Vijana na wazee mnao ishi Dar wenye kipato cha chini mtoke mje mikoani mtafute maisha

Nyie walugaluga,tuachieni mji wetu. Nendeni au bakini huko mikoani kwenu kwenye maisha mazuri. Kila siku Dar hivi Dar vile. Mikoani kwenyewe kumechoka tu mkiwa humu kila mtu eti mkoani anatengeneza pesa!
Wewe si upo Denmark Mkuu au ulikuja lini Vongo land!!!!!
 
Mi nachojua maisha ni popote,halafu kiuchumi ukiona sehemu ina watu wengi jua hata mzunguko wa pesa ni mkubwa...........ingekua kweli mkoani kuna fursa munazoziongea hapa musingepata hata muda wa kuingia jamii forum........
 
Mi nachojua maisha ni popote,halafu kiuchumi ukiona sehemu ina watu wengi jua hata mzunguko wa pesa ni mkubwa...........ingekua kweli mkoani kuna fursa munazoziongea hapa musingepata hata muda wa kuingia jamii forum........
Wanajipa moyo hao....
 
Tanzania ina watu million 50 milioni 5 wapo hawa 45 wapo mikoani wana maisha mazuri tatizo waliopo dar wana jifanya wana maisha mazuri lakini uhalisi wana maisha magumu wanakula ovyo wana lala ovyo
Cha ajabu lundo la watu kila siku wanakimbia huko mikoani wanaingia Dar. Hayo usemayo yangekuwa kweli hii movement ingekuwa kinyume.
 
umesema kweli kabisa,,kuna mikoa inafursa nyingi za kiuchumi,,,
mfano mkoa wa mwanza ukiishi ulemkoa mpaka ubongo unakua na afya,,nimeshuhudia hilo kwa jamaa nilisoma nae,aliyehama kutoka dar kwenda mwanza..
Wakati yupo dar alikua kama mbwa koko,
Sasa huko mwanza kama maisha mzuri, mbona nimeambiwa usafiri mkubwa wa wananchi wa huko ni Baiskeli.
 
dar ninachokipendea wametuzidi kwa kuwa na wanawake wazuri,karibia kila mwanamke unaekutana nae dar ni mzuri unakuta dada jeupe shuzi hilo huku mikoani wanawake zetu wengi wamefubaa sijui huko dar joto lenu huwa linachangia uzuri
 
Maendeleo makubwa tuu unafanya
Kitu kilichonifanya nichukie ajira ni maisha ya dar. Nilijaribu fikiria kama mfano ningepata ajira dar, mshahara 1m. Pango 200k kwa mwezi, chakula 300,000. Usafiri 300,000 mengneyo 200k. Hiv apo unaweza fanya maendeleo gan au ndyo kusubiri kiinua mgongo?
 
Mimi ushauri wangu ukichanganya mambo ya mkoani pamoja na Dar ndio utatoka kimaisha.Mfano unalima na kufuga mkoani halafu soko linakuwa Dar. Halafu na huko Dar unapitia kariakoo na unabeba bidhaa na kwenda kuuza mkoani.Lakini ukipotelea mkoani mazima unaweza ukaLost, ukaishia kunywa pombe za kienyeji!
 
Labda shinyanga na tanga mkuu,,ila mwanza ni cardlack,,porche,,ferari,,bugati veron,,lamborghini,,Audi za kumwagirire mpaka basi,
Sasa huko mwanza kama maisha mzuri, mbona nimeambiwa usafiri mkubwa wa wananchi wa huko ni Baiskeli.
Kuna siku niliona rangerover autobiography imebeba majani ya ng'ombe maeneo ya nyakato mwanza,

Wakati Arusha range km hiyo ndo gari ya kutegemewa na matajiri wa Arusha,,
!,,Nasubiri Povu la manjeree,,,
 
Basi yule mtangazi uwanjani alipotosha, kule misungwi wakati mpira unaenda dakika za mwishoni, watu wakanza kuondoka, akataja maeneo ambayo alihisi watazamaji wale walitokea.

Akasema wanawahi makwao, huku usafiri mkubwa ni baiskeli, hapa kila mtu anaenda kuchukua baiskeli yske alikoficha aende zake.

Leo ninaposikia mwanza ndiko maisha mazuri na shangaa, maana wasukuma mjini hapa na nchi mzima wamezagaa wakitumikishwa mikazi ya mabavu.
Labda shinyanga na tanga mkuu,,ila mwanza ni cardlack,,porche,,ferari,,bugati veron,,lamborghini,,Audi za kumwagirire mpaka basi,Kuna siku niliona rangerover autobiography imebeba majani ya ng'ombe maeneo ya nyakato mwanza,

Wakati Arusha range km hiyo ndo gari ya kutegemewa na matajiri wa Arusha,,
!,,Nasubiri Povu la manjeree,,,
 
hapo ni nje ya jiji la mwanza,,

Kuhusu kazi za nguvu,,,sasa mkuu ulikua unataka wafanye kazi laini,,,makabila mengi tu watu wanafanya kazi tofauti tofauti,,
Basi yule mtangazi uwanjani alipotosha, kule misungwi wakati mpira unaenda dakika za mwishoni, watu wakanza kuondoka, akataja maeneo ambayo alihisi watazamaji wale walitokea.

Akasema wanawahi makwao, huku usafiri mkubwa ni baiskeli, hapa kila mtu anaenda kuchukua baiskeli yske alikoficha aende zake.

Leo ninaposikia mwanza ndiko maisha mazuri na shangaa, maana wasukuma mjini hapa na nchi mzima wamezagaa wakitumikishwa mikazi ya mabavu.
 
dar ninachokipendea wametuzidi kwa kuwa na wanawake wazuri,karibia kila mwanamke unaekutana nae dar ni mzuri unakuta dada jeupe shuzi hilo huku mikoani wanawake zetu wengi wamefubaa sijui huko dar joto lenu huwa linachangia uzuri
Hii ndo point kubwa inayonifanya nitembelee Dar mara kwa mara.
 
Mimi ushauri wangu ukichanganya mambo ya mkoani pamoja na Dar ndio utatoka kimaisha.Mfano unalima na kufuga mkoani halafu soko linakuwa Dar. Halafu na huko Dar unapitia kariakoo na unabeba bidhaa na kwenda kuuza mkoani.Lakini ukipotelea mkoani mazima unaweza ukaLost, ukaishia kunywa pombe za kienyeji!
Hii nayo point pia.
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom