PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

PreGE2025 Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Vijana wamejijenga kwenye mfumo ya kichawa ni ngumu kupata mabadiliko Tanzania.

Tunaharibu vijana, kushindwa kushindana kwa hoja wamekuwa walinzi wa watesi, hivi kutekana na kupotezana kunahitaji mjadala?
 
Vijana waliozaliwa na kukulia Dar huwa wanaringa sana kwamba wao ni wajanja kuliko yoyote nchi hii, hadi wana msemo wao kwamba kuzaliwa Dar tu ni sawa na kufika kidato cha sita.

Milio wanayotoa sasa hivi hawa vijana wa Kawe ya kuingizwa kingi na Gwajima 2020 kwamba angewapeleka Birmingham, US na Japan kujifunza uvuvi na wao kweli wakawa wanasubiria kwa miaka mitano kwenda US inaonyesha jinsi gani walivyo butu na wepesi vichwani, hii ni aibu Wakenya wakiiona.

Pia mlivyokuwa mnaandikishwa na Gwajima mpewe ajira mlikuwa hamuulizi hata yeye atazitoa wapi hizo ajira🤣?!

 
Vijana waliozaliwa na kukulia Dar huwa wanaringa sana kwamba wao ni wajanja kuliko yoyote nchi hii, hadi wana msemo wao kwamba kuzaliwa Dar tu ni sawa na kufika kidato cha sita.

Milio wanayotoa sasa hivi hawa vijana wa Kawe ya kuingizwa kingi na Gwajima 2020 kwamba angewapeleka Birmingham, US na Japan kujifunza uvuvi na wao kweli wakawa wanasubiria kwa miaka mitano kwenda US inaonyesha jinsi gani walivyo butu na wepesi vichwani, hii ni aibu Wakenya wakiiona.

Pia mlivyokuwa mnaandikishwa na Gwajima mpewe ajira mlikuwa hamuulizi hata yeye atazitoa wapi hizo ajira🤣?!

View attachment 3348182
Hamna vijana hapo, kikundi cha you vi sisiem ambacho hawajibu hoja wanamshambulia mtu
 
Mjini shuleni

Hasa kama hukuelewa ulipokuwa shuleni unakuja kuendelea kuelimishwa zaidi huku mitaa ya mjini

Acha tuendelee kuelimishwa
 
Vijana waliozaliwa na kukulia Dar huwa wanaringa sana kwamba wao ni wajanja kuliko yoyote nchi hii, hadi wana msemo wao kwamba kuzaliwa Dar tu ni sawa na kufika kidato cha sita.

Milio wanayotoa sasa hivi hawa vijana wa Kawe ya kuingizwa kingi na Gwajima 2020 kwamba angewapeleka Birmingham, US na Japan kujifunza uvuvi na wao kweli wakawa wanasubiria kwa miaka mitano kwenda US inaonyesha jinsi gani walivyo butu na wepesi vichwani, hii ni aibu Wakenya wakiiona.

Pia mlivyokuwa mnaandikishwa na Gwajima mpewe ajira mlikuwa hamuulizi hata yeye atazitoa wapi hizo ajira🤣?!

View attachment 3348182
Sio gwajima tu hajatekeleza ahadi zake za maendeleo...
Ni almost wabunge wooote..ambao 99% ni mboga mboga!
 
Ni ngumu sana kumbadilisha mtu ambae haoni haoni tatizo kwenye matendo yake
 
Vijana waliozaliwa na kukulia Dar huwa wanaringa sana kwamba wao ni wajanja kuliko yoyote nchi hii, hadi wana msemo wao kwamba kuzaliwa Dar tu ni sawa na kufika kidato cha sita.

Milio wanayotoa sasa hivi hawa vijana wa Kawe ya kuingizwa kingi na Gwajima 2020 kwamba angewapeleka Birmingham, US na Japan kujifunza uvuvi na wao kweli wakawa wanasubiria kwa miaka mitano kwenda US inaonyesha jinsi gani walivyo butu na wepesi vichwani, hii ni aibu Wakenya wakiiona.

Pia mlivyokuwa mnaandikishwa na Gwajima mpewe ajira mlikuwa hamuulizi hata yeye atazitoa wapi hizo ajira🤣?!

View attachment 3348182
Mbona hawakusema kabla ya Gwajima kuita press conference walikuwa wametulia tuu? Wananichefua sura ngumu ndio maana wakiniomba hela siwapagi kengee hao
 
Vijana waliozaliwa na kukulia Dar huwa wanaringa sana kwamba wao ni wajanja kuliko yoyote nchi hii, hadi wana msemo wao kwamba kuzaliwa Dar tu ni sawa na kufika kidato cha sita.

Milio wanayotoa sasa hivi hawa vijana wa Kawe ya kuingizwa kingi na Gwajima 2020 kwamba angewapeleka Birmingham, US na Japan kujifunza uvuvi na wao kweli wakawa wanasubiria kwa miaka mitano kwenda US inaonyesha jinsi gani walivyo butu na wepesi vichwani, hii ni aibu Wakenya wakiiona.

Pia mlivyokuwa mnaandikishwa na Gwajima mpewe ajira mlikuwa hamuulizi hata yeye atazitoa wapi hizo ajira🤣?!

View attachment 3348182
Mtu ana meno 50 kinywani anawezaje kuwa na akili timamu.
 
Back
Top Bottom