wisdom kwa vijana ambao they will lead tomorrow .

Na endapo tukikaa kimya tungekuwa tumeamua kuhatarisha decent future ya nchi yetu.

Hatujachelewa na haturudi nyuma.
 
Sahihi .

Think - re think before you sink.

Sisi Kama matured men tumeona IPO responsibility ya kuhakikia we impart knowledge and wisdom kwa vijana ambao they will lead tomorrow .

Na endapo tukikaa kimya tungekuwa tumeamua kuhatarisha decent future ya nchi yetu.

Hatujachelewa na haturudi nyuma.
Na kuna faida gani kama hatutumii uelewa wetu wa mambo to pass through to our young brothers and sisters

Zamani wazee walikuwa wanatoa elimu kwa baba zetu na mama zetu

Hata nasi tunaweza onyesha njia sahihi ya kupita na vijana wasipotee

Let us play our part and the rest is up to them
 
Na kuna faida gani kama hatutumii uelewa wetu wa mambo to pass through to our young brothers and sisters

Zamani wazee walikuwa wanatoa elimu kwa baba zetu na mama zetu

Hata nasi tunaweza onyesha njia sahihi ya kupita na vijana wasipotee

Let us play our part and the rest is up to them
Sahihi .

ABIRIA KAMA TUPO KATIKA MELI MOJA HATUWEZI KUCHEKANA

KUNA WATU NI WAJINGA SANA HAWANA hata DOLA 100 BANK ILA WANASAPOTI MAANDAMANO NA VURUGU

WAPO KAMA NYANI AMBAYE ANAWEZA AKACHEKA PALE MSITU UKIUNGUA AKIWA HAJUI KUWA JIONI ATAKOSA PAKULALA.


HAIJALISHI NCHI INAENDAJE ILA ZIPO NJIA ZA KU- FIGURE OUT NA KU- REWRITE OUR OWN STORY

KUNA MTU AKASEMA WATU WAJINGA SIKU ZOTE HUWA WANATAKA KUANZA MARATHON AT THE FINISH LINE

Wakiona wanasiasa they are living luxury life wanafikiri ni jambo jepesi kuwa mwanasiasa .

Wanasahahu how many people have been killed , gunned , n.k

So we have to embrace the process there's no overnight success .
 
View attachment 3517134

My people,​


Utangulizi

Uhuru wa kutoa maoni na mawazo unaenda sambamba pamoja na kusikiliza maoni na mawazo ya watu wengine, si mwenye busara mwenye kutaka kusikilizwa tu, bali mwenye busara ni yule ambaye yupo open minded kusikiliza na upande wa pili hata kama ahafikiani na maoni na mawazo yao,na huo ndio ukomavu

Twende kazi..

Raisi Obama aliwahi kusema kwenye speech ambayo ilikuwa maarufu sana hapa duniani

"Mabadiliko hayatakuja kama tukisubiri mtu mwingine au wakati mwingine, bali sisi ndio mabadiliko yenyewe"

Vijana wa Tanzania nyinyi ndio mabadiliko yenyewe,msisubiri eti atakuja mtu kuwaambia kwamba Linda uhai wako kwa kuepuka fujo na vurugu,bali nyinyi ndio mseme sasa hatupo tayari kutumiwa tena kwa faida ya watu wengine

Nyinyi ndio wa kuamua kwa sauti kubwa kusema hatuwezi kuchoma nchi yetu Tanzania kwa maslahi ya watu wachache wenye malengo mahususi.

Ifike kipindi mseme inatosha sasa,hatuwezi kupoteza uhai wetu kwa mikakati ambayo haina tija,mikakati ambayo haina mwisho mwema,

Raisi wa Afrika Kusini bwana Nelson Mandela alisema hivi:

Mabadiliko ya kweli hayafikiwi kwa chuki au kwa kulipa kisasi,ila kupitia kusameheana na kupitia mazungumzo

Huyu ni mtu aliyefungwa miaka 27 jela kwa kupigania taifa la Afrika Kusini,baadae akaja kutolewa na kuwa raisi wa Nchi hiyo

Alikuwa na kila sababu ya kulipiza kisasi na kuwafunga watesi wake au kuwafukuza pale Afrika Kusini ndani ya masaa 24 tu. Lakini allichagua kusamehe na mazungumzo

Huu ni utajiri mkubwa wa nafsi yenye uelewa wa hali ya juu sana,ukomavu wa hali ya juu sana na roho yenye kusamehe

