Vijana 260 Wapelekwa Israel Kujifunza Teknolojia ya Kilimo Cha Kisasa

hawa vijana wamepatikanaje? tunataka mchakato uliotumika tuuone waziwazi. Kwa haya ya DP World na mengine yanavyoendelea nchini bila aibu unaweza kukuta vijana hao wote ni watoto wa makada wa CCM.
Huu mchakato upo miaka mingi tu SUA kwa miaka karibia 10 sasa wanapeleka wanafunzi Israel katika hii program
 
Huu mchakato upo miaka mingi tu SUA kwa miaka karibia 10 sasa wanapeleka wanafunzi Israel katika hii program
Ni kweli kabisa ila kupitia huu mradi naona hakuna la ziada zaidi ya wahusika kujitengenezea kipato huko ughaibuni kwa kufanya vibarua kama manamba, na wakirudi wanakuja kufungua biashara zingine kabisa tofauti na kilimo.
 
Ni kweli kabisa ila kupitia huu mradi naona hakuna la ziada zaidi ya wahusika kujitengenezea kipato huko ughaibuni kwa kufanya vibarua kama manamba, na wakirudi wanakuja kufungua biashara zingine kabisa tofauti na kilimo.
Hahahaha kumbe ushashtukia mchongo..

Ingawa sometimes nawaelewa zile technology wanazoziona kule katika kilimo kuna muda zinawakatisha tamaa hata kuimplement nini walijifunza humu.
 
Huyu mama badala kupiga hatua anaenda nyuma Israel yenyewe njaa afu unapeleka vijana wako kule eti elimu ya kilimo kipya mara ya kwanza nasikia kuna kilimo kipya

Israel bila msada wa US watabakia masikini
 
Ni hatua nzuri naipongeza ila mchakato wa kuwapata hao vijana umefanyika kwa siri sana na wasiwasi wangu je umewapeleka vijana wa watoto wa wakulima au vijana wa Upanga, Masaki na Oysterbay maana fursa zinapotokea kuna watu huzitumia kunufaisha wao na jamaa zao.

Inawezekana kijana wa Songea, Morogoro,Arusha, Tanga na kwengineko kwa wakulima hasa hawakujua kama kulikuwa na hii fursa, wangepata nafasi hii adimu ingewasaidia sana tunaomba fursa kama hizi zitangazwe zinapotokea sio tutangaziwe wakati vijana wako mawinguni.
 
Ni hatua nzuri naipongeza ila mchakato wa kuwapata hao vijana umefanyika kwa siri sana na wasiwasi wangu je umewapeleka vijana wa watoto wa wakulima au vijana wa upanga,masaki na osterbay maana fursa zinapotokea kuna watu huzitumia kunufaisha wao na jamaa zao inawezekana kijana wa songea,morogoro,arusha,tanga na kwengineko kwa wakulima hasa hawakujua kama kulikuwa na hii fursa, wangepata nafasi hii adimu ingewasaidia sana tunaomba fursa kama hizi zitangazwe zinapotokea sio tutangaziwe wakati vijana wako mawinguni
Mzee kule hakuna kigogo atapeleka mwanae kule ni kazi kwa kwenda mbele, jambo likiongelewa na viongozi linapambwa mno ila kiuhalisa hao vijana wanaenda kupiga vibarua Israel kama cheap labour.
 
Ni hatua nzuri naipongeza ila mchakato wa kuwapata hao vijana umefanyika kwa siri sana na wasiwasi wangu je umewapeleka vijana wa watoto wa wakulima au vijana wa upanga,masaki na osterbay maana fursa zinapotokea kuna watu huzitumia kunufaisha wao na jamaa zao inawezekana kijana wa songea,morogoro,arusha,tanga na kwengineko kwa wakulima hasa hawakujua kama kulikuwa na hii fursa, wangepata nafasi hii adimu ingewasaidia sana tunaomba fursa kama hizi zitangazwe zinapotokea sio tutangaziwe wakati vijana wako mawinguni
Ondoa shaka kuhusu hilo hata watoto wamakapuku wanaenda. SUA kule wanawabeba tu kutokana na idadi inayohitajika.
 
Wavaa "kobazi" nq ahijab, mama samia na Hussein Bashe wapewe maua yao kwa BBT.

Mtawakubali tu mkitaka msitake.
 
kama serikali ndio iliwapeleka, mbona kimya wakati kuna tetesi kwamba wametekwa na hamas? ina maan aserikali hainaga utaratibu kulinda na kufuatilia watu wao wanaowapeleka nje?
 
Hawa vijana waliorudishwa nyumbani pamoja na wale wanaoshikiliwa mateka na hamas baada israel kushambuliwa na magaidi wa hamas ni wale walipelekwa huko kujifunza kilimo? Ni muda mfupi hakuna walichojifunza huko, likatokea shambulizi. Tuwapeleke china, thailand, vietnam, singapore na malaysia kama israel imeshindikana kutokana na fujo za wapalestina
 
Back
Top Bottom