Vijana 5 wanahitajika

Vijana 5 wanahitajika

specter

Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
31
Reaction score
6
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Pumbafuu kauze vitabu mwenyewe
Ef 80???hata msaidizi wetu wa,ndani atawazidi sasa...
 
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu

bora uuze mwenyewe ili ujiripe 5×80000=400000 kwa mwenzi
 
mbona mnamtusi mtoa mada , labda kuna posho za kutosha , ikiwemo chakula na usafiri
 
vijana waliotajwa hapo juu kwa lengo la kuuza vitabu kwa kuvitembeza malipo sh 80,000 kwa mwezi.kwa maelezo zaidi tuna meseji namba 0754 870 398 ,andika jina umri na mahali unapoishi tunapatikana Dar es Salama
VIGEZO:
-Awe mchangamfu
-Uwe na mdhamini 1,na awe mzazi au ndugu
Kusanya ndugu zako ukawatapeli huko.

swissme
 
Acheni matusi kwa mtoa mada!!!!!!!!!! Hili Tangazo na anae jiona hupo tayari na maslah basi ajitokeze.
Jamani kama hujaridhika na mtoa mada vyema kumueleza kwa upole na umakini.kuliko kujionesha MHUNI.
Wengi kati yetu tunaamini JF inasaidia sana na tunayshukuru.
Wenye MATUSI tafuteni sehemu nyingine ili mjirushe huko
 
Mie nina bachelor,kuna mahali nafanya kazi.Nalipwa 106,000/- @ month..

Ulienda shule kusoma upate maarifa au kujibu mitihani ? hopeless kabisa unashindwa hata na Secretary wangu anabeba 150 na Certificate yake ya computer na form 4 yake
 
Ulienda shule kusoma upate maarifa au kujibu mitihani ? hopeless kabisa unashindwa hata na Secretary wangu anabeba 150 na Certificate yake ya computer na form 4 yake

Watu wenye uvivu wa kufikiri kama wewe ni mzigo wa Taifa hili. Je, unafahamu ni wahitimu wangapi wa vyuo vikuu wanahitimu kila mwaka.? Je, unafahamu ni asilimia ngapi ya wahitimu wanaingia kwenye soko la ajira kila mwaka.? Je, unadhani kila kijana nchi hii anao uwezo wa kujiajiri mwenyewe..? Unadhani suala la kujiajiri ni issue ya kulala na kuamka then useme najiajiri kupitia njia hii? Tatizo lenu watu kama nyinyi mkishapata vijisenti na uwezo wa kufungua kijiofisi pahala,basi unadhani dunia umeimaliza na maisha yanakomea hapo.Shame on you!
 
Lakini kuna watu humu wana shida hata na elfu 50 kwa mwezi. Tusidhihaki kipato cha mtu, kweli inawezekana wewe unalipwa vizuri, hiyo ni nzuri lakini kuna mwenzio hana hata hiyo hela kwa mwezi na anaomba usiku na mchana aipate. <leta mada kaamua kuajiri vijana 5 huoni kwamba atakua ameokoa wakosa ajira 5 na inawezekana mmoja akawa ni ndugu yako. Jamani kuna watu wana shida. Asante
 
Back
Top Bottom