Ballerina
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 386
- 186
Habari wana JF
Tusaidiane mawazo hapa,hivi kuna umuhimu wa VIJANA(wakike na wakiume) kutunza UJANA WAO (Bikra)mpaka wakati wa ndoa?
Kama ndivyo,tufanye nini kurudi huko?Kama hakuna umuhimu,faida za hapa tulipofikiani zipi?(tumeshuhudia siku hizi wengi wanaoana si tu wameshaharibu ujana wao,bali wamebebeshana na mimba tayari)
Naomba mchango wenu tafadhali
Tusaidiane mawazo hapa,hivi kuna umuhimu wa VIJANA(wakike na wakiume) kutunza UJANA WAO (Bikra)mpaka wakati wa ndoa?
Kama ndivyo,tufanye nini kurudi huko?Kama hakuna umuhimu,faida za hapa tulipofikiani zipi?(tumeshuhudia siku hizi wengi wanaoana si tu wameshaharibu ujana wao,bali wamebebeshana na mimba tayari)
Naomba mchango wenu tafadhali