Tunatambua tumeumizwa sana na mioyo yetu inavuja damu,kutokana na madhila yaliyo wakumbuka ndugu zetu,lakini suluhisho sio kuandamana na kujawa na hasira na kuharibu mali na miundo mbinu,hio sia njia sahihi

Njia sahihi ni kupitia mazungumzo,njia ya mazungumo duniani kote ndio imekuwa mwarobaini wa changamoto nyingi sana,kwahiyo tuwe na subira kubwa wakati suluhu ya kuliponya taifa ikiwa katika pipeline

Tukumbuke nyinyi ndio mabadiliko yenyewe basi chagueni mabadiliko chanya

Ni hayo tu!
Hakuna kijana anasubiri kuambiwa na ww au HAYA LAND HOV. Hakuna mazungumzo hayawajawahi kuombwa. Hadi uchaguzi tukaomba usogezwe mbele mkawa mnatuona wajinga. Katiba mpya mpaka ikawa wimbo, mkafikia hadi kusema kwa kejeli hadharani kuwa katiba haileti ugali mezani! Ni mazungumzo gani mnayataka sasa wakati hamko madarakani kwa ridhaa ya umma?
 
Hakuna kijana anasubiri kuambiwa na ww au HAYA LAND HOV. Hakuna mazungumzo hayawajawahi kuombwa. Hadi uchaguzi tukaomba usogezwe mbele mkawa mnatuona wajinga. Katiba mpya mpaka ikawa wimbo, mkafikia hadi kusema kwa kejeli hadharani kuwa katiba haileti ugali mezani! Ni mazungumzo gani mnayataka sasa wakati hamko madarakani kwa ridhaa ya umma?


Be the change you want to see

Sisi hatupo hapa kulaumu Serikali au vyama

Sisi hatuchezi LIGI NDOGO sisi tunacheza LIGI KUBWA inaitwa DON'T PLAY SOMEONE'S GAME


KWAHIYO UNAPOSEMA UNALAUMU HIVI AU VILE MEANS UNATAKA TUCHEZE LIGI NDOGO

AHAAA NIGGER !! HIYO MIJADALA YA KITOTO HATUPO SISI

THIS IS ANOTHER LEVEL

ALL I KNOW ALOT OF MOTHERFUCKERS WATALIA SANA MILIO YA KILA AINA KWAKUWA TUNAHATARISHA UGALI WAO .
 
Sahihi .

ABIRIA KAMA TUPO KATIKA MELI MOJA HATUWEZI KUCHEKANA

KUNA WATU NI WAJINGA SANA HAWANA hata DOLA 100 BANK ILA WANASAPOTI MAANDAMANO NA VURUGU

WAPO KAMA NYANI AMBAYE ANAWEZA AKACHEKA PALE MSITU UKIUNGUA AKIWA HAJUI KUWA JIONI ATAKOSA PAKULALA.


HAIJALISHI NCHI INAENDAJE ILA ZIPO NJIA ZA KU- FIGURE OUT NA KU- REWRITE OUR OWN STORY

KUNA MTU AKASEMA WATU WAJINGA SIKU ZOTE HUWA WANATAKA KUANZA MARATHON AT THE FINISH LINE

Wakiona wanasiasa they are living luxury life wanafikiri ni jambo jepesi kuwa mwanasiasa .

Wanasahahu how many people have been killed , gunned , n.k

So we have to embrace the process there's no overnight success .
Mfano wa Nyani umenikumbusha kisa cha watu wa kwenye boti au jahazi

Walio chini wanaomba maji kwa walio juu ,sasa hawa walio chini ikafika kipindi wakasema hivi kwanini tuhangaike kuomba maji walio juu hali hapa chini tukitoboa tu tunapata maji

Huu ndio mfano ambao tunao sasa,wale wa chini ya boti wakiachwa watoboe tundu dogo wapate maji basi ujue jahazi zima litazama,kwahiyo ni wajibu watu wa juu ya jahazi kukemea hali isitokee kwani mwisho wa siku watazama wote

Hii hali iliyopo sasa,tukiacha wajinga wachache wafanye watakavyo mwisho wa siku machafuko yakitokea sio wa Obey au mbagala atakaye salimika,ni watanzania wote

Kwahiyo watu wasiji danganye kwamba haya hayatuhusu, mwisho wa siku madhara yakitokea ni wote tunaathirika
 
View attachment 3517134

My people,​


Utangulizi

Uhuru wa kutoa maoni na mawazo unaenda sambamba pamoja na kusikiliza maoni na mawazo ya watu wengine, si mwenye busara mwenye kutaka kusikilizwa tu, bali mwenye busara ni yule ambaye yupo open minded kusikiliza na upande wa pili hata kama ahafikiani na maoni na mawazo yao,na huo ndio ukomavu

Twende kazi..

