Wasalaam,
Kama kijana ukipata binti anajielewa muoe haraka maana ukimtosa utakuja kujuta baadae.
Kwa upande wangu alikuwepo binti alinielewa sana ila mimi nikaona mimi ndio mimi, nikaona nile ujana kwa kuendelea kubadili wasichana.
Leo yule msichana namkumbuka sana, maana alishakufa na mpaka leo nahangaika na makurumbembe. Sijui kama nitapata wa kuziba lile pengo.