Vijana na wazee mnao ishi Dar wenye kipato cha chini mtoke mje mikoani mtafute maisha

Hizi mbio mshindi hatapatikana
Ukweli ni kuwa Dar tunapata huduma zote za kijamii tena kwa ubora kuliko mikoani

Kila kitu kipo Dar kuna matunda yapo dar tu huko mikoani hakuna.

Hapa Dar mzunguko wa pesa upo
Hao wanaodangamya kuwa mkoani mtu anapata 1m kila siku wakawadanganye wajinga.

Mnafeli maisha mnaanza iponda Dar
Hakuna mtu anayeshindwa maisha mkoani akakimbilia Dar wote wakifanikiwa wanakimbilia Dar wakishindwa ndio wanarudi huko na kuanza ponda Dar
 
Hizi mbio mshindi hatapatikana
Ukweli ni kuwa Dar tunapata huduma zote za kijamii tena kwa ubora kuliko mikoani

Kila kitu kipo Dar kuna matunda yapo dar tu huko mikoani hakuna.

Hapa Dar mzunguko wa pesa upo
Hao wanaodangamya kuwa mkoani mtu anapata 1m kila siku wakawadanganye wajinga.

Mnafeli maisha mnaanza iponda Dar
Hakuna mtu anayeshindwa maisha mkoani akakimbilia Dar wote wakifanikiwa wanakimbilia Dar wakishindwa ndio wanarudi huko na kuanza ponda Dar



Binafsi nakupinga kwa ngv kbs...!...sema sijakuzoea...ningekufata pm ningekuonesha hali halisi..nakuacha
 
Take home za vijana wengi za laki 9 8 7 6
utaishia kuwatajirisha wenye nyumba kwa kodi za kupanga, pia itaishia kwenye kula, kuvaaa na nyingine kwenye mwendokasi na madalala.

Wakati iyo pesa kwa mkoa kama wa mbeya ni pesa kubwa sana utajenga, utafungua tumiradi, pia hata usafiri lakini dar ni ngumu kufanya haya kwa salary za nmna hii.

Hiyo mishahara uliyotaja mbona mikubwa sana🤣🤣🤣... mimi ningelipwa hiyo mbona ningeshukuru mungu usiku na mchana na saa zote wallah!
Mimi nimezaliwa hapa Dar nafanyakazi ya ulinzi nalipwa laki 2 na 50 nauli na kula juu yangu.
Yaani mambo hayaendi kabisa ingawa ninapokaa silipi kodi maana mzee amefariki lakini alhamdulillah ametuachia mijengo kama miwili hivi.
Ila laiti ningekuwa nna ndugu mkoa ningeenda kulima
 
Hiyo mishahara uliyotaja mbona mikubwa sana🤣🤣🤣... mimi ningelipwa hiyo mbona ningeshukuru mungu usiku na mchana na saa zote wallah!
Mimi nimezaliwa hapa Dar nafanyakazi ya ulinzi nalipwa laki 2 na 50 nauli na kula juu yangu.
Yaani mambo hayaendi kabisa ingawa ninapokaa silipi kodi maana mzee amefariki lakini alhamdulillah ametuachia mijengo kama miwili hivi.
Ila laiti ningekuwa nna ndugu mkoa ningeenda kulima


Bora ukiri kwa nafsi yako..alafu huku TRA wamelala sana..majitu yanajipigia hela hayakatwi kodi ht sumni...dah...!
 
Hahahahahaha,, bongo hakitupwi kitu
Manyoya ya kuku wanatumia kuwashia moto!
Amakweli Dar wanajua kumfuja kuku!
Kinyesi = Mbolea
Shingo = wanakula
Kichwa = wanakula
Miguu = wanakula
Utumbo = wanakula
Mifupa = wanasaga, ule unga wanautumia kama lishe kwa binadamu na mifugo.
Mifupa hiyohiyo pia inatumika kama chakula cha mbwa!
Manyoya = Wanawashia mkaa!
 
Hahahahahaha,, bongo hatari sana yani kila kitu ni dili sana
Manyoya ya kuku wanatumia kuwashia moto!
Amakweli Dar wanajua kumfuja kuku!
Kinyesi = Mbolea
Shingo = wanakula
Kichwa = wanakula
Miguu = wanakula
Utumbo = wanakula
Mifupa = wanasaga, ule unga wanautumia kama lishe kwa binadamu na mifugo.
Mifupa hiyohiyo pia inatumika kama chakula cha mbwa!
Manyoya = Wanawashia mkaa!
 
Kwa Tanzania hii hakuna mkoa wenye maisha nafuu kama Dar es Salaam nimekaa takriban kanda zote ila kwa Dar unaweza kula chakula unachotaka kwa bei chee bila ya kuwa hata na shamba au kwenda kushinda shambani ukifukuza ndege
wewe unaongelea DAR ya kigogo na manzese, maisha ambayo ukimleta mtu kutoka mkoani lazima yamshinde, ni maisha duni kupindukia, ongelea msasani, sinza, mikocheni etc efu kumi inakata sa3 asuibuhi. shubamit,

ukiachana na fursa dar ni kuchafu mno na msongamano wa watu na magari pia tabia nyingi za wana dar ni mbofumbofu utapeli mwingi lakina pia malezi kwa vijana na watoto ni changamoto.

ili uweze kuishi vizuri dar uwe na mkwaja wa ukweli sio wa kuamka asiubhi na kwenda kuhangaika barabarani lazima utafika mahali utafeli matumizi lukuki

Giant business persons na seniors employees ndio wanaofaidi maisha ya dar, ila wale wa wakati wana struggle sana mwisho wa siku wanaishia kufa na stroke msongo wa mawazo na maisha magumu. BP nyingi zipo town.
 
Wewe pambana popote tu....kama umetoboa huko mkoani usifikiri watu wote wametoboa kimaisha mkoani huko....
Yaani ushindwe maisha Dar ukaweze mkoani...usitanie watu wewe....Labda kama unaenda fanya kilimo, ufugaji au unaenda kufungua kiwanda mkoani..zaidi ya hapo hakuna huduma za kuzalisha au biashara itaizidi Dar.....
Tanzania ina watu million 50 milioni 5 wapo hawa 45 wapo mikoani wana maisha mazuri tatizo waliopo dar wana jifanya wana maisha mazuri lakini uhalisi wana maisha magumu wanakula ovyo wana lala ovyo
 
Kitu kilichonifanya nichukie ajira ni maisha ya dar. Nilijaribu fikiria kama mfano ningepata ajira dar, mshahara 1m. Pango 200k kwa mwezi, chakula 300,000. Usafiri 300,000 mengneyo 200k. Hiv apo unaweza fanya maendeleo gan au ndyo kusubiri kiinua mgongo?
Sibora ulipwe ata hyo milioni moja mishahara ya serikali kwa watumishi wengi nikuanzia laki tano mpaka laki saba take home sasa kwa mshahara uwo utaishije dar mpaka upate kiwanja na ujenge?
 
Back
Top Bottom