Vijana na wazee mnao ishi Dar wenye kipato cha chini mtoke mje mikoani mtafute maisha

Basi yule mtangazi uwanjani alipotosha, kule misungwi wakati mpira unaenda dakika za mwishoni, watu wakanza kuondoka, akataja maeneo ambayo alihisi watazamaji wale walitokea.

Akasema wanawahi makwao, huku usafiri mkubwa ni baiskeli, hapa kila mtu anaenda kuchukua baiskeli yske alikoficha aende zake.

Leo ninaposikia mwanza ndiko maisha mazuri na shangaa, maana wasukuma mjini hapa na nchi mzima wamezagaa wakitumikishwa mikazi ya mabavu.
Wasukuma kutumikishwa bado haiondoi ukweli kuwa Mwanza iko vizuri.
Kumbuka hata hiyo Dar ya Wazaramo na Wakwere imejengwa na wageni wakiwemo haohao wasukuma.
Biashara kubwa kariakoo zinamilikiwa na Wahindi, Waarabu, Wachaga, Wapemba na Waha.
 
Mada haikua uzuri wa mji ama mji umejengekaje, inahusu fulsa kwamba Dar, imebana watu waende mwanza kutafuta flusa.

Ndiyo maana kama mwanza kuna shuguri nyungi za kufanya na mapesa yaka miminika iweje Wasukuma wamesambaa mikoani Wakihaingaishwa pasi mafanikio.

Alafu mimi ilipotajwa mwanza kulingana na mada, sikuchukulia mwanza kama mji, nilichukulia Mwanza kama mkoa. Ndiyo maana nimeitaja misungwi.

Ila Mwanza kama mji muda wa kuipiku bado sana.
Wasukuma kutumikishwa bado haiondoi ukweli kuwa Mwanza iko vizuri.
Kumbuka hata hiyo Dar ya Wazaramo na Wakwere imejengwa na wageni wakiwemo haohao wasukuma.
Biashara kubwa kariakoo zinamilikiwa na Wahindi, Waarabu, Wachaga, Wapemba na Waha.
 
dar ninachokipendea wametuzidi kwa kuwa na wanawake wazuri,karibia kila mwanamke unaekutana nae dar ni mzuri unakuta dada jeupe shuzi hilo huku mikoani wanawake zetu wengi wamefubaa sijui huko dar joto lenu huwa linachangia uzuri
Maisha magumu ndo yanafanya mtu afubae
 
Maisha ya Dar kwa wenye kipato cha chini ni mtihani sana wengi hawapendi kutoka mtu mpaka anafikisha miaka 70 bado ana tafuta maisha na anapanga chumba kimoja na wajukuu hii ni hatari sana..Mikoani wenye maisha ya chini wanaweza kumudu kalibia aina zote za chakula mfano kuku ndizi mchele n.k lakini dar wenye kipato cha chini wanalala vibaya kwa kubanana room 1 asubuhi wanapiga maharage na chai mchana wanapiga pasi ndefu au kaunta ataki jioni miogo ya buku ya kukaanga wanawekewa kachumbali na kushushia jagi la maji..msipende kukalili njooni mikoani mtengeneze afya na msake maisha bora na wamikoani msiwaite majina watu wa dar kulegea kwao nikutokana na lishe mbovu na makazi mabovu....
Yaani umaskini wa vijijini tunaanza kuona tokea barabarani tu acha uongo maskini wa Dar hafanani kabisa na Maskini wa kijijini.Maskini wa Dar anayo afadhali kubwa.Kijijini hata kumnunulia mtoto sare za shule mtu anashindwa!.
 
Mada haikua uzuri wa mji ama mji umejengekaje, inahusu fulsa kwamba Dar, imebana watu waende mwanza kutafuta flusa.

Ndiyo maana kama mwanza kuna shuguri nyungi za kufanya na mapesa yaka miminika iweje Wasukuma wamesambaa mikoani Wakihaingaishwa pasi mafanikio.

Alafu mimi ilipotajwa mwanza kulingana na mada, sikuchukulia mwanza kama mji, nilichukulia Mwanza kama mkoa. Ndiyo maana nimeitaja misungwi.

Ila Mwanza kama mji muda wa kuipiku bado sana.
Umewazungumzia wasukuma ndo nikakupa mfano wa wazaramo, kwani wao hawahangaiki!!?? Maisha ya watanzania wote yanafanana isipokuwa wachache sana waliowahi kupata nafasi ya kutafuna keki ya taifa.
 
Ishu za mikoani nyingi ni seasonal mfano: kilimo,biashara,viwanda,mambo mengi yanategemea msimu wa kilimo umeishaje,kama kilimo kimezingua basi usitegemee mzunguko wa pesa kuwa mzuri,hata wenye maduka hawauzi...
Kilimo hakitabiriki,biashara za kujuana juana na ulozi,sometimes mpaka kuuana (hz ishu ni common sana kanda ya ziwa)
Uchimbaji na biashara ya madini nayo pata potea..
6yrs+ nipo mkoani,nyie mliopo Dar endeleeni kuwepo tu,pambaneni hukohuko ipo siku mtatoboa,huku ukija akili itafubaa na utazeeka kabla ya umri wako...
 
Wasukuma kutumikishwa bado haiondoi ukweli kuwa Mwanza iko vizuri.
Kumbuka hata hiyo Dar ya Wazaramo na Wakwere imejengwa na wageni wakiwemo haohao wasukuma.
Biashara kubwa kariakoo zinamilikiwa na Wahindi, Waarabu, Wachaga, Wapemba na Waha.
Waha watoe hapo waweke Wakinga
 
umesema kweli kabisa,,kuna mikoa inafursa nyingi za kiuchumi,,,
mfano mkoa wa mwanza ukiishi ulemkoa mpaka ubongo unakua na afya,,nimeshuhudia hilo kwa jamaa nilisoma nae,aliyehama kutoka dar kwenda mwanza..
Wakati yupo dar alikua kama mbwa koko,
Sato na sangara
 
Mkuu fanya uchunguzi wako, maduka mengi makubwa kama siyo ya Wahindi na wachaga basi utawakuta waha. Nenda kariakoo kafanye utafiti.


Hapana Mkuu labda kama umechanganya wakinga na waha ,, wakinga ,wachaga ,wahindi na wapemba ndo wana maduka mengi Mkuu
 
Dar es salaam ni sehemu kubwa kila aina ya watu wanapatikana hiyo hali haiyepukiki, lakini ushauri mzuri.
 
Tungekua tuna wanamuziki makini kama miaka ya 70s to 90s walipaswa kua na tungo za kuhamasisha hilo lakini tuna wasanii wanaimba ngono hawana uwezo wa kuhamasisha hayo !!! Kiukweli mm nimekaa dsm miaka mingi nikaaamua kuja mkoani dar nikaifanya ni soko la bidhaa zangu nimeona mabadiliko makubwa sana sana !!!! Yani ilitakiwa vijana wsjiongeze sana!! Hall ni ngumu hapo
 
Back
Top Bottom