Vijana na wazee mnao ishi Dar wenye kipato cha chini mtoke mje mikoani mtafute maisha

Maisha ya Dar kwa wenye kipato cha chini ni mtihani sana wengi hawapendi kutoka mtu mpaka anafikisha miaka 70 bado ana tafuta maisha na anapanga chumba kimoja na wajukuu hii ni hatari sana..Mikoani wenye maisha ya chini wanaweza kumudu kalibia aina zote za chakula mfano kuku ndizi mchele n.k lakini dar wenye kipato cha chini wanalala vibaya kwa kubanana room 1 asubuhi wanapiga maharage na chai mchana wanapiga pasi ndefu au kaunta ataki jioni miogo ya buku ya kukaanga wanawekewa kachumbali na kushushia jagi la maji..msipende kukalili njooni mikoani mtengeneze afya na msake maisha bora na wamikoani msiwaite majina watu wa dar kulegea kwao nikutokana na lishe mbovu na makazi mabovu....
Mbona Mimi nina maisha ya chini na ninamudu kila kitu? Muombe Mungu tu ndo mwisho wa yote.
 
Hakuna mkoa mwepesi kimaisha km dar.maisha ya dar yakikushinda,ukienda kwingine kokote yatakushinda Zaid.
 
Hakuna mkoa mwepesi kimaisha km dar.maisha ya dar yakikushinda,ukienda kwingine kokote yatakushinda Zaid.
Mbona mimi Chuga natoboa na dsm nimetoka huko nimewaacha wenzangu wanang'ang'ania wanasema wanatafuta maisha wakat kusema ukwel dsm ni sehem ya kupiga biashara zako then unatembea Hometown kwako
#Period
 
Pagumu mtu ana hustle karibia maisha yake yote ana kula ovyo ana lala ovyo ana pata elfu 10 kwa siku lakini inayeyuka fasta matumizi ni mengi sana..Lakini hiyo ten ukiipata mkoani unaishi vizuri sana
Shida ni kuipata hiyo ten huko mkoa
 
Mimi nimezaliwa na kukulia Mwanza..pesa inapatikana kwa tabu sana tofauti na Dar ukichanganya akili kidogo hukosi 20 mapemaa asubuhi
Labda kama unapakia mchanga kwenye tipa au unaenda machinjion au labda dalali pesa yenyew wanga washaiwangia maendeleo utafanya ila taratbu sana
 
Nimekutana na mama m1 jana mchana anakunja 1m daily...namaanisha kwa siku anakusanya 1milion...nitampiga picha kesho...!anakuambia yy hawez hama huku...yaan anaingiza hela amekaa amerelax..yaa unaweza mkuta amekaa anasuka majiran..ila jion anakunja 1m..!yaa hii ni Given..!ah
Chai
 
Wenzako wanavyumba vya guest kila pori anaguest...kila pori ana vyumba 20! Na mapori yanatofautiana...Kuna pori wanachaji 2000@,5000@,7000@!..Sasa awe na mapori 6! Sasa we kaa hapo maeda unakuna mapumbou tu! Na ni gest za bati na godoro za nchi 2.5"! ..mama Hana hata 50yrs...kalaghabaho
 
Maisha ya Dar kwa wenye kipato cha chini ni mtihani sana wengi hawapendi kutoka mtu mpaka anafikisha miaka 70 bado ana tafuta maisha na anapanga chumba kimoja na wajukuu hii ni hatari sana..Mikoani wenye maisha ya chini wanaweza kumudu kalibia aina zote za chakula mfano kuku ndizi mchele n.k lakini dar wenye kipato cha chini wanalala vibaya kwa kubanana room 1 asubuhi wanapiga maharage na chai mchana wanapiga pasi ndefu au kaunta ataki jioni miogo ya buku ya kukaanga wanawekewa kachumbali na kushushia jagi la maji..msipende kukalili njooni mikoani mtengeneze afya na msake maisha bora na wamikoani msiwaite majina watu wa dar kulegea kwao nikutokana na lishe mbovu na makazi mabovu....
Kumbuka dar inachangia 80% yapato la taifa
 
Back
Top Bottom