Raisi Obama aliwahi kusema kwenye speech ambayo ilikuwa maarufu sana hapa duniani

"Mabadiliko hayatakuja kama tukisubiri mtu mwingine au wakati mwingine, bali sisi ndio mabadiliko yenyewe"

Vijana wa Tanzania nyinyi ndio mabadiliko yenyewe,msisubiri eti atakuja mtu kuwaambia kwamba Linda uhai wako kwa kuepuka fujo na vurugu,bali nyinyi ndio mseme sasa hatupo tayari kutumiwa tena kwa faida ya watu wengine

Nyinyi ndio wa kuamua kwa sauti kubwa kusema hatuwezi kuchoma nchi yetu Tanzania kwa maslahi ya watu wachache wenye malengo mahususi.

Ifike kipindi mseme inatosha sasa,hatuwezi kupoteza uhai wetu kwa mikakati ambayo haina tija,mikakati ambayo haina mwisho mwema,

Raisi wa Afrika Kusini bwana Nelson Mandela alisema hivi:

Mabadiliko ya kweli hayafikiwi kwa chuki au kwa kulipa kisasi,ila kupitia kusameheana na kupitia mazungumzo

Huyu ni mtu aliyefungwa miaka 27 jela kwa kupigania taifa la Afrika Kusini,baadae akaja kutolewa na kuwa raisi wa Nchi hiyo

Alikuwa na kila sababu ya kulipiza kisasi na kuwafunga watesi wake au kuwafukuza pale Afrika Kusini ndani ya masaa 24 tu. Lakini allichagua kusamehe na mazungumzo

Huu ni utajiri mkubwa wa nafsi yenye uelewa wa hali ya juu sana,ukomavu wa hali ya juu sana na roho yenye kusamehe

Tunatambua tumeumizwa sana na mioyo yetu inavuja damu,kutokana na madhila yaliyo wakumbuka ndugu zetu,lakini suluhisho sio kuandamana na kujawa na hasira na kuharibu mali na miundo mbinu,hio sia njia sahihi

Njia sahihi ni kupitia mazungumzo,njia ya mazungumo duniani kote ndio imekuwa mwarobaini wa changamoto nyingi sana,kwahiyo tuwe na subira kubwa wakati suluhu ya kuliponya taifa ikiwa katika pipeline

Tukumbuke nyinyi ndio mabadiliko yenyewe basi chagueni mabadiliko chanya

Ni hayo tu!
Congenital Hypocrite and Liar
Unafurahia vijana kufa halafu unajidai ati unawapa mawazo

Kama kweli mną huruma mgeiba uchaguI? Mngeua? Mngewafunga wapinzani? Mngeteka watu na kuwapoteza?
 
Be the change you want to see

Sisi hatupo hapa kulaumu Serikali au vyama

Sisi hatuchezi LIGI NDOGO sisi tunacheza LIGI KUBWA inaitwa DON'T PLAY SOMEONE'S GAME


KWAHIYO UNAPOSEMA UNALAUMU HIVI AU VILE MEANS UNATAKA TUCHEZE LIGI NDOGO

AHAAA NIGGER !! HIYO MIJADALA YA KITOTO HATUPO SISI

THIS IS ANOTHER LEVEL

ALL I KNOW ALOT OF MOTHERFUCKERS WATALIA SANA MILIO YA KILA AINA KWAKUWA TUNAHATARISHA UGALI WAO .
Nyinyi hampo kiulaumu serekali, ila mpo kuhakikisha serekali haihusishwi na mauaji na wizi wa kura. Sisi hatuchezi hiyo ligi yenu ya kikubwa maana inaweza kuwa ni ya makubwa jinga, sisi tunacheza ligi ya haki, haijalishi umri, mahali ama hali.
 
Congenital Hypocrite and Liar
Unafurahia vijana kufa halafu unajidai ati unawapa mawazo

Kama kweli mną huruma mgeiba uchaguI? Mngeua? Mngewafunga wapinzani? Mngeteka watu na kuwapoteza?
Huwa nashindwa kuwaelewa mbona unaandikwa ujumbe mwingine halafu watu mnatoa tafsir nyingine

Hii nimeona kwa wasomaji wengi sana,kila katika watu kumi utakuta wawili wanatoa tafsir yao,shida ni nini hatusomi kuelewa au tayar tuna majibu yetu kichwani?
 
Back
Top Bottom