Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
sijadharau...tatizo.huelewi...peaceHuwa sipendi watu wenye dharau,ngoja nikuache ijumaa leo.
sijadharau...tatizo.huelewi...peaceHuwa sipendi watu wenye dharau,ngoja nikuache ijumaa leo.
Usirudie tena kuniita dogo.sijadharau...tatizo.huelewi...peace
Hawa walugaluga wanajifariji tu.Kwa Tanzania hii hakuna mkoa wenye maisha nafuu kama Dar es Salaam nimekaa takriban kanda zote ila kwa Dar unaweza kula chakula unachotaka kwa bei chee bila ya kuwa hata na shamba au kwenda kushinda shambani ukifukuza ndege
😅kwan ww wa tisini na ngap best😅😅Usirudie tena kuniita dogo.
Umepanic........RelaxNyie walugaluga,tuachieni mji wetu. Nendeni au bakini huko mikoani kwenu kwenye maisha mazuri. Kila siku Dar hivi Dar vile. Mikoani kwenyewe kumechoka tu mkiwa humu kila mtu eti mkoani anatengeneza pesa!
Mikoani vichwa vya kuku, utumbo na shingo tunatupa!Dar raha sana ndizi shs 100 mpaka 200, vichwa vya kuku au miguu ya kuku shs 200/ 300, maji ya kandoro shs 100 unamshaurije mtu aje mkoani hahahahahaha,, ni maoni tu ayo mzee baba
Mikoani vichwa vya kuku, utumbo na shingo tunatupa!
Mikoani vichwa vya kuku, utumbo na shingo tunatupa!
hizi Dar na mkoani,no one wins..sijui kwa nini mnapenda kupoteza muda wenu...
Becky..dar kupanga tu had uwe na hela...usikose 1m hapo au 2m kwa sinza...ss mm hyo 2m nikiamua kuizungusha huku mkoani napata daily faida ya 100k...tena hiyo ni low estimated...!
Halafu nitakutafuta..inaelekea una madili sana…
😅😅😂😂...wadada wa mujini hamuwez..tuacheni tu sie tulojitoa nafsi na kicho!😅
Point!Maisha ya Dar kwa wenye kipato cha chini ni mtihani sana wengi hawapendi kutoka mtu mpaka anafikisha miaka 70 bado ana tafuta maisha na anapanga chumba kimoja na wajukuu hii ni hatari sana..Mikoani wenye maisha ya chini wanaweza kumudu kalibia aina zote za chakula mfano kuku ndizi mchele n.k lakini dar wenye kipato cha chini wanalala vibaya kwa kubanana room 1 asubuhi wanapiga maharage na chai mchana wanapiga pasi ndefu au kaunta ataki jioni miogo ya buku ya kukaanga wanawekewa kachumbali na kushushia jagi la maji..msipende kukalili njooni mikoani mtengeneze afya na msake maisha bora na wamikoani msiwaite majina watu wa dar kulegea kwao nikutokana na lishe mbovu na makazi mabovu....
nimecheka kinoma! ,eti wako darAisee kuna watu wanakaa kwenye vijumba vibovu vibovu tu vya mabati na makuti kama vichaa.
umesema kweli kabisa,,kuna mikoa inafursa nyingi za kiuchumi,,,
mfano mkoa wa mwanza ukiishi ulemkoa mpaka ubongo unakua na afya,,nimeshuhudia hilo kwa jamaa nilisoma nae,aliyehama kutoka dar kwenda mwanza..
Wakati yupo dar alikua kama mbwa koko,
hii kazi ina wenyewe mamy mie kwakweli, bora nitembeze fresh juice mtaani kuliko kudanga.😅😅😅...Ila tuseme kweli..kudanga ni kipaji sana jaman....unaondoka na jitu hulifeel..alafu mwisho wa sk anakupa 30 au 50😏😏😏...!bora mpeane tu utamu wotw muenjoy...
hii kazi ina wenyewe mamy mie kwakweli, bora nitembeze fresh juice mtaani kuliko kudanga.