Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 17,139
- 24,562
HahahahaNimechokozaa Wana Mbagala nilifanya makusudiiiii 😊😁😂
HahahahaNimechokozaa Wana Mbagala nilifanya makusudiiiii 😊😁😂
Duuh samahani sana,, mawasiliano ya simu ni mazuri zaidi,Nilikusubir sanaa
Kuna rafiki yangu mmoja anakaa maji matitu.Hahahaha
Tutafanya huo mpango kakaDuuh samahani sana,, mawasiliano ya simu ni mazuri zaidi,
Yep maaake kuna wakati unakuta upo na mambo mengi au simu Haina chaji kuingia humu inakuaje jauTutafanya huo mpango kaka
na wafanye mazoeziVijana mnaojitafuta acheni kunywa pombe. Mtakuja kunishukuru
Tunakunywa na hatuteterekiiiii 😊😊😊na wafanye mazoezi
Naachaje kamnyweso 😂😂Tunakunywa na hatuteterekiiiii 😊😊😊
Aisome
min -me
Monetary doctor
MENEMENE TEKERI NA PERESI
Kwa uchache..
Mhe Polepole atakuwepo?Tukutane mbagaraaaa hapo viwanja DAR LIVE
Slow slow anarusha ma grenade Lumumba.Mhe Polepole atakuwepo?
Tunatembea kifua mbereeee kama tumedundwa ngumi ya mgongooo 😊😁😂Naachaje kamnyweso 😂😂
Huyo jamaa monetory sijui aache na nguruwe... Toto linakula ngurue kama nnEwe kijana wangu Monetary doctor ukijaribu kunywa pombe Ntakuzibua pia bwana mdogo Poor Brain Ntakuzibua ukianza kuiga tabia ya ulevi.
Mkajitafute kwanza muda wenu wa kupombeka utafika tu.
Upatane na roast la nguruwe na Heineken 4 safii za barrriidiTunatembea kifua mbereeee kama tumedundwa ngumi ya mgongooo 😊😁😂
Hapo beba vinywaji na ukanywe nyumbani na familia yako hule ukiasi utaji regulate tu, ila ukienda bar ukanywa na walevi wenzako marafiki usitegemee kupunguza,kuacha au ukiasi, angalia lipi linafaida kwako likombatieShida ipo kwenye kunywa kwa kiasi
kuto tii kiu ya pombe, huo ni UBADHIRIFU uliokithiriVijana mnaojitafuta acheni kunywa pombe. Mtakuja kunishukuru
Kama kipato chako ni 50000/-Vijana mnaojitafuta acheni kunywa pombe. Mtakuja kunishukuru
Jana nimepiga chair fire kavu kachumbari na ndizi mbili na konyagiiii ndogo yangu moja toshaaaaaa